sina haja ya kuangalia Hannity and Colmes, kwani najua huyo Rev. Meeks ni nani. James T. Meeks ni Illinois state senator na reverend mwenye congregation ya takribani watu 22,000....jamaa huwa ana rhetoric ambazo ni anti gayz na @ timez controversial! so its more of the same toka kwa kile tulichosikia toka kwa Dr. Wright. Kosa la Obama hapa labda ni kuwa alifanyakazi pamoja na Meeks kwenye Illinois Assembly na labda ile kukampeni kwenye church yake wakati anagombea US senate sit.........ambayo kimsingi si makosa kwa jinsi yeyote ile!! kubali kataa hii kitu ita fade, na pengine ndio -ve pekee waliyopata na watakayopata against him...hey homeboy, we're far away to November, usianze kuhesabu faida wakati ndio kwanza kumekucha!!
kuna article flani najua wewe utaipenda maana inaponda Obama.......ingia:
www.bilerico.com hapo tafuta article ya Rev. Irene Monroe, titled: IF OBAMA CAN THROW HIS PASTOR UNDER THE BUS, WHAT WILL HE DO TO US?. isome yote na comments za wasomaji halafu njoo tena hapa tubishane.
Poor guy anachukua fire toka kila kona, Media, Billary, Gay rights groups, McCain, Whites racists, Blacks racists, kwikwikwikwi Nyani Ngabu, The Lies(Truth) and Kitila, lazima yote hayo yachukue toll kwenye polls.....lakini, inshallah, god wishes, kwasababu malengo ya kampeni hii ni mazuri basi mambo nayo yatakuwa mazuri!!
Yes We Can, Yes We Will Survive.