US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Sasa kuna ubaya wowote hapo kama Koba anavyotaka tuamini?

Unajua aliesema hiyo issue ni mtu kutoka Clinton Camp ambaye ni Latino Pollster, yeye alisema kutokana na kuongea na Latino wengi, Inaonekana wengi wao hawako tayari kuwapigia kura black candidates na akasema hii ni kutokana na Black and Brown rivalry. Latino wanasema wao wako wengi kwenye kundi la Minority hapa US lakini priority huwa wanapewa Blacks kwenye US politics.
 
Koba,



NB:

kwa kweli weusi ndiyo wameonyesha mfano mbaya ktk uchaguzi huu. wamefikia mpaka kutishiana maisha kwa wale wasiom-support Obama.


Wao wanachoona ni ngozi tu. Sisi tunasema mtu asihukumiwe au kupewa sifa kwa sababu ya ngozi au upendeleo mwingine wowote. Sasa kuna watu wanamkataa Hillary kwa sababu tu mume wake aliwahi kuwa Rais, sasa yaani mtu akose haki zake kwa sababu ya mume, ebo!
 
Mama number dont lie na anajua hilo na hawezi kushinda,leo anataka kumpa VP Obama huku akijua yuko nyuma kila kitu,huyu mama game yake chafu sana na inaumiza nafasi ya Dems come november,dawa yake ni kummaliza before Denver na kuweka VP mwenye nguvu(white boy ofcourse with some credential),Mccain stand zero chance to win GE lakini Clinton akisimama tuu hiyo itakuwa story nyingine!
 
Wao wanachoona ni ngozi tu. Sisi tunasema mtu asihukumiwe au kupewa sifa kwa sababu ya ngozi au upendeleo mwingine wowote. Sasa kuna watu wanamkataa Hillary kwa sababu tu mume wake aliwahi kuwa Rais, sasa yaani mtu akose haki zake kwa sababu ya mume, ebo!

...hakuna mtu anamchukia mama ila aache game chafu maana inaumiza chance ya Dems November,watu tumechoka na hizi neo cons agenda mkuu,sijui wewe unaishi wapi lakini hapa practically zinatu affect kweli kweli.
 
Unajua aliesema hiyo issue ni mtu kutoka Clinton Camp ambaye ni Latino Pollster, yeye alisema kutokana na kuongea na Latino wengi, Inaonekana wengi wao hawako tayari kuwapigia kura black candidates na akasema hii ni kutokana na Black and Brown rivalry. Latino wanasema wao wako wengi kwenye kundi la Minority hapa US lakini priority huwa wanapewa Blacks kwenye US politics.

Mbona weusi wengi wanampigia kura Obama kwa vile ni mweusi mwenzao na hamna anayelalamika..?
 
Koba,Masanja,Nyani Ngabu,

..when it comes to POLICIES Mama na Obama hawako tofauti sana. tofauti yao iko kwenye presentation/delivery ya message zao.

..kwanini watu wanakuwa na JAZBA na USHABIKI wa kupindukia ktk mjadala wa wagombea hawa wawili? hii hali ya KUKAMIANA kupita kiasi inashangaza kwelikweli.

..pamoja na kujidai wana-campaign on issues, kwa namna moja au nyingine Hillary na Obama wanatoa kauli zitakazowaumiza mbele ya safari.

..pia kauli na majibizano yao yanapunguza nafasi ya kupatana, na kushirikiana, ktk general elections, and beyond.

Geeque,

..California ndiyo kuna msuguano kati ya Latinos na Blacks.

..Maeneo mengine msuguano huo haupo. Hizi communities zina PRIORITIES tofauti kabisa.

..McCain yuko liberal kwenye masuala ya immigration. sasa sijui Dems watashindana naye vipi come November. Usishangae wakimpigia kura McCain.
 
Koba,Masanja,Nyani Ngabu,

..when it comes to POLICIES Mama na Obama hawako tofauti sana. tofauti yao iko kwenye presentation/delivery ya message zao.

..kwanini watu wanakuwa na JAZBA na USHABIKI wa kupindukia ktk mjadala wa wagombea hawa wawili? hii hali ya KUKAMIANA kupita kiasi inashangaza kwelikweli.

..pamoja na kujidai wana-campaign on issues, kwa namna moja au nyingine Hillary na Obama wanatoa kauli zitakazowaumiza mbele ya safari.

..pia kauli na majibizano yao yanapunguza nafasi ya kupatana, na kushirikiana, ktk general elections, and beyond.

Geeque,

..California ndiyo kuna msuguano kati ya Latinos na Blacks.

..Maeneo mengine msuguano huo haupo. Hizi communities zina PRIORITIES tofauti kabisa.

..McCain yuko liberal kwenye masuala ya immigration. sasa sijui Dems watashindana naye vipi come November. Usishangae wakimpigia kura McCain.

Ohh McCain anachukua kura ya Latino kiulaini...kumbuka anatoka border state....na kuna Latino kibao Arizona
 
Ohh McCain anachukua kura ya Latino kiulaini...kumbuka anatoka border state....na kuna Latino kibao Arizona

....naona sasa fact pembeni kilichobaki ni kusema chochote,nafikiri hujui kinachoendelea Arizona sasa!
 
Geeque,

..California ndiyo kuna msuguano kati ya Latinos na Blacks.

..Maeneo mengine msuguano huo haupo. Hizi communities zina PRIORITIES tofauti kabisa.

..McCain yuko liberal kwenye masuala ya immigration. sasa sijui Dems watashindana naye vipi come November. Usishangae wakimpigia kura McCain.
jokaKuu,
Lakini ukiangalia matokeo ya kura kule California na pale Texas kwa Latino hayatofautiani kabisa. Hii inamfanya kila mtu aamini maneno ya yule Latino Pollster aliyesema Latino hawawezi kumpigia kura Obama. Actually Latino wanampigia kura Clinton by large margin compared to whites group. Ngoja tuendelee kuona mambo yatakuwaje.
 
Nyani,
Kama mama anasema ni yeye na McCain tu ndio walio na experience, si afadhali basi tumchague McCain kwani experience yake ni kubwa zaidi ya Mama? Theme ya Obama ni change na hawa wawili wanataka kuendeleza yale yale. Mc Cain anataka kubaki Iraqi kwa miaka mia na Mama vile vile. Kwa hiyo kwa wapiga kura choice ni wazi. Mnataka kuendelea na yale yale wachagueni Mc Cain au Mama. Mnataka mabadiliko Obama is the man.
 
Nyani,
Kama mama anasema ni yeye na McCain tu ndio walio na experience, si afadhali basi tumchague McCain kwani experience yake ni kubwa zaidi ya Mama? Theme ya Obama ni change na hawa wawili wanataka kuendeleza yale yale. Mc Cain anataka kubaki Iraqi kwa miaka mia na Mama vile vile. Kwa hiyo kwa wapiga kura choice ni wazi. Mnataka kuendelea na yale yale wachagueni Mc Cain au Mama. Mnataka mabadiliko Obama is the man.

Sita-mind kabisa wakimchagua McCain...
Watu wanaangalia mambo mengi na si uzoefu tu...kuna healthcare..trade..national security....n.k.
 
Mmh Nyani leo naona umepata nguvu sana, that's good, lakini angalia in your excitement don't get carried away!

Uliomba exact quote kutoka Koba lini Mama alimsifia McCain over Obama here is the exact quotation:

"I think that I have a lifetime of experience that I will bring to the White House. I know Senator McCain has a lifetime of experience to the White House. And Senator Obama has a speech he gave in 2002."

Mi naona hapa ni kwamba you are gleeful but believe me it will be short lived.

Kitila argument yako kwamba this victory was not about winning delegates bali kusimamisha momentum of Obama naomba ukae na ufikirie. This means that Clinton is an anti-candidate. She wants to tear down Obama instead of building herself. That is not good. This is what Donna Brazzile a superdelegate (uncommitted and former Clinton staffer) said:

Party chairman Howard Dean recently told House Speaker Nancy Pelosi and Senate Majority Leader Harry Reid that he was concerned about the possible impact of a nominating campaign that stretched through the end of the primaries in early June.

Some superdelegates are bracing themselves to intervene on Obama's behalf if necessary.

"If these attacks are contrasts based on policy differences, there is no need to stop the race or halt the debate," Brazile said. "But, if this is more division, more diversion from the issues and more of the same politics of personal destruction, chairman Dean and other should be on standby."
soma: http://www.huffingtonpost.com/2008/03/05/dems-fret-over-prolonged-_n_90023.html

Naomba mkae na kutafakari kwa sababu hizi attacks can only work so far. If she turns the party against herself, mtabaki nyie hard core mashabiki tu and remember Bill has a legacy to protect.
So I think all of us should take a deep breath and say that delegate count wise nothing has changed, momentum wise things have changed. Sasa it's spin, spin, spin.... lakini Hillary should be careful what she wishes for she said she has been vetted.... vitu vikianza kufumuliwa kabatini watu wataona hii issue ya Rezko is kids'stuff!
Mi nasubiri tu until then ENJOY!
BTW first superdelegate endorsement today goes to.... OBAMA of course!
 
Hiyo quote ya Mama haina ubaya wowote. There is nothing belittling in it.
 
Mmh! Mimi naona mama kajiweka tayari kwenye self destructive mod! BTW hivi mme-note kwamba Bill Clinton was NOT on stage last night? Mpaka sasa hajawahi kumiss. That's interesting....

How so..?

...and you are reading to much into Bill Clinton not being on stage with her last night..as if he has to be everywhere she goes. Either way you Obama-maniacs will just find something to criticize, talk, or wonder about. She is the candidate and Bill is not...
 
Obama keeps delegate lead despite losses By STEPHEN OHLEMACHER, Associated Press Writer

Sen. Barack Obama survived defeats in three primaries Tuesday with his lead in the delegate race essentially intact.

Sen. Hillary Rodham Clinton netted only a 12-delegate pickup, despite winning primaries in Texas, Ohio and Rhode Island, according to an analysis of returns by The Associated Press. There were still 12 more delegates to be awarded.

In the overall race for the nomination, Obama had 1,562 delegates, including separately chosen party and elected officials known as superdelegates. Clinton had 1,461. It takes 2,025 delegates to secure the Democratic nomination.

For the night, Clinton won at least 185 delegates and Obama won at least 173.

Clinton's victory in Ohio won her only nine more delegates than Obama, with two delegates still to be awarded. In Texas, Clinton won four more delegates than Obama in the primary. But Obama trimmed Clinton's lead to a single Texas delegate in the party caucuses. There were still 10 delegates to be awarded in the caucuses.

The candidates vied for 370 delegates in four states: Texas, Ohio, Rhode Island and Vermont. But the Democrats' system of awarding delegates proportionally made it hard for either candidate to post big gains. Also, Texas had a two-step system, with about two-thirds of its delegates awarded in a primary, and the rest in party caucuses.

The results enabled Clinton to reclaim momentum after losing 12 straight nominating contests to Obama. However, Obama maintained his delegate lead with fewer chances remaining for Clinton to catch up
 
How so..?

...and you are reading to much into Bill Clinton not being on stage with her last night..as if he has to be everywhere she goes. Either way you Obama-maniacs will just find something to criticize, talk, or wonder about. She is the candidate and Bill is not...

Nyani, mi nimeuliza tu. Lakini how do you explain the fact that every primary night walikuwa pamoja except today. Sasa mi nimeuliza maana nimeona ni kitu cha ajabu. Una taarifa yoyote alikuwa wapi?
 
Back
Top Bottom