US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

....i doubt hata kama unaelewa,whats all about million man march?unajitia aibu tuu maana kazi yako ni bandika bandua talking points from conservative media,next time learn kabla ya kuja kufanya bashing ya vitu usivyojua!

Nieleweshe basi hiyo million man march dhumuni lake lilikuwa nini...
 
Nieleweshe basi hiyo million man march dhumuni lake lilikuwa nini...

...hata Mandela/Martin Luther King walikuwa under terrorist watch list,hata babu yako juzi kaomba msamaha kuhusu MLK....sasa go figure urself hiyo million march maana info ziko all over the net for free
 
Nyani, ishu ya Wright na Farrakhan, Obama amesema consistently the same, na kilichotokea leo ni hata wafuasi wa TRinity Church wamesema hawajawahi kumsikia Wright akiongea maneno magumu hivyo kama leo at National Press Club meeting. Obama hajawahi kumsupport Farrakhan, kwa hiyo usilete ligi.
Mi naomba kwanza nikuulize, Hillary is such a favorite of gay people sasa hii imekaaje?
After touring a bio-manufacturing training center, Gov. Easley, First Lady of North Carolina Mary Easley and Clinton held a ceremony at NC State University. The Governor formally expressed his support saying that there was "nothing I love more than a strong powerful woman." Easley concluded his remarks saying Clinton -- "makes Rocky Balboa look like a pansy".
In case anyone has been living under a rock, pansy is slang for "fag."
pan·sy
a. Used as a disparaging term for a man or boy who is considered effeminate.
b. Used as a disparaging term for a homosexual man.
So, Hillary isn't gay? Or Hillary isn't a weak gay? And of course, gays are something bad that need to be avoided. Now why would Hillary embrace gay-bashing to help her campaign?
 
Susuviri,

..lets be fair kidogo. nadhani hawa MSNBC na CNN ni enemy territory kwa kina Clinton. pamoja na kwamba waliwatetea wakina Clinton walipokuwa in power, lakini ktk uchaguzi huu, CNN,na MSNBC, wamekuwa biased to the point of being irresponsible.

..liberal media imewatenga Hillary na Bill. ndiyo maana wameona ili kuwasilisha ujumbe wao bora waende hata huko FOX NEWS, na kwa kina Rush Limbaugh.

..labda suala la kushangaza kabisa ni jinsi ambavyo Hillary ameendelea kufanya interviews na watu wa MSNBC. Nasema hivyo kwa kuzingatia kwamba hawa ni liberal network ambao walienda mbali mpaka kumtukana Chelsea,kumuandama Mzee Clinton, na kumkandia Hillary na kampeni yake.

..mimi ni kati ya wale ambao wanaamini kwamba media inaweza kumpamba na kumuinua Barack Obama, bila ku-destort rekodi, na ku-destroy legacy, ya kina Clinton..

JokaKuu: you said let's be fair? OK, how about this? CNN is Clinton News Network, na kama mtu ambaye niko katika media nakuhakikishia kuwa wamekuwa very biased in favor of Clinton. Even when they talk about Obama it is in context of Clinton and show footage of Clinton when discussing Obama but ntot vice versa - she gets more face time. Hata urefu wa soundbite ya Clinton na Obama is not proportional, it is in favor of Hillary. They still claim that Hillary won Texas and that she won Philly by 10 points not 9.2 as many other media have correctly reported and the list can go on.... So spare me the propaganda.
MSNBC is the only cable network that can be deemed pro-Obama na hii inatokana zaidi na Keith Olbermann more than others kama HardBall.
Kuhusu legacy ya Clinton, I am sorry they are destroying themselves! Kuna kitu gani ambacho media imechangia ku-destroy Clinton's legacy? Na Clintons wanavyo-pander to the right wing media ndo wanazidi kujiumbua because this was the attack machine against them enzi za urais wa Clinton. Bill Clinton alifanya kosa la kujaribu ku-run for a third term. Hapa katikati ali-cool down, lakini sasa amerudi tena.
The only way they can redeem themselves is if they end this race gracefully and when Obama becomes the nominee they unite behind him and campaign for Obama like never before. Hapo Bill Clinton ata-regain his respectability. Hillary is also up for consideration for governor of NY but also she is said to be interested in Supreme Court seat. We will see.
But utetezi wako wa Clinton vs media is full of holes maana hakuna watu waliowabeba Clintons kama CNN na liberal media and it has not changed!!!
 
Nyani, ishu ya Wright na Farrakhan, Obama amesema consistently the same, na kilichotokea leo ni hata wafuasi wa TRinity Church wamesema hawajawahi kumsikia Wright akiongea maneno magumu hivyo kama leo at National Press Club meeting. Obama hajawahi kumsupport Farrakhan, kwa hiyo usilete ligi.
Mi naomba kwanza nikuulize, Hillary is such a favorite of gay people sasa hii imekaaje?

Hakuna kipya ambacho Wright alikisema pale NPC. Kuhusu ukimwi, kasema yale yale ambayo amekuwa akiyasema siku zote. Kuhusu yeye na Farrakhan, uhusiano wao unajulikana tokea zamani na Obama analijua hilo. Wrong or Wright alisaidia kuandaa Million Man March ambayo Obama alihudhuria. Wright alienda na Farrakhan kumtembelea Gadaffi kule Libya. Wrong huyo huyo alimtunukia Farrakhan tuzo ya kanisa lake. Sasa yote haya unataka kuniambia Obama hakuyajua mpaka juzi tu? Give me a break! Eti hawajawahi kumsikia Wright akiongea maneno "magumu" hivyo...US KKK of A, God Damn America, Hillary has never been called a ni.gger, Bill Clinton did black folks like he did Monica; he was ridin' them dirty.....should I go on....?

Obama did this for political expediency. Wright said Obama is a politican and he did what politicians do...
 
Mkuu Susu, Nyani,

...unajua mpaka wakati mwingine sasa naona Obama anaanza kuboa.............the speech he did in Philly was enough to address the Rev issue................anything beyond that is pandering and he is playing right into the media and the right wing nuts' strategy.............the question is now/will be raised............oooh so after twenty years of being in the church, now he has suddenly realized that he doesn't agree with the pastor's viewpoints?.................the point is not what he says today or what he said a month ago but.................. the impression that he was okay with the pastor's preaching (some of which he has admitted himself were controversial and were spoken while he was there) for all this time..................and then all of a sudden he disagrees with them now that he is in a heated presidential race...........
 
Huu uchaguzi wa Marekani umekuwa ni wa kijinga kupita kiasi , mimi nimeacha kabisa kufuatilia ni ujinga mtupu . Kuna mjinga mmoja ana kipindi chake MSNBC asubuhi kinaitwa " Morning Joe " ...Joe Scaborough sina uhakika kama nimeli- spell vizuri . Lakini huyu jamaa wiki mbili kabla ya Obama kushindwa Penns jamaa alikuwa anasema Obama hawezi kushinda katika hilo jimbo aliposhindwa akawa anauliza why he can't close the deal, sasa nikwa najiuliza si huyu mtu alikuwa anasema jamaa hawezi kushinda mbona ghfla amebadilika ?

Pili kwenye hii ishu ya Wright , mjinga Sean Hannity alikuwa kila siku anasema kwa nini Obama am-denounce Pastor wake , sasa leo kamdenounce watu wanadai ya kuwa kwa nini akumdenounce miaka ishirini iliyopita. Hakuna kitu huyu Obama atakachofanya hawa jamaa wasimcritisize , nadhani hii ni more tham Urais . Hii uchumi unaporomoka wenyewe wanafikiria ni jinsi gani ya kummaliza Obama.
 
Unajua siasa zingekuwa zinakuwa determined na wasomi....dunia isingekuwa hivi ilivyo...wasomi wanapenda abstruct sana! far from reality! Aliyeamua kwamba kwamba rais apigiwe kura na WANANCHI WOTE..sijui alikuwa na maana gani....But he meant good!

To me I really think its all about politics. Does it mean wakatoliki wote wadenounce kanisa kwa sababu ya sex scandal za kanisa? Hell no! I fully believe ni kutomtendea haki BO kuanza kumlink na belief za mtu mwingine. Farakhan has been there..au ndo media inaendeleza policy ya BUSH kwamba you cant talk/associate with a person you dont agree with? Wright has a right to do what he pleases! Jamani sasa kweli inawezekana ukienda kanisani usipokubaliana na mahubiri ya padre uhame kanisa? Only in America!

Swala la media ni reality kwamba Clinton is past his time! Wengi wanashindwa namna ya kutransfer their royalty from Bill to Hillary something which is very true, Clinton anaheshimika sana and rightly so, lakini je does it mean wote wanaomheshimu inabidi wahamishe majeshi kwa mke wake? Ni hapo ndo ugomvi ulipo..people fill like, all Bill`s friends ought to support Hillary! I dont buy that crap! On the other side, just know who is running is HIS WIFE! Put yourself in his shoes....ungefanya nini? Mi naona kwanza jamaa amejitahidi sana, ukichukulia mapungufu yetu sisi binadamu na jamaa alivyo kwenye spotlight..he has tried to contain himself!

Clinton (for now) is an indispensable figure in the Democratic party and the party needs him... (who else?..Gore, Kerry, Kennedy..et al..ni losers..hawana appealing record kwa walala hoi(labda alites)...), lakini politics ndo hivyo tena, hawezi kufanya kitu asionekana kama anaspin kwa ajili ya mke wake! Na people should always know anywhere in the WORLD, ELITES will never win you votes (rather enough votes), kwa wale tunaotoka nchi za kimaskini we fully know that..Ndo maana BO inabidi aelekeze majeshi huko kusini.........Umeshawahi kuona..Republicans wanacampaign NY or CF? No way..they know their constituents..so Democrats should stop dreams kwamba the media will win them votes..wanahitaji watu kama akina Bill kwenda kupiga kampeni where the "real votes are"....Kama hamjui umuhimu wa Bill...waulize CCM mpaka leo wanakula mtaji aliouacha Nyerere kwa wananchi! Achana na politics... Though sadly, Bill cant support BO mpaka WIFE..adrop out..but the earlier the better..and the MEDIA have set a bar too high for Clinton! Its like he cant do wrong!
 
Kaka Nyani Upoo! Heshima Yako. Naona Mzee Rev. Wright Alinogewa Na Media Mpaka Akaanza Kaharibu. Kwa Sababu Obama Alimuonyesha Respect Ya Hali Ya Juu Kwenye Hotuba Yake Ya Philly, Kwa Sababu Hakum-diss Rev Mwenyewe. Chukulia Kama Wewe Mjomba Yako Anakuharibia Kazini Au Popote Utayakataa Maneno Na Matendo Yake Ile Unaweza Ukamtetea Yeye As Yeye (individual) Lakini Akizidi Sana Na Kuendelea Kuharibu Unaweza Hata Ukamtukana. Ndio Yaliyomtokea Obama. Mzee Kapata Media Attention Sasa Kashatangaza Kwamba Ataandika Kitabu Na Akaendelea Kumharibia Mchizi. Yaani Ile Niliiona Kama Black On Black Crime. Yaani Alishindwa Kumrespect Mchizi Mpaka Akaendelea Ku-run His Mouth Kiasi Hicho? Yaani Member Wa Kanisa Lake Mwenyewe Anataka Kuwa Raisi Wa Usa Halipi Uzito Hilo Jambo!! Eti Is Just One In 8000 Hahahaha! Wanugu!! Anyways Obama Kasimama Kiume Na Ka-take Risk, Tuone Matokeo Ya Indiana Na Nc.
 
mimi nadhani ile interview ya kwanza ya Wright na PBS ilikuwa inatosha kwa Wright kwa muda huu. lakini badala ya Wright kuchagua unyenyekevu akaamua kuchagua ukakamavu matokeo yake meseji yake au matamshi yoyote ambaye Wright anayaamini kwa dhati yanakuwa diluted na sasa inakuwa vigumu kwa mtu kumchukulia serious.

Wright hata kama aliumia na msimamo wa Obama angevumilia, ukubwa ni jaa, angesacrifice heshima yake kwa kipindi hiki kwa ajili ya mission ya Obama. then baadae angetafuta nafasi ya kuclarify msimamo wake.
 
Gamba la nyoka: nimekubali sana ulichosema. mi nadhani kama kujitetea alijitetea vizuri tu kwenye PBS na angeondoka zake na heshima zake. Ndiyo maana hapo awali Obama alisema ana haki ya kusema anachotaka - no comment. Lakini ile press conference ndo ikawa sasa Mchungaji kajisahau. Uzuri wa jambo lote hili ni kwamba kuendelea kwa media kuliongelea kita-backfire, ndiyo maana leo pundits wote na watangazaji walimpongeza Obama na wakakubali it's time to move on.
 
Mkuu Susu, Nyani,

...unajua mpaka wakati mwingine sasa naona Obama anaanza kuboa.............the speech he did in Philly was enough to address the Rev issue................anything beyond that is pandering and he is playing right into the media and the right wing nuts' strategy.............the question is now/will be raised............oooh so after twenty years of being in the church, now he has suddenly realized that he doesn't agree with the pastor's viewpoints?.................the point is not what he says today or what he said a month ago but.................. the impression that he was okay with the pastor's preaching (some of which he has admitted himself were controversial and were spoken while he was there) for all this time..................and then all of a sudden he disagrees with them now that he is in a heated presidential race...........

Lakini unashangaa nini ndugu yangu, that is why a Black man or woman has to prove 5 times more that s/he is capable. Lakinithe toughest is for the Black Man maana he also face so much negative stereotypes. Sasa what the media, pundits and even the DNC in part is doing is moving goalposts and raising the bar for Obama. Angekuwa Hillary in Barack's place, wangekuwa wameshamshukia Barack ajitoe! Lakini sasa they are feeding the frenzy! But nafurahi kwamba invdivudal voters wamefunguka macho na anapata sapoti kubwa sana through internet kutoka wadau wake, na hivyo making himself unavoidable in the party na ndiyo maana siku hizi anapata support miongoni mwa vigogo wa chama.
 
Kaka Nyani Upoo! Heshima Yako. Naona Mzee Rev. Wright Alinogewa Na Media Mpaka Akaanza Kaharibu. Kwa Sababu Obama Alimuonyesha Respect Ya Hali Ya Juu Kwenye Hotuba Yake Ya Philly, Kwa Sababu Hakum-diss Rev Mwenyewe. Chukulia Kama Wewe Mjomba Yako Anakuharibia Kazini Au Popote Utayakataa Maneno Na Matendo Yake Ile Unaweza Ukamtetea Yeye As Yeye (individual) Lakini Akizidi Sana Na Kuendelea Kuharibu Unaweza Hata Ukamtukana. Ndio Yaliyomtokea Obama. Mzee Kapata Media Attention Sasa Kashatangaza Kwamba Ataandika Kitabu Na Akaendelea Kumharibia Mchizi. Yaani Ile Niliiona Kama Black On Black Crime. Yaani Alishindwa Kumrespect Mchizi Mpaka Akaendelea Ku-run His Mouth Kiasi Hicho? Yaani Member Wa Kanisa Lake Mwenyewe Anataka Kuwa Raisi Wa Usa Halipi Uzito Hilo Jambo!! Eti Is Just One In 8000 Hahahaha! Wanugu!! Anyways Obama Kasimama Kiume Na Ka-take Risk, Tuone Matokeo Ya Indiana Na Nc.

Alichotakiwa kusema Obama ni 'I'm sorry, I made an error in judgement'....angefanya hivyo tokea mwanzo lakini yeye na washabiki wake wakalipuuzia hili swala. kila mtu hukosea na ingekuwa vigumu sana kwa watu kumkosoa kwa sababu hakuna asiyefanya makosa na nina uhakika angesamehewa tu. Too late now.
 
Gamba la nyoka: nimekubali sana ulichosema. mi nadhani kama kujitetea alijitetea vizuri tu kwenye PBS na angeondoka zake na heshima zake. Ndiyo maana hapo awali Obama alisema ana haki ya kusema anachotaka - no comment. Lakini ile press conference ndo ikawa sasa Mchungaji kajisahau. Uzuri wa jambo lote hili ni kwamba kuendelea kwa media kuliongelea kita-backfire, ndiyo maana leo pundits wote na watangazaji walimpongeza Obama na wakakubali it's time to move on.

Hakutakuwa na backfire yoyote. Hii issue haiendi popote. Itabakia naye hadi Novemba 4. Hiyo ya kubackfire ni wishful thinking yako tu. You wished the same when the issue came to light....you are still wishing the same now...so keep on wishing
 
Lakini unashangaa nini ndugu yangu, that is why a Black man or woman has to prove 5 times more that s/he is capable. Lakinithe toughest is for the Black Man maana he also face so much negative stereotypes. Sasa what the media, pundits and even the DNC in part is doing is moving goalposts and raising the bar for Obama. Angekuwa Hillary in Barack's place, wangekuwa wameshamshukia Barack ajitoe! Lakini sasa they are feeding the frenzy! But nafurahi kwamba invdivudal voters wamefunguka macho na anapata sapoti kubwa sana through internet kutoka wadau wake, na hivyo making himself unavoidable in the party na ndiyo maana siku hizi anapata support miongoni mwa vigogo wa chama.

Ha! where have you been, under the rock? Have you heard all the calls for Hillary to drop out?
 
Aisee mi nangojea......BO akipata nomination sijui kama atapona kwa GoP na hii kitu ya Rev.........unakumbuka ile 2004 John Kerry.......jamaa walivyomgeuza pamoja na umaarufu wake wa Vietnam!!........anyhow lakini BO bado ni better candidate kupambana na Reps kuliko kamama
 
Aisee mi nangojea......BO akipata nomination sijui kama atapona kwa GoP na hii kitu ya Rev.........unakumbuka ile 2004 John Kerry.......jamaa walivyomgeuza pamoja na umaarufu wake wa Vietnam!!........anyhow lakini BO bado ni better candidate kupambana na Reps kuliko kamama

I disagree! He is the weakest candidate...
 
Ogah, all in all, never build your trust in American MEDIA. This same media ndo imemjenga BO mpaka wengine wakamuona kama Prophet(God sent)..It will be the same media itakayombomoa...Hii issue wangeiweka kapuni..kwani si ingeisha?. Personally naona mshikaji hajatendewa haki kwa hili-anyway just forgot kwamba kwenye siasa hakuna haki!..GOP wakiweka ile ya GOD Damn America...sijui kama atapona.....its nothing but it plays well with minds za watu...

Kwa anayejua, swala la race was bound to happen, it was just a matter of time. ...sasa Wright kalitoa zima zima..BO hawezi kumdenounce Wright bila kuonekana Yuda na weusi ambao wamepitia machungu ya ukombozi wa mtu mweusi USA na mtu kama Wright wanamheshimu sana, maana alianza kuwapa neno wakati mainstream church haziruhusu weusi....Ukiangalia kwa makini both sides have valid pooints..na BO akisema opposite watasema he was taking us for ride kwa sababu we are black (yet he is just an affluent Harvard lawyer who grew up..in white families, ambako hajui machungu ya kuwa mweusi..)

The fact kwamba media imemchoka Clinton, it doesnt automatically translate kwamba inamtaka BO...ni ma opportunist tuu..Huu uchaguzi una mengi ya kusikitisha...It sucks..

Politics tuwaachie wenyewe.wanaoweza kuspin vyema...
 
This is how Simon Jenskins has summed up about Obama and Hillary:

Clealy, "Clinton seems [by far] physically and emotionally tougher than Obama".

I agree with him.
 
This is how Simon Jenskins has summed up about Obama and Hillary:

Clealy, "Clinton seems [by far] physically and emotionally tougher than Obama".

I agree with him.

Me too!

And, did anybody see Rev. Wright's bodyguards?
The Fruit of Islam...
 
Back
Top Bottom