ila mkuu McCain namkubali sana, yule jamaa anasifa za ki GOP za kikamanda kamanda,issue ile ya Surge aliipigia debe all along,wakati ambapo baadhi ya GOPs walikuwa wameanza kufuata mkumbo wa Democratcs,halafu jamaa anaonekana kama ana uungwana hivi.
Asipopita Obama,nadhani kwa mara ya kwanza naweza kumkubali/kumpendelea Mripublican ili mradi awe McCain
ila mkuu McCain namkubali sana, yule jamaa anasifa za ki GOP za kikamanda kamanda,issue ile ya Surge aliipigia debe all along,wakati ambapo baadhi ya GOPs walikuwa wameanza kufuata mkumbo wa Democratcs,halafu jamaa anaonekana kama ana uungwana hivi.
Asipopita Obama,nadhani kwa mara ya kwanza naweza kumkubali/kumpendelea Mripublican ili mradi awe McCain
The Hilly-Billy team is becoming ridiculous! They think that by bad mouthing Obama they gain votes! Basi nimecheki comments kwenye blogs mbalimbali, the African Americans are FURIOUS! Nakwambia hawapati kura! Washindwe na walegele!
Icadon,
Hii ngoma bado kabisa yaani utakuja sikia jingine likifumka. Na wala haitaanzia kwao ila washabiki wao watazidi kuchombeza kuni.
YournameisMINE,
dogo hunielewi na hutanielewa kamwe. Kwanza kabisa ktk mada hii nimezungumzia WATU ambao walishindwa kumwelewa Field Marshall Es na sikutaja wala kuashiria jina lako pamoja na kwamba yawezekana ulikuwa mmoja kati yao. Kifupi sisomi hoja zako kwa hiyo sikuelewa kabisa hadi pale ulipoingia na kudai NIANGALIE yasije kuwa ya Andrew Young..
Nikajiuliza kulikoni, kisha nikarudi nyuma kusoma na kweli nikaona wapi umeipata dhana yako ktk mada hii... yaani umekuwa mtu wa kujikisia tuuu kila napoandika kitu. Yes, hiyo hoja ya mwisho hapo juu nimekutaja YNIM baada ya lakini haikuwa kusudio la hoja yangu iliyotangulia....Nililenga kwa wote wasiomuelewa Field Marshal Es na sidhani kama wewe ulikuwa mmoja wao.
Na kama utaendelea kufikiria hivyo (kujikisia) ktk kila hoja yangu basi mjomba hii ngoma bado kabisa kwani mara nyingi unaweza kuwa ktk kundi la wale naowaomba ama kuwataka kuwa na upeo nje ya kabati...life goes on.
Nakuomba sana tuyaache yaliyopita tuangalie mbele huu ushabiki hautajenga kitu kati yetu wala taifa letu ila utazidi kubomoa mawasiliano kati yetu. Nielewe vizuri napotoa hoja inayopingana na yako (mtazamo tofauti) haina maana naendeleza ushabiki bali isome kisha jibu kwa hoja kama vile kaandika Jasusi, Ogah ama mtu mwingine na sio Mkandara.
Hivi hakuna forum za wamarekani huko raia mkatukanane? maana hili katika hili jamvi tunajadili mstakabali wetu na ufisadi unaoitafuna nchi yetu na namna ya kujikomboa kwa hao hao mnaowatetea humu na kuwashabikia....!..... Au wengi wenu mnafikiria Obama akishinda au Hillary mtapata uhalali wa kuishi US? Kama wewe ni illigal utaendelea kuwa illigal immigrant till when you legalize your status and not by wishful thinking!