US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Tatizo lenu mnaongea the obvious, kila mtu anaweza kusema hivyo.........jaribuni kusema kitu ambacho hatukijui!!!! mweeee, "wazungu ni wabaguzi hawata mchagua obama." nani asiyejua hilo??? Huyu jamaa ni candidate mweusi ktk tiketi ambaye ni real deal.................na ni UZEMBE wa hali ya juu ku-compare huyu jamaa na Jakaya Kiwkete!!!!
 
1988 Jesse Jackson alishinda primaries na caucuses zifuatazo(Alabama, the District of Columbia, Georgia, Louisiana, Mississippi, Puerto Rico and Virginia) and four caucuses (Delaware, Michigan, South Carolina and Vermont}huyu jamaa mwaka 2004 si aligoma kumendorse mwenzake Al Sharpton.

Labda tujiulize nini kinachomfanya Obama awe tofauti na huyu jamaa,Ability ya kuattract more voters? Nia yake ya kuwaunganisha watu wote?
 
Mkuu YRS,

Nimekusikia mkuu hapajaharibika kitu tuko kwenye same boat, hebu iangalie hii chini kutoka kwa Novak,

SCARING OFF OPRAH!

"The absence of Oprah Winfrey from the frantic four last days of the New Hampshire primary campaign after her heavy schedule in Iowa, backing Sen. Obama may be traced back to heavy, unaccustomed post-Iowa abuse of the popular-entertainment Superstar by women.

Oprah di not publicize it, but her Website was swamped with complaints after she went to Iowa. The chief complaint was that she betrayed women by not supporting Sen. Hillary Clinton. The criticism was described as personal. Several of this critics identified themselves as African-Americans, indicating that gender is more imporatnt than race for many people."



Mkuu unaionaje hii imekaa sawa kweli?
 
Mkuu ES,
mmmmh kuna weza kukawa na ukweli huwezi kujua. lakini bob novak ni republican, unaweza kuta ana agenda!!.
 
Hii imetoka kwenye gazeti la The State la South Carolina

Posted on Sat, Jan. 12, 2008
Clinton camp hits Obama | Attacks 'painful' for black voters
Many in state offended by criticism of Obama, remarks about King

By WAYNE WASHINGTON
wwashington@thestate.com

Sharp criticism of Barack Obama and other comments about Martin Luther King Jr. — all from people associated with Hillary Clinton’s presidential campaign — have generated resentment among some black S.C. voters.

The furor comes just two weeks before those voters will have a significant say in who wins the Jan. 26 primary here.

The Clinton-Obama battle has the potential to become a wrenching divide for black voters. Historically those voters have been strong backers of Bill and Hillary Clinton. But many black voters now are drawn to the prospect of a black man winning the presidency.

Those on both sides say watching the battle unfold in the Palmetto State, where black voters could cast half of the votes in the Democratic primary, won’t be pretty.

“To some of us, it is painful,” said state Sen. Darrell Jackson, a Clinton supporter.

U.S. Rep. Jim Clyburn, D-S.C., had pledged to remain neutral as Democrats competed for votes in the state’s primary.

But the state’s only African-American congressman was quoted in The New York Times Friday saying he is reconsidering that stance in light of comments from Clinton.

She raised eyebrows in New Hampshire when she credited President Lyndon Baines Johnson, not the assassinated John F. Kennedy or King, for passing civil rights legislation.

“It is one thing to run a campaign and be respectful of everyone’s motives and actions, and it is something else to denigrate those,” Clyburn told the Times. “That bothered me a great deal.”

Efforts to reach Clyburn, leading a congressional delegation examining Asian port security, were not successful Friday.

Clyburn’s office issued a statement Friday night that lacked the fire of his Times interview.

“I encourage the candidates to be sensitive about the words they use,” Clyburn said in the statement. “This is an historic race for America to have such strong, diverse candidates vying for the Democratic nomination.”

Clinton expanded on her comments during a Jan. 8 interview on NBC’s “Today” show.

“Sen. Obama used President John F. Kennedy and Dr. Martin Luther King Jr. to criticize me,” she said. “Basically compared himself to two of our greatest heroes. He basically said that President Kennedy and Dr. King had made great speeches and that speeches were important. Well, no one denies that. But if all there is (is) a speech, then it doesn’t change anything.”

GROWING SPLIT

A generational divide has opened among black S.C. political leaders that matches a key difference between Clinton and Obama.

Older, more experienced black elected officials, including Jackson and state Sen. Robert Ford, D-Charleston, back Clinton. Younger politicians — including Steve Benjamin and Rick Wade, who both made high-profile runs for statewide office, and state Reps. Bakari Sellers and Todd Rutherford — support Obama.

Rutherford bristles at the notion, offered up by some of Clinton’s supporters, that it is foolish to back a relatively young black man for an office that no black ever has held.

“If they are going to call themselves black leaders, and people are running by them to vote for Obama and they are standing there and pointing in the other direction, then maybe they need to be replaced,” Rutherford said.

Obama has gotten under the skin of the Clintons by painting Hillary Clinton as a calculating politician whose election would take the country back to the bitterly partisan years of the 1990s.

The Clinton team mostly ignored Obama’s digs in the early months of the campaign. But, as Obama moved closer to what became a resounding victory in the Iowa caucuses, Clinton and her supporters began to attack Obama.

A prominent Clinton supporter in New Hampshire said Democrats should think twice about nominating Obama because Republicans would revive his past drug use in this fall’s general election campaign.

Clinton quickly disassociated herself from the comments. But they were widely seen as a clumsy attempt by her campaign to remind voters about Obama’s previous drug use.

After Obama won in Iowa and Hillary Clinton’s path to the nomination seemed threatened, Bill Clinton came to his wife’s defense. He argued Obama’s rise had come without an appropriate level of scrutiny from members of the news media.

“This thing is the biggest fairy tale I’ve ever seen,” the former president said.

Bill Clinton kept up the criticism, telling New Hampshire voters not to make the same decision Iowans had in supporting Obama.

“The voters there said, ‘We want something different. We want something that looks good and sounds good. We don’t care about achievement.’”

Obama supporters were outraged by the criticism.

“We expect a lot of Barack Obama,” Benjamin said. “We expect as much from Hillary Clinton. And we probably expect more from Bill Clinton.”

Jackson said it is fair to draw sharp comparisons between Clinton, who was first lady for eight years before becoming a U.S. senator, and Obama, who served in the Illinois state legislature before winning his Senate seat.

He said the Clintons, particularly the former president, have earned the right to be critical of Obama without having to worry about being seen as racists.

“We’re not talking about David Duke saying these things,” Jackson said. “Here’s a guy who was affectionately called the first black president.”

Despite broad popularity among blacks, the Clintons are employing a risky strategy in sharply criticizing Obama, said Marcus Cox, director of the African-American Studies Department at The Citadel.

African-Americans liked what they knew of Obama in the early months of the campaign, Cox said. But they wondered if white voters would support him. Now, after Iowa, some of those doubts are gone, and many black voters have come to see Obama as their best chance to have one of their own capture the White House.

Anyone who tries to get in the way of that, particularly anyone who is not black, will spark some anger, Cox said.

“The racial dynamic is always going to be there,” Cox said. “If you have a white female candidate attacking a black candidate, it might look racial. I think that would hurt (Hillary Clinton).”

Sellers, the 23-year-old legislator who won his seat in the General Assembly by defeating one of its oldest members, said he is angry about Hillary Clinton’s remarks regarding King’s contribution to civil rights legislation.

“I think those comments were insensitive,” Sellers said. “I think they showed a lack of concern about the struggles of African-Americans. I thought those comments were inappropriate.

“But,” Sellers added, “I still love Bill.”

Reach senior writer Wayne Washington at (803) 771-8385.
 
I don't believe Obama is the smartest candidate that honor probably goes to Ron Paul as he is actually a physician. By Obama's own admission, his undergraduate academic record was not that great. I am wondering how Obama got into Harvard Law School with his mediocre grades. My guess is affirmative action helped him get into Harvard but by no means he is the smartest candidate.

This was a nice answer wasn't it?
Video
 
Obama endelea kupigilia misumali maana ukiwasikiliza pundits wa jamboforums hakuna kitu utafanya maana wanaamini milele wao hawawezi chochote,wasipokuchagua kwa sababu wewe ni mweusi poa tuu na hakuna ubaya wowote
 
Field Marshall Es,
Unajua mkuu nilijaribu kukaa pembeni ya hizi mada kwa sababu moja kubwa. Kwamba kuna watu wanaotaka sana kuyaweka majadiliano kama haya kuwa ugonvi wa pilau janvini... yaani fight over food on the floor. Kifupi - personal na nani amekula matonge mengi bila kujali nutrition zake. Huu ni utoto na sidhani kama tunaweza jenga hoja zenye mvuto kwa wasomaji ikiwa tutatumia kuitana watu hivi ama vile badala ya hoja zenyewe...

Inabidi hawa jamaa wafahamu kuwa, ipo tofauti kubwa kati ya matumaini ambayo kila mmoja wetu anayo tunapokula chakula, wengine hula ili mradi wapate shibe na wengine hula kwa kutazama faida ya chakula hicho ktk miili yao. Hivyo basi mjadala mzuri ni ule msomaji anapoweza kuelewa kwanza mwandishi kazungumzia hiki chakula kwa malengo gani.....hapo ndipo wana fail kufahamu hoja zako kuwa sii lazima reality kuwa the right thing.

Nitarudia kusema kwamba Jesse Jackson aliweza kuvuma tena kwa kishindo kikubwa sana alipokuwa akigombea Urais kwa pande zote mbili weusi na pia kwa kutumia dini...(Nina hakika wapo ambao hawakuwepo mitaa hii ila wanasoma toka magazeti). Wazungu wengi walikuwa nyuma yake kwa sababu ya imani yake ya dini na sio kweli kabisa kuwa wazungu walalahoi walimtenga na kama unakumbuka miaka hiyo Whiggers walivuma sana... wazungu weusi. Lakini wapi, hata huo Umakamu wa rais ambao wengi waliweka matumaini yao alinyimwa akachukuliwa Al Gole na matumaini ya mtu mweusi yakafa kifo cha nyani.
Hii ndio reality kama ulivyosema kuwa mweusi ama mwanamke kuweza kushika nafasi ya Urais Marekani sio leo pamoja na kwamba wengi tungependa hivyo. Ni sawa na Mpemba kushinda uchaguzi wa rais Tanzania kwa kupitia kura. Ni ukweli unaouma sanaa but thats is reality.
Sasa subiri uone jinsi wanavyobomoana wenyewe kati ya Obama (black and first generation) na Clinton (mwanamke aliyepitia abuse za ndani kimapenzi) -all victims kuwa ati rais wa USA!... I will be damned.
Republican wanachofanya ni kuchora msitari na kumwita mmoja wao kuja PUTA!..
Kibaya zaidi sasa hivi swala hili la Obama na Clinton limegeuka kuwa swala la gender na race, uchonganishi ambao wenye kuona mbali tuliutegemea kutokea...
 
Angalia isije ikawa ni "PTSD" toka ile mada ya Andy Young......bado sana, welcome to the real world!!!.
 
MSN Tracking Image
MSNBC.com
Obama giving Clinton a race in N.Y.
A win in South Carolina could develop grass-roots support in New York

By Sam Roberts
The New York Times
updated 12:53 a.m. ET, Sat., Jan. 12, 2008

With Senator Barack Obama vowing to challenge Senator Hillary Rodham Clinton on her home turf, the Democratic presidential primary in New York on Feb. 5 is shaping up as the state’s most competitive since 1992, when Bill Clinton took up a rival’s mantra of change to all but cinch the nomination.

Mrs. Clinton was re-elected a little more than a year ago by better than two to one. Before the Iowa caucuses, she had so dominated opinion polls and endorsements by elected officials and powerful unions that many considered her home state impregnable to political interlopers.

But if Mr. Obama wins the South Carolina primary in two weeks, he could develop enough grass-roots support among young people, liberals and black voters in New York to pose a serious threat to her claim to the state’s rich delegate lode, allies of both candidates say.

“The expectation is that Hillary should win in New York,” said Assemblyman Adam Clayton Powell IV of Harlem, an Obama supporter. “As you know, expectations don’t always translate into votes, and so we’re going to fight in New York.”

While Mrs. Clinton’s supporters say they are certain she will win the state and, with it, the bulk of its 281 delegates, they acknowledge that to keep Mr. Obama from running even a close second, she may have to invest more precious time and money here. Twenty-one other states, including New Jersey and Connecticut, also hold primaries on Feb. 5.

“Clearly they’re going to make a humongous effort to make sure that doesn’t happen,” said State Senator Bill Perkins of Harlem, an Obama supporter.

'Emotion and racial pride'
“We’re not taking anything for granted,” said Blake Zeff, the Clinton campaign’s communications director in New York. Representative Charles B. Rangel of Harlem, one of Mrs. Clinton’s earliest supporters, predicted that she would do “extremely well — after all, she’s our ‘favorite daughter.’ She’s better known and she’s earned the right to our support.”

But, Mr. Rangel acknowledged, “Obama’s electric campaign will stimulate a big turnout.”

“Even though there’s no question in my mind that Hillary can do a better job, we’re dealing with a lot of emotion and racial pride, and he’s proven himself to be a credible candidate already,” Mr. Rangel said.

Measured by volunteers, phone banks, offices and other tangible signs statewide, the Clinton campaign appears better organized. She has the support of many members of Congress and the Legislature, as well as the backing of unions that are adept at turning out voters, including those representing teachers, building service workers and municipal employees.

Mr. Obama has been endorsed by a number of black elected officials in Harlem, southeast Queens and central Brooklyn, all bastions of Democratic voters. And in a particularly revealing gauge of his organizational strength, Mr. Obama is the only Democrat other than Mrs. Clinton to have full delegate slates in each of the state’s 29 Congressional districts, suggesting he may be competitive in areas outside New York City.

In the 2004 primary, nearly half the Democrats who voted were in New York City. Manhattan alone accounted for nearly one in five.

Even before his victory in Iowa, Mr. Obama had an impressive fund-raising record in New York, receiving significant support from Wall Street, the entertainment industry and lawyers. Through Sept. 30, he reported raising more from New York donors than any other Democrat except Mrs. Clinton and was not far behind former Mayor Rudolph W. Giuliani.

Mrs. Clinton reported raising more than $18 million in all from New Yorkers, compared to Mr. Obama’s nearly $8 million, but a large chunk of Mrs. Clinton’s fund-raising is reserved for the general election. New York contributors who donated for the primaries gave $13 million to Mrs. Clinton through Sept. 30 and $7 million to Mr. Obama.

Mr. Obama’s victory in Iowa and his second-place finish in New Hampshire have put a number of black leaders in the awkward position of opposing a black candidate for president.

Many black elected officials in New York have already endorsed Mrs. Clinton, but they may find that their followers, who constitute as much as 25 percent of New York’s primary electorate, are flocking to Mr. Obama if he wins South Carolina, political analysts said.

A few prominent black leaders remain on the fence. Among those leaders is the Rev. Al Sharpton. On Friday, in one sign of how vigorously he is being courted, Bill Clinton called into Mr. Sharpton’s nationally syndicated radio talk show to explain his use of the phrase “fairy tale” in a critique of the Obama campaign this week. The description angered many blacks, but Mr. Clinton said he was referring only to Mr. Obama’s position on Iraq, not his candidacy.

Neither campaign has made firm decisions yet about television advertising and public appearances in the state, which has 5.3 million enrolled Democrats.

Their ranks could be swollen by last-minute registration efforts. Unregistered New Yorkers had until Friday to enroll in order to be eligible to vote Feb. 5.

The New York City Board of Elections said more than 13,000 forms had been filed in the last week alone. In New Hampshire, Mr. Obama fared better among first-time primary voters.

Clinton camp energized
On primary day, 232 of New York’s 281 convention delegates will be in play, 151 of them elected by Congressional district and allotted in proportion to the candidate’s total. Some delegate slots are reserved for public officials and party leaders, and others are assigned by party officials. Representative Anthony D. Weiner, a Clinton supporter who represents parts of Brooklyn and Queens, said the campaign dynamics have energized the Clinton camp, too.

“It’s now clear that her home state is going to play an important role in making her president,” he said. “People are more excited about that than concerned.”

He said he had not discerned any shift to Mr. Obama among Clinton supporters.

At least one has shifted the other way. Neil Barsky, a Manhattan hedge-fund manager who raised money last year for Mr. Obama, said he now favored Mrs. Clinton. “I believe Hillary, while potentially less of a transformational candidate, would make an excellent president and is our best chance of winning,” he said.

New York’s presidential primaries have usually been held too late to make much difference, although in June 1972 George S. McGovern’s near sweep in New York virtually sealed his nomination.

Two other New York primaries were pivotal, though.

In April 1988, Michael S. Dukakis won a bruising primary campaign in New York over Al Gore and Jesse Jackson, who polled an impressive 37 percent.

In April 1992, New York Democrats squelched the presidential aspirations of Paul E. Tsongas and Edmund G. Brown Jr., who had run as an anti-establishment candidate, and all but virtually sealed Bill Clinton’s presidential nomination.

In his victory speech, Mr. Clinton declared, “Tonight, every person who voted in the Democratic primary voted for change.”
Reporting was contributed by Diane Cardwell, Patrick Healy, Aron Pilhofer and Raymond Hernandez.
Copyright © 2008 The New York Times

URL: http://www.msnbc.msn.com/id/22618856/
MSN Privacy . Legal
© 2008 MSNBC.com
 
HRC is on meet the press with Tim Russert!

By BETH FOUHY, Associated Press Writer 26 minutes ago

NEW YORK - Democrat Hillary Rodham Clinton suggested Sunday that Barack Obama's campaign had injected racial tension into the presidential contest, saying her comments about Martin Luther King's role in the civil rights movement had been "distorted" by Obama's supporters.


"This is an unfortunate story line the Obama campaign has pushed very successfully," the former first lady said in a spirited appearance on NBC's "Meet the Press." "I don't think this campaign is about gender, and I sure hope it's not about race."

Baada ya huu mchakato kutakuwa na chuki...
 
By BETH FOUHY, Associated Press Writer 26 minutes ago

NEW YORK - Democrat Hillary Rodham Clinton suggested Sunday that Barack Obama's campaign had injected racial tension into the presidential contest, saying her comments about Martin Luther King's role in the civil rights movement had been "distorted" by Obama's supporters.


"This is an unfortunate story line the Obama campaign has pushed very successfully," the former first lady said in a spirited appearance on NBC's "Meet the Press." "I don't think this campaign is about gender, and I sure hope it's not about race."

Baada ya huu mchakato kutakuwa na chuki...

Chuki mbona tayari zimeshaanza kujitokeza..! Sasa hivi chochote kitakachotokea kuna watakaonung'unika kuwa wameonewa (ama kijinsia au rangi). Kuna ambao tayari wameshaanza kusema Obama aliibiwa kura NH.....na kuna wanaosema wazungu walijitokeza kwa uwingi na kumpigia kura Mama Clinton ili Obama asishinde...I dunno
 
Mkuu Bob na YRS,

Heshima mbele, tunajitahidi kwa kadiri ya uwezo tulionao kuuweka huu mjadala unapotakiwa, ingawa sio rahisi kuwasimamia wote wanaohusika kuwa kinachotakiwa hapa ni mjadala wenye decency na ustaaarabu ndani yake, kwa sababu kuna elimu kubwa hapa wananchi tunaipata tena bure, ninaomba wakuu wote tulio na interest na huu mjadala tujaribu kuwa hivyo na uendelee kwa amani na utulivu,

Binafsi ninauona huu uchaguzi kuwa ni Obama's message of Change, na Bi-Clinton's message of uchumi, wananchi wanaopata mshahara chini ya $ 50,000 wanamuunga mkono Bi-Clinton, na wanao-make more than $ 50,000 wanamuunga mkono Obama,

Nina wasi wasi kuwa in the end, US wananchi wengi hujali sana uchumi ambao in this election Bi-Clinton, anacho kile kikundi kikali cha uchumi cha kina Rubbin, kilichosababisha bei ya petroli kuwa $ .99C for a gallon in the 90s under Bill Clinton,

Lakini huu uchaguzi ndio kwanza umeanza, leo Obama, amepata endorsment nyingi sana kutoka kwa maseneta,

Mkuu YRS,

Giants 21 Boys 17 (Romo na Jessica 0! wooooow!)
 
Shukran Field Marshall nakuelewa vizuri sana. Mimi sina ushabiki wala mdomo mchafu hata kidogo ila hushindwa kuvumilia mtu anapomvaa mwandishi badala ya hoja. Na kwa sababu hiyo huwapongeza sana watu ambao hutanguliza quote ya mtu kisha kuijibu kwa mtazamo tofauti badala ya kumwita mwandishi mzembe hali hukusema uzembe wake unatokana na hoja ipi na nini mawazo yako tofauti na uzembe wa mtu.
Tatizo kubwa naloshindwa kuelewana na dogo UYIM ni pale anapowatumia waandishi ujumbe unawahusu wao badala ya hoja iliyopo na nitaendelea kutokubaliana na mashambulizi ya namna hiyo kwani hakuna mtu anayetafuta ushindi ama sifa hapa ila ni kufahamishana kile unachoelewa iwe kwa fact, reality ama vision ya mtu kuhusiana na swala.
Kila mtu anapoandika kitu tofauti na mwingine haina maana hakubaliani na mawazo yaliyoandikwa isipokuwa anatoa sura nyingine ya shilingi ile ile.
Hii ndiyo shida yangu kubwa kuwaeleza watu hapa kwani wao kila naposema kitu basi hufikiria napinga mawazo yao badala ya kuona kuwa najaribu kuwapa sura nyingine ya sarafu hiyo hiyo - sura ambayo possibility ya kutokea inaweza kuwa kubwa zaidi ya ile yenye matumaini.
Mathlan, somo hapa ni Obama kupita kindumbwe hiki cha UCHAGUZI MKUU nje kabisa ya kufikiria UWEZO wake kuiongoza Marekani. Pia hakuna asiyependa Obama ashinde yaani kila mmoja wetu anaomba iwe hivyo lakini tunapoitazama shilingi hii upande wa pili, tumaini la ushindi ni zito sana. Sasa basi tunapotumia uwezo wake kuongoza ili kumpa ushindi ni nje kabisa ya hoja kwani hakuna mtu anayesema hana uwezo huo ila MTU mweusi kuiongoza Marekani ni swala ambalo wananchi Marekani wenyewe hawako tayari sio leo wala kesho. That is a fact na to think otherwise hiyo ndio ndoto kulingana na reality. We love the guy na kama mtu hampi support Obama basi huyo mtu ana lake jambo kwani huyu ni mwenzetu kwa kila hali kuliko mgombea yeyote yule. Can he make a different in our lives? sifahamu na wala sina haja ya kufahamu kwani uwezo wake ktk nyanja hiyo sina fact wala utaalam huo bali kuwa kwake mweusi tu kachukua kura zangu.

Kwa hiyo kama ulivyosema ni bora sana tuwe makini na kuacha mtindo wa kushambulia mtu kwa sababu tu kaandika kitu kinachopingana na kile ulichoandika. nitaendelea kuwaomba wadau kuwa Hoja hujibiwa kwa hoja....ikiwa hoja nzito sana na haibebeki basi tafuta mada nyingine.
 
Mkuu Bob na YRS,

Heshima mbele, tunajitahidi kwa kadiri ya uwezo tulionao kuuweka huu mjadala unapotakiwa, ingawa sio rahisi kuwasimamia wote wanaohusika kuwa kinachotakiwa hapa ni mjadala wenye decency na ustaaarabu ndani yake, kwa sababu kuna elimu kubwa hapa wananchi tunaipata tena bure, ninaomba wakuu wote tulio na interest na huu mjadala tujaribu kuwa hivyo na uendelee kwa amani na utulivu,

Binafsi ninauona huu uchaguzi kuwa ni Obama's message of Change, na Bi-Clinton's message of uchumi, wananchi wanaopata mshahara chini ya $ 50,000 wanamuunga mkono Bi-Clinton, na wanao-make more than $ 50,000 wanamuunga mkono Obama,

Nina wasi wasi kuwa in the end, US wananchi wengi hujali sana uchumi ambao in this election Bi-Clinton, anacho kile kikundi kikali cha uchumi cha kina Rubbin, kilichosababisha bei ya petroli kuwa $ .99C for a gallon in the 90s under Bill Clinton,

Lakini huu uchaguzi ndio kwanza umeanza, leo Obama, amepata endorsment nyingi sana kutoka kwa maseneta,

Mkuu YRS,

Giants 21 Boys 17 (Romo na Jessica 0! wooooow!)

Mkuu ES,
I told you..Tony Romo toka apate Jessica Simpson mambo si mambo. Pia ni poa Giants wameshinda maana atleast Manning mmoja anaenda kwenye Conference finals.!!
Otherwise, kampeni inaenda vyema ila sumu ya race na gender tayari zimeshaingizwa na clintons, binafsi nimeshakata tamaa!!.
Kuhusu decency you know me maaan, its all good..kuna history kati yetu from somewhere na jamaa hawezi ku-let go, shida yake..its big bad world!.
 
kuna history kati yetu from somewhere na jamaa hawezi ku-let go, shida yake..its big bad world!.

I got you mkuu, lakini yaliyopita si ndwele mkuu wewe ninakuaminia na nyinyi wote ni kutoka kunyumba kumoja yaani ma-homeboys wa mkoa mmoja, sasa noma ya nini?

gender na race sasa uchaguzi umeanza kuingia hatua mpya, huko Republican naona mkuu John sasa huenda akashinda nomination au?
 
ila mkuu McCain namkubali sana, yule jamaa anasifa za ki GOP za kikamanda kamanda,issue ile ya Surge aliipigia debe all along,wakati ambapo baadhi ya GOPs walikuwa wameanza kufuata mkumbo wa Democratcs,halafu jamaa anaonekana kama ana uungwana hivi.
Asipopita Obama,nadhani kwa mara ya kwanza naweza kumkubali/kumpendelea Mripublican ili mradi awe McCain
 
The Clinton-Obama contest gets rougher
Will the battle for the Democratic nomination turn into a debate about race and gender?

By Walter Shapiro

Jan. 14, 2008 | Every warm-up speaker in a presidential campaign should aspire to be seen, heard (briefly) but never, ever remembered. Bob Johnson, the founder of TV's Black Entertainment Network (BET) and the owner of basketball's Charlotte Bobcats, broke that cardinal rule of politics with his 10-minute stream-of-conscious introduction of Hillary Clinton.

From the moment he took the microphone at a Clinton town meeting at Columbia College, Johnson came across as an accident waiting to happen. He started off referring to Barack Obama as "a young, articulate black man" before explaining, "As a black person, I can call him articulate." Johnson ended up sniffing that Obama is "a guy who says that: I want to be a reasonable, likable Sidney Poitier [in] 'Guess Who's Coming to Dinner.'"

But these were not the lines that gave Johnson Sunday honors for self-inflicted political wounds. What did it was Johnson's riff that Bill and Hillary Clinton were "deeply and emotionally involved in black issues when Barack Obama was doing something in the neighborhood ... I won't say what he was doing, but he said it in his book." Despite the laughter from the largely white crowd sparked by the obvious cocaine reference, the Clinton campaign later released a statement from Johnson claiming (warning to readers: Be prepared to giggle) that he was "referring to Barack Obama's time spent as a community organizer."
 
Back
Top Bottom