US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

...haha haha haha haha,kaushindi ka kufutia machozi,nimemuonea huruma sana lakini naona sasa itabidi aachie tuu...si unajua mta net only 16 delegates.

Obama is now speaking....let's see if some people will faint...kwikwiwkiiiii
 
Nyani, enjoy your night! Lakini unajua kwamba Mama hajapata popular vote enough to overtake Obama and neither did she get more delegates.
Sisi ObamaNation tunafurahia kwamba we closed the gap from +20 points to hold it down to 8 points! Great job!
As the primary moves on to North carolina and Indiana, the gap between Obama and Hillary will increase.
Lakini wengi hawajui that Obama camp hawako concerned sana kuendelea na primary kwa sababu they are preparing for the general elections in November. Unafikiri the Republicans and independents ambao wamewapata thrugh GOTV ni bure? Not really! Na ukisikiliza speech yake leo, Obama is not fixating on Clinton, alimtaja mara 1 tu kumpongeza but it's not about her it's McCain. Hillary is today officially out of the race.
Nite, nite Nyani

YNIM yuko kwenye kampeni ya Obama huko Pennsylvania knocking on doors and canvassing, na usiku huu yuko indiana na next POTUS hahaha!
Koba, don't be tough on Nyani mwache apate raha kidogo leo.
 
unajua haya mavumbi madogo madogo yanayokuja mabegani ....hayanyimi watu usingizi.........

anyhow...Nyani leo uwanja wako furahia sasa kwani yanayokuja ni majonzi
 

Jamani hii thread ipo? Sisi tumebanwa na ufisadi wa akina vijisenti hapa..mpaka tukashindwa kuja kuchungulia....

Anyway..I will be pleasantly happy to be proved wrong, but what I see gods are smiling big on Maccain....Honestly, Democrats sijui kama mnavuka hii November. I really mean it. in few months..this election was like a cakewalk to dems..but now? I really dont know kama mnaweza kumpiga huyu mzee..maana kadri siku zinavyokuja...both candidates wanazidi kuwa exposed...na mzee na failed principles zake za Iraq anazidi kuwa best available alternative!

Jamani, I will be happy to be proved WRONG, but I bet dems shughuli mnayo.... November siyo mbali kumpata Head boy wa dunia tena!
 
Nyani, enjoy your night! Lakini unajua kwamba Mama hajapata popular vote enough to overtake Obama and neither did she get more delegates.
Sisi ObamaNation tunafurahia kwamba we closed the gap from +20 points to hold it down to 8 points! Great job!

YNIM


Kwa kweli nyie ni kiboko ku-spin ushindi wa mama. Yaani mmeshaanza ku-down play tayari! Mtu ameshinda kwa 10 points katika ushindani mkali kama huu lakini unaona sio ushindi wa maana, sasa basi tutafute tafsiri mpya ya ushindi!
 
Kwa kweli nyie ni kiboko ku-spin ushindi wa mama. Yaani mmeshaanza ku-down play tayari! Mtu ameshinda kwa 10 points katika ushindani mkali kama huu lakini unaona sio ushindi wa maana, sasa basi tutafute tafsiri mpya ya ushindi!

Tena kashinda baada ya kuwa outspent 3:1. Na ukijumlisha na ushindi wa Florida, Mama sasa yuko mbele ya Obama ktk popular vote...
 
Nyani, enjoy your night! Lakini unajua kwamba Mama hajapata popular vote enough to overtake Obama and neither did she get more delegates.
Sisi ObamaNation tunafurahia kwamba we closed the gap from +20 points to hold it down to 8 points! Great job!
As the primary moves on to North carolina and Indiana, the gap between Obama and Hillary will increase.
Lakini wengi hawajui that Obama camp hawako concerned sana kuendelea na primary kwa sababu they are preparing for the general elections in November. Unafikiri the Republicans and independents ambao wamewapata thrugh GOTV ni bure? Not really! Na ukisikiliza speech yake leo, Obama is not fixating on Clinton, alimtaja mara 1 tu kumpongeza but it's not about her it's McCain. Hillary is today officially out of the race.
Nite, nite Nyani

YNIM yuko kwenye kampeni ya Obama huko Pennsylvania knocking on doors and canvassing, na usiku huu yuko indiana na next POTUS hahaha!
Koba, don't be tough on Nyani mwache apate raha kidogo leo.

If you include Florida Mama now is ahead in the popular vote and last time I checked there were 50 states in the US of A
 
Why can't Barack Obama put Hillary Clinton away

He's flush with cash. He oversees a high-tech political movement. His "change" message fits these anxious times. And, until recently, he had momentum. So why didn't he win Tuesday?

And why can't he close the deal?

In the short term, it may not matter because Clinton's victory in Pennsylvania is unlikely to change the dynamic of the nomination fight: It's Obama's to lose; it has been since late February when Wisconsin Democrats handed him a 10th consecutive victory and an almost insurmountable lead in pledged delegates.

Longer term, he's got problems. Here are five reasons why Clinton is still alive. Five ways he'd be vulnerable in November.

RACE: The jury is still out on whether a black man can overcome America's original sin and be elected president.

About one in five Pennsylvania voters said the race of the candidates was among the top factors in deciding how to vote, according to exit polls, and white voters who cited race supported Clinton over Obama by a 3-to-1 margin.

Results from all the primaries suggest that whites who said race was important in picking their candidate have been about twice as likely to back Clinton as Obama.

An AP-Yahoo News poll found that about 8 percent of whites would be uncomfortable voting for a black president. The actual percentage is probably higher because voters are shy about admitting a racial prejudice to pollsters.

Both campaigns exploited the race issue. The Clinton camp maneuvered to cast Obama as a candidate whose appeal was limited to blacks. The Obama campaign seized every opportunity - at times overreaching - to accuse the Clinton campaign of playing the race card.

The issue was renewed when former President Clinton, asked in an interview broadcast Tuesday with Philadelphia radio station WHYY about comments he made before the South Carolina primary, said the Obama campaign "played the race card on me."

"And we now know, from memos from the campaign and everything, that they planned to do it all along," Bill Clinton said.

WORKING-CLASS VOTERS: Obama can't win the presidency unless he starts connecting better with blue-collar voters.

The New York senator easily won among Pennsylvania voters without college degrees and those from families earning less than $50,000 a year. Gun owners, rural voters and churchgoing Democrats also backed Clinton.

These are the folks who Obama said "cling to" guns and God, an inelegant attempt to explain to San Francisco liberals how GOP operatives exploit Democratic voters in anxious economic times. He bowled (poorly) and drank beer in a feeble attempt to show a blue-collar touch.

If Obama wins the nomination, he risks losing those voters to Republican John McCain. While 68 percent of Obama voters in Pennsylvania said they would vote for Clinton should she run against McCain, just 53 percent of Clinton voters said they would vote for Obama.

Race may be an issue here, too. For years, Republicans aimed affirmative action, school busing, welfare and other racially tinged wedge issues at white working-class voters.

FRIENDS IN TROUBLE: The longer the campaign goes, the more questions Obama faces about his friends and associates.

He was forced onto the defensive by incendiary comments by his pastor, the Rev. Jeremiah Wright. Friend and fundraiser Antoin "Tony" Rezko faces corruption charges. And McCain is raising questions about Obama's relationship with former 1960s radical William Ayers, who has been quoted in an interview as saying, "I don't regret setting bombs" decades ago.

INEXPERIENCE: It's true that Clinton has never run a government or a business, but many voters give her credit for proximity. They consider her experience as first lady preparation for the presidency.

By any measure, Obama is relatively inexperienced, having left the Illinois Legislature less than four years ago.

METTLE: Clinton's backers love the fact that she fought Republicans - not to mention the "right-wing conspiracy" - during her husband's presidency. Many Democrats wonder whether Obama is tough enough, a charge that he should be putting to rest in this brass-knuckle nominating contest. But he hasn't.

Headed into Pennsylvania, the cash-strapped Clinton had to defeat Obama by a wide enough margin to stay in the race, raise money and eventually persuade a majority of party regulars - the so-called superdelegates - to side against Obama.

Victory in hand, she must keep winning - Indiana, North Carolina, Oregon, Kentucky, West Virginia, Puerto Rico and beyond, all tall orders, and catch every break along the way.

"He broke every spending record in this state, trying to knock us out of the race," Clinton crowed in victory Tuesday night. "Well, the people of Pennsylvania had other ideas."

The question is whether superdelegates will get other ideas. Will they start wondering why can't Obama put her away?



I thought race was no longer a factor in this election. Or Iam missing something? All in all..to know and appreciate what is happening in US politics much depends on the news outlets you come across.
 
If you include Florida Mama now is ahead in the popular vote and last time I checked there were 50 states in the US of A

....angalia huyu,kumbe hata facts hana kazi ubishi tuu,nasubiri NC wamwonyeshe mama mlango wa kutokea maana haelewi,chance ya mama kupata nomination ni zero (from the ballot)...kukusaidia hata ukiweka Florida9will never happen) mama bado yuko nyuma na sasa baada ya jana yupo nyuma almost half a million vote na jana amegain only 13 delegates na leo asubuhi 2 superdelegates in the Obama column,NC wata offset ushindi wote wa jana na lead itaongezeka...endeleeni kuwa vituko!
 
Kwa kweli nyie ni kiboko ku-spin ushindi wa mama. Yaani mmeshaanza ku-down play tayari! Mtu ameshinda kwa 10 points katika ushindani mkali kama huu lakini unaona sio ushindi wa maana, sasa basi tutafute tafsiri mpya ya ushindi!

Ofcourse Sen. Clinton kashinda goo for her. sio kwamba tuna down play victory yake. She was expected to win Penn State and if I remember correctly she was once ahead by 20 points in polls. Ni sawa sawa na Obama ashabikie kushinda Illinois. He's expected to win there. The issue is to win by how much and if at all the margin of the victory is going to change the dynamic of the race.
 
...Masanja race bado ni factor lakini wanao play kwa upande wa Democrats hawana idea na wanachofanya na wanajiumiza wenyewe,weusi have nothing to loose na miaka yote wako royal to DP na wanavote Dems nominee 90% of the times hata kama ni mzungu,its sad kuona almost half of PA Dems will vote to Mccain if Obama is a nominee na factor seems ni color tuu,lakini iki happen itakuwa ni tsunami in Democratic party na wataloose kila kitu maana bila weusi hawana pa kushinda na wataanza na mama kumwondoa useneta NY...na itakuwa vizuri maana tutajua DP is no more DP ila bunch of stupid racist!
 
Ofcourse Sen. Clinton kashinda goo for her. sio kwamba tuna down play victory yake. She was expected to win Penn State and if I remember correctly she was once ahead by 20 points in polls. Ni sawa sawa na Obama ashabikie kushinda Illinois. He's expected to win there. The issue is to win by how much and if at all the margin of the victory is going to change the dynamic of the race.

Hebu nisaidie pia pundits wa Obama, kwa nini hashindi kabisa majimbo makubwa na nini madhara yake katika uchaguzi mkuu hapo November? Grateful if you could be less obamaniac in answering this question!
 
yaani maswali mengine yanonyesha jinsi watu wasivyoweza kufikiria,sijui nani kawaambia kushinda lazima ushinde majimbo makubwa...Obama has more votes,more states,more delegates,more money...sasa sijui kuna ushindi gani zaidi ya huo?
 
...this is just in,in PA delegates Clinton 80 Obama 71 and 8 waiting for allocation na OKL Gov(superdelegates) just endosed obama,only 9 net for clinton....kweli clintons re just delusional and wasting their time in this!
 
yaani maswali mengine yanonyesha jinsi watu wasivyoweza kufikiria,sijui nani kawaambia kushinda lazima ushinde majimbo makubwa...Obama has more votes,more states,more delegates,more money...sasa sijui kuna ushindi gani zaidi ya huo?

Hayo majimbo makubwa huwezi kushinda uraisi bila kushinda hayo majimbo. Halafu mnakataa bure tu siku ya siku ikifika wazungu wengi hawatampigia kura Obama kwa vile ni mweusi. Kama weusi wanamsapoti Obama kwa asilimia 92 halafu hamsemi kuhusu ubaguzi sasa iweje wazungu wakimpigia kura mzungu mwenzao McCain watu walie ubaguzi? Hiyo ndio hali halisi ilivyo. Wazungu wako wengi na ni automatic win kwa McCain come November
 
Nyani,
....kwanini unatabia ya kupotosha sana?intergrity na honest yako inakuwa na big qn mark!tabia mbaya sana. ukweli ni kwamba hata ukichanganya FL, Obama anakuwa anaongoza ktk popular votes kwa takribani kura laki 2 na ushee!! sasa kama hata hizo hesabu za +/- nazo ni mgogoro, sijui tutakusaidiaje ktk karne hii ya 21.....shame on you Nyani Ngabu, you're the worst person of the dayyyyyyyyyy.

Kitila,
BO anashindwa ktk big states kwasababu moja kubwa, nayo ni ubaguzi wa irish, italian, jewish, polish americans n.k ktk big industrial states in the north east!! kuna resentment kubwa sana hasa kwa whites women against blacks(maelezo ni mingi, lakini culprits ni civil rights mvt, affirmative actions....kujisahau kwa blacks)!!! California, BO alishindwa kwa sababu nyingine ambazo ni tofauti kabisa na zile za MA, NH, NJ, NY, OH na sasa PA.....yaani sitashangaa ktk generals kama OB ndie nominee states hizo zikaenda GOP including MI!( don't ask me why).
hamna miji baguzi hapa USA kichinichini kama beantown(boston) na city of brotherly love(philadelphia).....wanapenda weusi pale unapowapigia magoti au ukiwa athletes, vinginevyo hasa ukiwa a threat, lazima watakutia matatani!!! Martin Luther King, Jr alipewa kesi ya kutumia "desa" na kukopi kazi za watu pale Boston University(commonwealth avenue....) ambayo ilikuwa ni uongo na lengo lilikuwa kumzamisha, wire tapes za FBI ziliidhinishwa na RFK akiwa AG wakti huo....halafu sikiliza rhetoric zao?? unafiki mtupu!!.
ila kama hivi ndivyo ilivyo basi DP will never win presidency again kwani blacks nao watastuka kukiunga mkono blindly. kama alivyosema Koba hapo juu watu weusi hawana chakupoteza, kwani kila kitu kipo ni utilization tu.
Go Obama.......
 
Nyani,
....kwanini unatabia ya kupotosha sana?intergrity na honest yako inakuwa na big qn mark!tabia mbaya sana. ukweli ni kwamba hata ukichanganya FL, Obama anakuwa anaongoza ktk popular votes kwa takribani kura laki 2 na ushee!! sasa kama hata hizo hesabu za +/- nazo ni mgogoro, sijui tutakusaidiaje ktk karne hii ya 21.....shame on you Nyani Ngabu, you're the worst person of the dayyyyyyyyyy.

Kitila,
BO anashindwa ktk big states kwasababu moja kubwa, nayo ni ubaguzi wa irish, italian, jewish, polish americans n.k ktk big industrial states in the north east!! kuna resentment kubwa sana hasa kwa whites women against blacks(maelezo ni mingi, lakini culprits ni civil rights mvt, affirmative actions....kujisahau kwa blacks)!!! California, BO alishindwa kwa sababu nyingine ambazo ni tofauti kabisa na zile za MA, NH, NJ, NY, OH na sasa PA.....yaani sitashangaa ktk generals kama OB ndie nominee states hizo zikaenda GOP including MI!( don't ask me why).
hamna miji baguzi hapa USA kichinichini kama beantown(boston) na city of brotherly love(philadelphia).....wanapenda weusi pale unapowapigia magoti au ukiwa athletes, vinginevyo hasa ukiwa a threat, lazima watakutia matatani!!! Martin Luther King, Jr alipewa kesi ya kutumia "desa" na kukopi kazi za watu pale Boston University(commonwealth avenue....) ambayo ilikuwa ni uongo na lengo lilikuwa kumzamisha, wire tapes za FBI ziliidhinishwa na RFK akiwa AG wakti huo....halafu sikiliza rhetoric zao?? unafiki mtupu!!.
ila kama hivi ndivyo ilivyo basi DP will never win presidency again kwani blacks nao watastuka kukiunga mkono blindly. kama alivyosema Koba hapo juu watu weusi hawana chakupoteza, kwani kila kitu kipo ni utilization tu.
Go Obama.......

Kheee!! Umezinduka ukiwa sober eeeh? Angalau unaongea sense kidogo leo maana umekubali kuwa rangi bado ni factor. Mimi nimeshasema hapa sitashangaa McCain aki-pull a Reagan na kushinda majimbo 40+.

Good to see you back. Naona rehab (alcohol) imefanya kazi. Karibu tena.
 
Nyani,
...nilikuwa zangu Papeete huko Tahiti nakula raha!! unajua tena unapiga box unazichanga then unaenda kutumia!! sio wewe unashinda hapa kutwa kucha unapeana "ma-thank you" na mwafrika wa kike......bwahahahahaha.!! get a life dude.
 
Hebu nisaidie pia pundits wa Obama, kwa nini hashindi kabisa majimbo makubwa na nini madhara yake katika uchaguzi mkuu hapo November? Grateful if you could be less obamaniac in answering this question!

Kitila this is the fact. Sen. Obama ana struggle kwa makundi yafuatayo:
1. Wanawake (whites)miaka 50 and above
2. Blue collar voters
3. Lower and middle class voters(wanaoishi kwenye rural areas)

Ukiangalia kwa ukaribu. Texas, Ohio, na Penn State zina majority ya those three groups nilizo zitaja hapo juu. Kuna baadhi ya sababu why she (Se. Clinton) is favorable.
1. White women (voters) miaka 50 and above, for them and based on the history (glass ceiling, etc) hii ndio chance pekee a female candidate has ever come close to a presidential nomination. Thats why they rally so much behind her..ni kama the majority of blacks behind Sen. Obama.
2. Rural people: The majority ni whites ambao traditionally they were born and raised in the same environment (sorroundings) and they have never left or change their surroundings and they hold dear their values, eg. religion, family, etc. The majority are farmers. Since there are two choices...candidate mweusi na candidate mweupe. You feel comfortable supporting the candidate that is like you, (Ndio Obama alikuwa akijaribu kusema na comment yake ya "bitter"). Ni sawa sawa na mimi niende nikagombee Ubunge kule Monduli wakati mimi ni "Ormeki"(non Masai). Hata nikiwa popular namna gani nitakamata kura za wakazi wa urban areas na mashuleni ambako kuna mwamko zaidi wa kisiasa, lakini kule ndani ndani nitapata vikwazo kwa sababu sitakubalika. And this apply to Hillary as well. Ndio maana mama hatambi sana in urban places na among young voters (college students). It is all about territory.
 
Back
Top Bottom