Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,149
- 137,114
Mbona sisikii tena watu wakizimia....kulikoni?
Mbona sisikii tena watu wakizimia....kulikoni?
Koba, big up my brother!
Main stream media imekosa issue ya kuzungumzia na sasa imeanza kumanufacture controversy. Nashangaa washabiki wa HIllary hawalioni hilo maana mwanzoni tatizo hili lilionekana kwa Hillary na katika miaka ya 90 kwa Bill na HIllary walipokuwa White House. Moveon.org iliundwa ili kupambana na Republican attack machine na Mainstream media iliyotaka kutake advantage ya Monica Lewinsky case. Lakini leo hii HIllary is in the pocket of MSM hata wale right wing nuts mpaka Bill anaenda kwenye Rush Limbaugh program! Also Hillary is dissing Moveon.org -it's too bad.
Lakini polls zitasema mengi na pundits wataongea mengi, at the end of the day Obama anachukua nomination. Iko wazi kwamba ana pledged delegates za kutosha na super delegates ambao hawako tayari kuendorse now wanasubiri June, then watajitokeza. Akina Pelosi na Howard Dean wote wanasubiri primary iishe alafu wa-unite around him.
Na ukiangalia Republicans wameshajua hilo and they are already attacking Obama, wakijua huko wanakoenda ni kuumbuka tu!!!
Mi nasema Obama Nation needs to lean back, relax, take a deep breath and then let out a calm sigh. The road is long and winding lakini tutafika.
When it comes to getting U.S. troops out of Iraq, Sen. John McCain was for the idea before he was against it.
Three years before the Arizona Republican argued on the campaign trail that U.S. forces could be in Iraq for 100 years in the absence of violence, he decried the very concept of a long-term troop presence.
In fact, when asked specifically if he thought the U.S. military should set up shop in Iraq along the lines of what has been established in post-WWII Germany or Japan -- something McCain has repeatedly advocated during the campaign -- the senator offered nothing short of a categorical "no."
"I would hope that we could bring them all home," he said on MSNBC. "I would hope that we would probably leave some military advisers, as we have in other countries, to help them with their training and equipment and that kind of stuff."
Host Chris Matthews pressed McCain on the issue. "You've heard the ideological argument to keep U.S. forces in the Middle East. I've heard it from the hawks. They say, keep United States military presence in the Middle East, like we have with the 7th Fleet in Asia. We have the German...the South Korean component. Do you think we could get along without it?"
McCain held fast, rejecting the very policy he urges today. "I not only think we could get along without it, but I think one of our big problems has been the fact that many Iraqis resent American military presence," he responded. "And I don't pretend to know exactly Iraqi public opinion. But as soon as we can reduce our visibility as much as possible, the better I think it is going to be."
The January 2005 comments, which have not surfaced previously during the presidential campaign, represent a stunning contrast to McCain's current rhetoric.
They also run squarely against his image as having a steadfast, unwavering idea for U.S. policy in Iraq -- and provide further evidence to those, including some prominent GOP foreign policy figures in the "realist" camp, who believe McCain is increasingly adopting policies shared by neoconservatives.
Finally, the comments undercut much of the criticism the senator has launched at his Democratic and even Republican opponents.
On the campaign trail, for example, McCain has accused Sens. Barack Obama and Hillary Clinton of a "failure of leadership" by advocating a policy of drawing down troops. But in the MSNBC interview, McCain was arguing that U.S. "visibility" was detrimental to the Iraq mission and that Iraqis were responding negatively to America's presence - positions held by both Obama and Clinton.
Somewhere along the way, McCain's position changed. Perhaps twice. As Think Progress reported, in August 2007, as the troops surge was underway, McCain told the Charlie Rose Show that the Korea model was "exactly" the right template for U.S. forces in Iraq. Only three months later, and on the same show, he completely reversed himself.
Nyani, hii ishu ilikupita ya Bill kwenda Rush Limbaugh, one day before the Ohio primary? Rush aliripoti mgonjwa just on that day.
Also Fox news on Sunday aliyefanya interview na Obama alikuwa Chris Wallace kama sijakosea ambaye ni qualified journalist, siyo wehu kama Sean Haninty au Rush Limbaugh ambao hata Republicans wengine wanakubali kwamba they are too extreme. Nadhani kuna umhimu wa kutofautisha.
Also Fox news ina kasoro zake nyingi sana, lakini wao pia wameona kuwa confrontation na Obama is not good, so both sides met half way. Mi nadhani ni kitu kizuri na inaonyesha kwamba Obama is more of a uniter and is ready to reconsider and re-assess things. Mimi pia nimeona ya kuwa amefanya vyema kwenda Fox news na watu waliomshauri asiende walikosea. Hapo tumekubaliana. Lakini kumbuka left wing activists kama Moveon.org wana bifu kubwa sana na Fox News. Na walimponda Obama for going.
Anyway, interview ili kuwa nzuri na alifikia another group of people who could see that Obama is not some alien or out of this world, but human. Hata hivyo ile interview ya Bill CLinton nakataa, also endorsement ya Scaife na Hillary pia naona ni unafiki tu! These people are really extremeists, and there was no love lost between the two camps, ni sasa hivi tu and it is not even genuine.
Kama mtu ni uniter basi hana budi kuwafikia watu wote hata wale wasiokubaliana naye. Huwezi kujua unaweza kuwabadilisha mawazo. Sasa kum-dismiss Rush kwa vile tu hukubaliani naye sio busara. People should own up to their claims...if one claims to bring people together...then he should do just that, try to bring people together by reaching out to everyone even your perceived enemies and contrary to that is just hot air and smoke.
Hujanielewa au hutaki kunielewa. Kama media hukubaliani nayo inawezekana for many reasons, lakini huwezi ukaenda kuongea na ma radio host wendawazimu kama akina Rush au Sean Haninty ambaye anaongea pumba. Akina Pat Bucahnan, Chris Wallace hata Karl Rove ni tofauti, wao wanaweza kuwa na views zao lakini they are able to give a more balanced view of things. Sasa kama organization like Fox news wanakuwa na waandishi na hosts tofauti, unampa Politician uwezo wa kusema ninaprefer interview ya fulani, maana anamwamini zaidi kuwa it iwill be professional. Chris alikuwa very tough on Obama lakini ali-conduct professionally the interview. In fact he did a better job then Stephanopolous na mwenzake during ABC debate. Hapo nampa haki yake, lakini Rush Limbaugh is a nutcase! Hata McCain atamwa-avoid tu!
So hakuna cha smoke na hot air hapa, na sioni sasa point yako ni nini, maana tumeshakubali Obama ni lazima azungumze na right wing media the difference ni kwamba sioni kama kuna haja ya kutaka kuwa-please na kukubali every nutcase's interview. Amesema alichotaka kusema, watu wamemsikia, we move on!
Susuviri,
..lets be fair kidogo. nadhani hawa MSNBC na CNN ni enemy territory kwa kina Clinton. pamoja na kwamba waliwatetea wakina Clinton walipokuwa in power, lakini ktk uchaguzi huu, CNN,na MSNBC, wamekuwa biased to the point of being irresponsible.
..liberal media imewatenga Hillary na Bill. ndiyo maana wameona ili kuwasilisha ujumbe wao bora waende hata huko FOX NEWS, na kwa kina Rush Limbaugh.
..labda suala la kushangaza kabisa ni jinsi ambavyo Hillary ameendelea kufanya interviews na watu wa MSNBC. Nasema hivyo kwa kuzingatia kwamba hawa ni liberal network ambao walienda mbali mpaka kumtukana Chelsea,kumuandama Mzee Clinton, na kumkandia Hillary na kampeni yake.
..mimi ni kati ya wale ambao wanaamini kwamba media inaweza kumpamba na kumuinua Barack Obama, bila ku-destort rekodi, na ku-destroy legacy, ya kina Clinton..
For the first time Hillary will be on the O'Reilly Factor tomorrow....that's what's up!
NN, isn't that y'all wanted(ditching Rev Wright)?
Kaka mama ana follow foot steps za Obama. Obama was on Chris Wallace last Sunday..I am sure Bill'o will throw "softballs" on her, kwani they (Fox News) still predicting that Barack is going to be the nominee for the Dems.
Too little...too late...
Wright is a loose cannon
Did you see him throw the Omega sign at the press club yesterday...? He is something else...
Hahahahaaa.....and tell me people will elect Obama to occupy the White House with associations like Wright....my friend...elections are all about perceptions
I don't care if he becomes the nominee. Bottom line he's not going to win the presidency. I'll bet my blood on that!!
....naona cheerleader wa Hillary bado mpo delusional kama mwenzenu,lakini the good thing sio all Dems wako delusional/bitter kama nyie ambao mnaamini kama sio Hillary basi no Dems na mtavote Mccain,ila sasa inabidi tuu uanze kuzoea Barack is your nominee and is goin to win the presidency in Nov,na hatuhitaji kura zenu na mkampe yule babu yenu mpenda vita ingawaje atashindwa tuu Nov,hata baada ya Civil right act kupita lots of Dems wenye akili kama zenu walihama chama lakini still strong,sasa new generation ya democrats wapya ni young/open minded/college educated sio nyie wala tumbaku/classless/racist/past/no education....mwende tuu hatuwahitaji!
Hapa sijui umeongea nini...?
Keep on ranting....
Oh by the way...Obama also threw Farakhann under the bus today....but here is the kicker....he thought highly of him and went to the million man march....bwahahahahahahahaaaa.....talk about poilitical expediency