Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 891
..indiana ni toss up, kuna polls zinaonyesha Obama anaongoza kwa 2 points lakini hii state inaweza kwenda kwa yeyote. North Carolina, Obama anaweza kushinda kwa double digits, ingawa kuna republican forces zinataka kumsadia mama kiana. Kentucky, ni Clinton bila ubishi. Oregon ni tailor made kwa Obama. Puerto Rico, itachukuliwa na Hillary so as West Virginia!! lakini Guam ni Obama..........kutokana na hiyo "map madness," HRC kwisha habari!! ubishi tu.
Labda niongeye tu kwamba the larger states left ni North Carolina na Indiana, which combined have same delegates as Philadelphia. So if Obama wins with wider margin in NC and keeps it close in Indiana, then it's game over for real. Lakini YNIM, mbona naona Guam imekaa ki-Hillary, not that it matters with 5 delegates or so.