US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Alichotakiwa kusema Obama ni 'I'm sorry, I made an error in judgement'....angefanya hivyo tokea mwanzo lakini yeye na washabiki wake wakalipuuzia hili swala. kila mtu hukosea na ingekuwa vigumu sana kwa watu kumkosoa kwa sababu hakuna asiyefanya makosa na nina uhakika angesamehewa tu. Too late now.

Wrong dude!!......kuomba msamaha hakutamsaidia chochote...........the thing is...........BO is making the mistake of following the TV pundits and analysts (kwani hilo ndio pundits wamekuwa wakimshinikiza kufanya)........BO inabidi afahamu ya kuwa...............it is people who vote not the pundits and secondly, even by him disowning his pastor it doesn't kill the controversy.........and If there is anything.......to say..."im sorry"........it is just going to add fuel to the fire..........

................ila kama kuna kitu ambacho nafikiri kakosea at this juncture ni kum-disown Rev............kwani.................his biggest support has been from the black voters, and by him doing that............I believe he has lost himself a good part of those supporters who would have supported him but are also sympathetic to Rev. Wright's viewpoints and the way the media treated him...........i think that was one of his Big Mistake!!
 
Wrong dude!!......kuomba msamaha hakutamsaidia chochote...........the thing is...........BO is making the mistake of following the TV pundits and analysts (kwani hilo ndio pundits wamekuwa wakimshinikiza kufanya)........BO inabidi afahamu ya kuwa...............it is people who vote not the pundits and secondly, even by him disowning his pastor it doesn't kill the controversy.........and If there is anything.......to say..."im sorry"........it is just going to add fuel to the fire..........

................ila kama kuna kitu ambacho nafikiri kakosea at this juncture ni kum-disown Rev............kwani.................his biggest support has been from the black voters, and by him doing that............I believe he has lost himself a good part of those supporters who would have supported him but are also sympathetic to Rev. Wright's viewpoints and the way the media treated him...........i think that was one of his Big Mistake!!

Nah! You are wrong. Saying sorry goes a long way because many people can relate to it.
 
..mimi naona Obama alikosea alipoamu ku-deal na hili tatizo frm an intellectual point of view.

..hakutakiwa ajibu kashfa hii kwa kutoa lecture/mhadhara on race and all kinds of complexities.

..Obama angeelekeza kwamba muda wote in his public life amekuwa akipigania MAENDELEO, UMOJA, na MASIKILIZANO, kwa Wamarekani wote.



NB:

..lakini kuna wale waliokuwa wakidai kwamba "it is an attack on the Black Church." kama ni hivyo kulikuwa na ubaya gani kwa Rev.Wright kujitetea? Zaidi hivi ni jambo gani jipya alilolisema?

..kuna hatari kubwa ya kutokea mzozo ktk African American community.

..nadhani AA wanapaswa kujizuia kuchukua upande hapa. kinyume cha hapo they will be portraying themselves in a very bad light.
 
..mimi naona Obama alikosea alipoamu ku-deal na hili tatizo frm an intellectual point of view.

..hakutakiwa ajibu kashfa hii kwa kutoa lecture/mhadhara on race and all kinds of complexities.

..Obama angeelekeza kwamba muda wote in his public life amekuwa akipigania MAENDELEO, UMOJA, na MASIKILIZANO, kwa Wamarekani wote.



NB:

..lakini kuna wale waliokuwa wakidai kwamba "it is an attack on the Black Church." kama ni hivyo kulikuwa na ubaya gani kwa Rev.Wright kujitetea? Zaidi hivi ni jambo gani jipya alilolisema?

..kuna hatari kubwa ya kutokea mzozo ktk African American community.

..nadhani AA wanapaswa kujizuia kuchukua upande hapa. kinyume cha hapo they will be portraying themselves in a very bad light.

Tayari the damage has been done! The silent majority will forever associate Obama with these "angry black men"....Rev. Wright was there at the Press club clowning and throwing Omega signs (The Q Dawgs) and his security guards from the Fruit of Islam standing there....Picture this for a minute....the day Barack wins the presidency....these people are going to gloat....that now power has shifted....so think about it....is white America ready for that..? I say hell to the naw!!
 
ila ninadhani kwa reverend Wright kutokea katika kipindi hiki kunaweza kuwa na side effect ambayo ni positive kwa kampeni ya Obama.
1:itawanyima nafasi watu waliotaka kuijenga hii hoja ya wright kuwa central theme against obama bila kuwa portrayed ni advocates of hate hususan kuanzia sasa hadi general election

2:vituko vya Wright kule national press vimedilute effect ya association kati yake na Obama na instead imebaki kwa wright kama Wright.

3:kuna watu waliokuwa wanampenda Obama lakini kwa sababu ya denial ya wright wakaacha kumsurppot, sasa dhamira ile ile ya kumuona obama kama victim inaweza kuwafanya kumsupport Obama tena, kwa sababu any attempt ya kumhusisha wright na Obama itatafsirika kama attack on the innocent.

Ila hii ishu ya wright ina side effect mbaya sana kwa obama kisiasa iwapo ataukosa uraisi, weusi wanaweza kumgeuka na kumuona kama opportunist aliyeshindwa kusimama kidete kumshika mkono pastor wake pindi alipokuwa kwenye matatizo
 
Gamba la nyoka nakubaliana na wewe lakini hiyo part ya mwisho sioni kama kuna ukweli wowote,hii issue ya Wright is nothing but pure politics na its OK Republican or Hillary kuitumia kupata votes(which i doubt),lakini subiri watu waanze kurudi kwenye senses zao na kukumbuka nini Republican wamefanya ...soon utajua nini kinawasubiri Republican in Nov na kina Rove wameshajua kinachokuja,Hillary yeye kwisha wala sioni hata sababu ya kuendelea kuwemo kwenye race!
 
I disagree! He is the weakest candidate...

...and hes beating you in everything,popular votes,delegates,money,media coverage etc....and u call thats the weakest,hope ur not serious or ur just deluded urself!
 
Sen. Clinton is on "Spin Zone" tonight. Bill'O has promised (on his radio program) to be fair and balance with her..Lets see.
 
Tayari the damage has been done! The silent majority will forever associate Obama with these "angry black men"....Rev. Wright was there at the Press club clowning and throwing Omega signs (The Q Dawgs) and his security guards from the Fruit of Islam standing there....Picture this for a minute....the day Barack wins the presidency....these people are going to gloat....that now power has shifted....so think about it....is white America ready for that..? I say hell to the naw!!
You're right damage has been done ! Rev.wright is a psychopathy,He don't wanna this guy to be elected as a U.S.PRESIDENT!
 
...and hes beating you in everything,popular votes,delegates,money,media coverage etc....and u call thats the weakest,hope ur not serious or ur just deluded urself!
Tuangalie watu wamepokea vipi maneno ya Mchungaji wright na utetezi wa Obama baada ya mchungaji kutema cheche washington na madhara au kutokuwa na madhara tutayaona wiki ijayo kwa matokeo ya Indiana na hasa N.C AMBAKO ALIKUWA AKIONGOZA KWA MBALI KWA MAONI!
 
Kaka Nyani Upoo! Heshima Yako. Naona Mzee Rev. Wright Alinogewa Na Media Mpaka Akaanza Kaharibu. Kwa Sababu Obama Alimuonyesha Respect Ya Hali Ya Juu Kwenye Hotuba Yake Ya Philly, Kwa Sababu Hakum-diss Rev Mwenyewe. Chukulia Kama Wewe Mjomba Yako Anakuharibia Kazini Au Popote Utayakataa Maneno Na Matendo Yake Ile Unaweza Ukamtetea Yeye As Yeye (individual) Lakini Akizidi Sana Na Kuendelea Kuharibu Unaweza Hata Ukamtukana. Ndio Yaliyomtokea Obama. Mzee Kapata Media Attention Sasa Kashatangaza Kwamba Ataandika Kitabu Na Akaendelea Kumharibia Mchizi. Yaani Ile Niliiona Kama Black On Black Crime. Yaani Alishindwa Kumrespect Mchizi Mpaka Akaendelea Ku-run His Mouth Kiasi Hicho? Yaani Member Wa Kanisa Lake Mwenyewe Anataka Kuwa Raisi Wa Usa Halipi Uzito Hilo Jambo!! Eti Is Just One In 8000 Hahahaha! Wanugu!! Anyways Obama Kasimama Kiume Na Ka-take Risk, Tuone Matokeo Ya Indiana Na Nc.
WEWE UMELONGA!
INABIDI HAKO KAZEE KAKAPIMWE!
 
Wakuu Heshima mbele, kwa mtizamo wangu:-

1. Democrats wana two big problem, nazo ni (a). Wagombea wawili weak, Hillary ni un-likable na Jaluo ni un-electable, (b). Chama cha Democrat ni kichekesho ambacho pamoja na kushika madaraka ya Congress, sasa Gas ni dollar nne kwa gallon! Un-organized, arrogants, Liberals with absolutely no clear objects wala goals, na hata kama wanazo ni un-reachable, au un-realistic!

2. Speaker Nancy Pelosi, another Democratic joker ambaye hataki kuwa chini ya urais wa Hillary, ili aendelee kuwa mwanamke mwenye nguvu peke yake! Kwa hiyo ana steer super-delegates kwa Jaluo, lakini in the process ana wakimbiza wanawake wapiga kura kwa Makeni,

3. Wright ni a big problem kwa Jaluo, kwa sababu kitendo cha jana cha Jaluo kumkana kinathibitisha suspicion za Niggars siku zote kuwa Africans cannot be trusted inapokuja mbele ya mzungu!
Weusi wengi wameshitushwa kusikia kuwa hata ile siku ya Jaluo kuanza kampeni, kumbe Wright alikuwepo pale wakasali pamoja huko basemement , lakini akamficha asitokee mbele ya public, meaning kwamba alishajua kuwa ana problem!

4. In the end this makes Jaluo just another politician anayejali kuchaguliwa tu, bila ya kujali aliyemfikisha hapo alipo, yaani Wright kwa sababu weusi wa Chicago, wasingeweza kumpigia kura kuingia Assembly ya Chicago, Jaluo aliyezaliwa Hawaii na kusoma Harvard, kama sio juhudi za Wright kumbeba, sasa hamtaki tena kwa sababu ya wazungu? What a shame?

5. Al-Sharpton naye ameshamshitukia, baada ya juzi Jaluo, kupingana na maneno yake kuhusu police watatu walioachiwa na mahakama, baada ya kumuua mweusi kwa risasi 50, Jaluo anasema hataki violence as a means ku-achive justice, Sharpton anamuuliza mbona halijarushwa hata jiwe mmoja, sasa hayo ya violence Jaluo ameyatoa wapi?

Hatimaye, binafsi nimewashitukia Democrats na hasa waandishi wao kina Tim Rusert, Mathews, Jim na Oliberman kuwa ni nothing but Liberals, hawana muelekeo na ndio wanaomponza Jaluo, Democrats ni chama kibovu kisichokuwa na nidhamu wala adabu, wala mpangilio tena wamepitwa sana na wakati, Jaluo angekuwa na nafasi kubwa sana ya ushindi wa urais kama angekuwa Republican,

Yaaani Democrats, wamikatisha tamaa kabisaa kuwa ni bomu, mpka asasa nimejiunga na Republican, kumbe ndio maana kina Rush, Hannity, na My Hero The Great One Mark Levine wananawiri sana kwenye Radio, lakini Democrats radio yao ilikufa hata kabla haijaanza ni nothing but chama cha kichekesho, halafu you should always remember kwamba Democrats hawawezi kwdna kwenye Convention bila delegates wa Florida na Michigan, Constituion ya US iko very clear kuhusu majimbo 50 ya Us, kwa hiyo hata uchaguzi ukiiisha hayo majimbo yataishia kwenda kwenye Supreme Court kutaka uchaguzi au delegates wake watambuliwe, na jibu la Supreme Court litakuwa very clear, wala mtu hahitaji kufikiria mara mbili,

Goodbye Democratic Party! chama gani hiki? mgombea atashindaje New York, Carlifornia, Florida, Ohio, Texas, Penn State, na New Jersey, halafu awe nyuma kwenye delegates? That is a biggest joke of all US political history! Utashindaje urais wa Us bila hizi states?

Go Makeni! Go Makeni! maana at least the man stand for something as opposed na Democrats!
 
Ngabu hii inatoka kwa mama,shes a truly Democrats and she knows what at stake come Nov,at the end of the day Democrats watakuwa pamoja just for one and only one reason...to beat Mccain!

.....Clinton also called for unity.

She said it would be the "height of political foolishness" for Democrats angered that their favorite did not win the nomination to back McCain.

"Anyone, anyone who voted for either of us should be absolutely committed to voting for the other," Clinton told the Indianapolis Star.

"I'm going to shout that from the mountaintops and the valleys, and everywhere I can, no matter what the outcome of the nominating process is."
 
Clinton playing by her own set of rules
By: Roger Simon
April 30, 2008 06:29 PM EST

Hillary Clinton leads Barack Obama in the popular vote, and this is her path to victory.

She will ultimately win the Democratic nomination by convincing the superdelegates that her popular vote lead makes it legitimate for them to support her. It gives them the cover they need to deny Obama a nomination that he otherwise would have won.

What’s wrong with this picture?

First, Clinton does not lead Obama in the popular vote. It is a fantasy.

Second, the people she most needs to convince that this fantasy is true are the people least likely to believe it.

Let’s first deal with Clinton’s fantasy lead in the popular vote.

“I’m very proud that as of today, I have received more votes by the people who have voted than anyone else,” Clinton said the day after her victory in the April 22 Pennsylvania primary.

But has she really? No. Not really. Not unless you throw out the existing rules of the Democratic Party and invent a new set of Hillary Rules.

Under Hillary Rules, Clinton counts the popular vote in Michigan, where she was the only major candidate on the ballot. The Democratic Party does not recognize those votes.

Under Hillary Rules, Clinton also counts the popular vote in Florida, where candidates were forbidden to campaign. The Democratic Party does not recognize the results of the Florida primary, either.

Under Hillary Rules, Clinton throws out the “votes by the people who have voted” in the states of Iowa, Nevada, Maine and Washington, because those were caucus states, where popular vote tallies were not officially kept and where, by the way, Obama won three out of the four contests.

Under Hillary Rules, Clinton gets to choose the contests that help her, throw out the contests that do not and declare herself the winner.

Steve Kornacki of The New York Observer did an excellent, detailed story last week on Clinton and the popular vote, going through a number of different scenarios and projections for the contests that remain.
His conclusion: “The point is that under the most basic and probably the fairest criteria — simply counting every state and U.S. possession where there was a legitimate primary or a caucus where popular votes were tallied — Obama will finish the primary season hundreds of thousands of votes ahead of Clinton.”


But, hey, he’s a journalist, and journalists don’t count. Only the superdelegates count now, and this is where Hillary must win.

Which is her real problem. As I have previously pointed out, 56 percent of all superdelegates are members of the Democratic National Committee itself, and the DNC represents the largest bloc of delegates who have not yet committed to a candidate.

Am I saying that the DNC, the ultimate insiders, could decide who the Democratic nominee is? Yes, that is exactly what I am saying.

Why is this a problem for Clinton?

Because more than anybody, DNC members know that the popular vote doesn’t count, even though Clinton says it does.

The DNC made the current rules. If it had wanted a national primary, a day on which all Democrats across the land would vote and choose the nominee (a legitimate idea), it would have created such a system.

But the DNC created a different system, one in which pledged delegates — selected from legitimate primaries and caucuses — and superdelegates get to select the nominee.

OK, but let’s say you got the DNC members really, really drunk (not an outrageous scenario) and convinced them that the popular vote ought to count. Could you then convince them that counting Michigan and Florida makes sense?

No way. For starters, the DNC is the group that declared Michigan and Florida rogue states in the first place. Do you really think the DNC is now likely to accept the popular vote count from those states?

Second, to make Clinton’s popular vote fantasy work, you have to throw out the votes in legitimate caucus states such as Iowa. The DNC turns its back on Iowa? As if.

Lastly, there is the big picture: Will the DNC really overturn the choice of the pledged delegates and substitute Clinton as the nominee over Obama?

I doubt it. First and foremost, DNC members care about the party and its future. So ask yourself: Is the DNC going to shatter the party by telling black voters and young voters that their votes in legitimate primaries and caucuses do not count?

Clinton can try to make up her own set of rules, but that doesn’t mean they are going to rule the DNC or the day.

© 2007 Capitol News Company, LLC
 
given kwamba obama kashinda states 30 already ni vigumu kuona mama aliyeshinda states 15 apate nomination. Labda anachofanya ni kusubiri Obama afanye mistake moja kubwa sana ya kuwaput off wamarekani halafu yeye kiulaini adake nomination.

stratergy yake toka awali ya kutegemea super tuesday kwamba angeweza kumnock out jaluo ilimcost vibaya mno.

sasa nadhani hana jinsi ,katika contests zilizobaki Obama akiweza kushinda primary mbili tu out of five nadhani itakuwa step nzuri ya kudaka nomination.
 
Jamani, last time niliwaambia take a chill pill!
Ni wishful thinking ya Nyani, FMES na wenzake kwamba this Wright issue is soooo BAD for Obama na itaaffect everything and that McCain is so tough.
Ok je tunakubali that WallStreet Journal is dominantly conservative and should favor GOP and McCain? Right? Any poll conducted by them will probably be spinned alittle in GOP favor, right?
Well I have news for you, and just to make my point Wright is NOT an issue as you tihnk:
A new NBC/WSJ poll finds between them, Barack Obama is at 46%, Clinton 43% And while 32% are saying Rev. Wright a major concern, ties to Bush for McCain make 43% say it's a major concern. And, by the way, the head-to heads have barely changed (for example, in March it was 44-42 Obama-McCain). They've barely changed in any of the polls.......

43 percent of respondents are concerned about the 71-year-old John McCain's close ties to George Bush.
36 percent have concerns about Clinton's political opportunism, and 27 percent are concerned about Bill Clinton being back in the White House.
34 percent have problems with Obama's "bitter" remarks and 32 percent give a damn about Jeremiah Wright.

Listen, the main stream media wataongea sana lakini Obama is dong well. Maana Hata Republicans image is in the tatters - this from Wall Street Journal:

Only 27% of voters have positive views of Republicans, according to the latest Wall Street Journal/NBC News poll, the lowest level for either party in the survey's nearly two-decade history.
So please stop jumping on this issue as that's the only weakness pundits see of Obama, na hapo bado hatujaanza kuchambua pastor Hagee aliyemendorse McCain na pastor wake who want to destroy Islam. Madudu yakifumuka Reverend Wright will look very tame.
 
Naomba kuongeza kwamba when you build your campaign in hoping that the rival candidate fails and not focusing on you winning, then you are lost! Mnaosema Obama is unelectable na superdelegates will relent:
For the Clinton campaign, the reemergence of the Rev. Jeremiah A. Wright Jr., soon after Obama's comments about "bitter" small-town voters, was supposed to be the moment when superdelegates decided Obama could not be elected president. Instead, he has won more superdelegate endorsements than Clinton in recent days, whittling her once-overwhelming lead down to about 20.
Look Obama has changed the way politics is played already. He has a money machine that is clean and straight forward. Even McCain wishes he had something like that ndo maana anakimbilia kupata public financing. Imagine that! GOP being outspent by Democrats!!!!
Most of the tightness of the race and polls are perceived and manufactured. Let's wait for North Carolina and Indiana.
Good night and good luck!
 
Back
Top Bottom