US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Unajua hii thread inavyozidi kwenda unaanza kugundua kwamba reality is downing on most of the people! Which is good.

Ikifika April/May wengi humu watakuwa wameshakomaa kisiasa na kuacha ushabiki na kuangalia real issues facing Dems as a party.

Tuendelee kukata issus hapa...Lakini ukweli ni kwamba you are yet to see the other side of BO ya ukweli au uongo..but it will be dug and na watu wapiga kura watalishwa!

Hivi mnaamini katika siasa kuna fairness?
 
Unajua hii thread inavyozidi kwenda unaanza kugundua kwamba reality is downing on most of the people! Which is good.

Ikifika April/May wengi humu watakuwa wameshakomaa kisiasa na kuacha ushabiki na kuangalia real issues facing Dems as a party.

Tuendelee kukata issus hapa...Lakini ukweli ni kwamba you are yet to see the other side of BO ya ukweli au uongo..but it will be dug and na watu wapiga kura watalishwa!

Hivi mnaamini katika siasa kuna fairness?

Is life fair?
 
WASHINGTON (Reuters) - Democratic presidential candidate Hillary Clinton has moved into a significant lead over Barack Obama for the first time in weeks in the race for the party nomination, according to a Gallup poll.

The March 14-18 national survey of 1,209 Democratic and Democratic-leaning voters gave Clinton, a New York senator, a 49 percent to 42 percent edge over Obama, an Illinois senator. The poll has an error margin of 3 percentage points.

Gallup said it was the first statistically significant lead for Clinton since a tracking poll conducted February 7-9, just after the Super Tuesday primaries. The two candidates had largely been locked in a statistical tie since then, with Obama last holding a lead over Clinton in a March 11-13 poll.

Gallup said polling data also showed presumptive Republican nominee John McCain leading Obama 47 percent to 43 percent in 4,367 registered voters' preferences for the general election. The general election survey has an error margin of 2 percentage points.

The Arizona senator also edged Clinton 48 percent to 45 percent but Gallup said the lead was not statistically significant.
 
Unajua hii thread inavyozidi kwenda unaanza kugundua kwamba reality is downing on most of the people! Which is good.

Ikifika April/May wengi humu watakuwa wameshakomaa kisiasa na kuacha ushabiki na kuangalia real issues facing Dems as a party.

Tuendelee kukata issus hapa...Lakini ukweli ni kwamba you are yet to see the other side of BO ya ukweli au uongo..but it will be dug and na watu wapiga kura watalishwa!

Hivi mnaamini katika siasa kuna fairness?

I beg to differ mkuu, si kweli kwamba watu hawajakomaa kisiasa au wapo naive, ila watu wamechoka divisive politics..chaguzi zinaishia kwa personal issues instead of real issues, in short watu wanataka changes ktk political process nzima hapa US na ikiwezekana nyumbani. Hata Obama mwenyewe kasema kwamba mabadiliko haya hayatatokea ktk election moja, lakini angependa kwamba hii iwe hatua ya kwanza kuelekea huko.

Binafsi huu ni uchaguzi wa tatu wa raisi nashuhudia nikiwa hapa US, so, yanayotokea mwaka huu, hutokea kila mwaka. Lakini swali, je hivi ndivyo inavyotakiwa iwe? what about economics,education na mengineyo?

Kila mtu anajua kuwa life haipo fair, lakini hiyo isiwe excuse ya kusababisha misery na kupotosha watu kwasababu tu someone anataka kuwa raisi. Hivi unajua hali mbaya ya kiuchumi na security hapa US na dunia nzima inasababishwa na hizo politics za dog eat dog?

hivi kwanini wasiongelea madhara ya outsourcing,HMO's,social security,immigration,iraq war, potential for climate changes due to global warming etc. what Dr. Wright has anything to do with that or with the well being of regular Joes in main street America?

Mwisho ni kwamba, labda miongoni mwetu tupo blinded sided from hizo politics za mudslinging, kwasababu ya hunger for change..unajua mambo mangapi mazuri yanakwama in Wash, DC kwasababu ya huu upuuzi? kibaya zaidi hawa jamaa ndio vinara wa dunia, which means wao ndio wana set precedents mbaya kama hizi za kuchafuana ambazo zinaigwa na wanasiasa wetu Tanzania na kwingineko.

Tuangalie haya mambo ktk bigger picture
 
Obama-maniacs mko wapi leo?

naona McCain amefanya jambo la maana sana kum-fire staffer aliye leakisha zile tapes za Dr. Wright kwenye media!!! hivi ndivyo kampeni zinavyotakiwa kuendeshwa........kama post yangu hapo juu inavyojieleza, McCain nae yupo upande wa change wa political process nzima!!! ndio maana siku za nyuma huko mie nilishawahi kusema uso kwa uso McCain v/s Hillary, mie naenda na McCain.

Kwahili nampa kibabu kudos! ingawa pia na suspect kwamba ni strategic move, kwamba McCain kampeni walikuwa wanajua, walikuwa ok na leakage, sasa wanaji position kuonekana kama hawataki dirty politcs na huyu staffer ni fall guy!!!.........speaking of conspirancy theories. LOL.
 
Kalikisha kivipi wakati tape zinauzwa na kanisa la Wright na Hannity amekuwa nazo toka mwaka jana?
 
Kalikisha kivipi wakati tape zinauzwa na kanisa la Wright na Hannity amekuwa nazo toka mwaka jana?

sasa unabisha nini?? jamaa kawa fired kwa kulikisha tape kwa Fix News, its a fact!! hayo mambo ya Hannity kasema alikuwa nazo toka mwaka juzi, unaweza kuthibitisha kama ni kweli?? angalia websites za major news channels utakuna na hiyo ripoti ya staffer kuwa fired........
 
....check haya majinga jinsi yalivyo ignorant,kweli nimeamini wanaosema wengi ambao hawampendi Obama Education ni ndogo


....If Obama were ever to become president, then the same **** that happened to South Africa will happen here. He'll open the door to masses of blacks from Africa, and he'll take away the rights of whites in the US. Just like the farmers and other whites are getting murdered and driven out of their homes in S.A, the same will happen when you let a snake like Obama become president in the US. This doesn't take a politican to realize, it had happened in S.A and is still happening. Don't believe it? Then go check out the internet, youtube alone has enough footage about the government sanctioned killing of whites.
 
sasa unabisha nini?? jamaa kawa fired kwa kulikisha tape kwa Fix News, its a fact!! hayo mambo ya Hannity kasema alikuwa nazo toka mwaka juzi, unaweza kuthibitisha kama ni kweli?? angalia websites za major news channels utakuna na hiyo ripoti ya staffer kuwa fired........

Sibishi ila ninachosema hivi vioja vya Wright Hannity kaanza kuvishikia bango tokea mwezi Machi mwaka jana. Unachosema wewe nadhani ni ile re-mix iliyotengenezwa na campaign staff wa McCain. Kusema huyo staff member ndio amelikisha kila kitu ni kusema uongo. Naomba uweke source au habari yenyewe tuichambue.
 
....check haya majinga jinsi yalivyo ignorant,kweli nimeamini wanaosema wengi ambao hawampendi Obama Education ni ndogo


....If Obama were ever to become president, then the same **** that happened to South Africa will happen here. He'll open the door to masses of blacks from Africa, and he'll take away the rights of whites in the US. Just like the farmers and other whites are getting murdered and driven out of their homes in S.A, the same will happen when you let a snake like Obama become president in the US. This doesn't take a politican to realize, it had happened in S.A and is still happening. Don't believe it? Then go check out the internet, youtube alone has enough footage about the government sanctioned killing of whites.

Kwikwikwiiiiii....na hao ndio wako wengi...kwikwikwiiiiiii....na siku ya kupiga kura huwa wanajitokeza kwa wingi....kwikwikwiiiiii
 
Hannity alimtosa huyo jamaa looongi...Obama bado anamng'ang'ania Jeremiah Wright....why?
OBAMA HATAKUWA RAIS WA KITUMWA KAMA INAVYOONEKANA AFRIKA AMBAPO NI LAZIMA UKISS WHITE PEOPLE'S ASS!WAZUNGU HAWAPENDI KUKOSOLEWA ESP NA BLACKS..OBAMA NI SHUJAA..ITAMLIPA BAADAE,KWANI WASIPOANGALIA NCHI ITARUDI KWENYE SIASA ZA 60'S NA OBAMA KUANZISHA MOVEMENT YAKE YA CIVIL RIGHTS MITHILI YA ILE A MLK!ANAWAKOMALIA KUWA ANAELEWA PANDE ZOTE!WE SUBIRI TU WAKIENDELEA NA LAWAMA UTAONA WAZUNGU WENGI TU WANATOLEWA MANISHAI KWA KUJIKUTA WAKIHUSISHWA NA MA KKK NA MABAGUZI MENGINE AMBAYO KWAO KUBAGUA NI PATRIOTISM NA KWA WENZAO NI RACISM!NYANI UNAJIGAMBA WEWE REPUBLIKAN!?UNAJIPENDEKEZA TUU,TENA NA JINA NI NYANI!WE NDO UNATAKIWA UWE MAKINI!SASA KWASABABU UKO US NA MAYBE UMEPATA URAIA UNAJIONA NA WEWE SAWA NA MC CAIN!UNACHEZA WEWE!HIVI HUJUI KUWA HATA HAWA MABLACK WALIPEWA URAIA KIMBINDE KWELI BAADA TU YA UTUMWA KWISHA!ILA BADO UKAWA NI URAIA WA KIHATIHATI..WAO WAKO MAREKANI TOKA ENZI ZA UTUMWA LAKINI KUNA MABAGUZI YANAYOTAKA WARUDISHWE KWAO HUKO AFRIKA!SASA NA WEWE HUO URAIA WAKO UKO KWENYE MAKARATASI TU!KWENYE REALITY WEWE NI BADO NYANI TU FROM AFRIKA!UPO?MH REPUBLIKAN KUDANDIA!
 
OBAMA HATAKUWA RAIS WA KITUMWA KAMA INAVYOONEKANA AFRIKA AMBAPO NI LAZIMA UKISS WHITE PEOPLE'S ASS!WAZUNGU HAWAPENDI KUKOSOLEWA ESP NA BLACKS..OBAMA NI SHUJAA..ITAMLIPA BAADAE,KWANI WASIPOANGALIA NCHI ITARUDI KWENYE SIASA ZA 60'S NA OBAMA KUANZISHA MOVEMENT YAKE YA CIVIL RIGHTS MITHILI YA ILE A MLK!ANAWAKOMALIA KUWA ANAELEWA PANDE ZOTE!WE SUBIRI TU WAKIENDELEA NA LAWAMA UTAONA WAZUNGU WENGI TU WANATOLEWA MANISHAI KWA KUJIKUTA WAKIHUSISHWA NA MA KKK NA MABAGUZI MENGINE AMBAYO KWAO KUBAGUA NI PATRIOTISM NA KWA WENZAO NI RACISM!NYANI UNAJIGAMBA WEWE REPUBLIKAN!?UNAJIPENDEKEZA TUU,TENA NA JINA NI NYANI!WE NDO UNATAKIWA UWE MAKINI!SASA KWASABABU UKO US NA MAYBE UMEPATA URAIA UNAJIONA NA WEWE SAWA NA MC CAIN!UNACHEZA WEWE!HIVI HUJUI KUWA HATA HAWA MABLACK WALIPEWA URAIA KIMBINDE KWELI BAADA TU YA UTUMWA KWISHA!ILA BADO UKAWA NI URAIA WA KIHATIHATI..WAO WAKO MAREKANI TOKA ENZI ZA UTUMWA LAKINI KUNA MABAGUZI YANAYOTAKA WARUDISHWE KWAO HUKO AFRIKA!SASA NA WEWE HUO URAIA WAKO UKO KWENYE MAKARATASI TU!KWENYE REALITY WEWE NI BADO NYANI TU FROM AFRIKA!UPO?MH REPUBLIKAN KUDANDIA!

Mmhhh...pole sana ndugu yangu. Naona una mihasira yako na umeamua kuja kuitolea kwangu. Hewala.
 
Two State Dept Workers Fired For Security Breach On Obama's Pasport Records..a Lawsuit Possible Plus More Investigations!
 
Mmhhh...pole sana ndugu yangu. Naona una mihasira yako na umeamua kuja kuitolea kwangu. Hewala.
SIWEZI KUWA NA HASIRA ILA NINA WISDOM TO UNDERSTAND WHATS RIGHT!SIJAITOLEA MIHASIRA YOYOTE KWAKO ILA NAKUPASHA UKWELI KAMA OBAMA ALIVYOWAPASHA MABAGUZI NA MA CYNISTS KAMA WEWE..KWA KUPATA URAIA WA MAREKANI NA KUJIONA KUWA SASA WEWE NA MC CAIN NA BUSH NI SAWA!HAPO BADO SANA UNLESS OBAMA AWE RAIS THEN NYANI NA WEWE UNAWEZA KUWA RESPECTED!AMA LA URUDI AFRIKA UMSUBIRI BUSH AMA MC CAIN ALETE PESA HUKU OBAMA AKIONEKANA KUWA NA YEYE NI NYANI TU AMBAYE HARUHUSIWI KUMWAMBIA MZUNGU NINI CHA KUFANYA NA NANI ATAWALE!KIKWETE KWAKUWA NA YEYE NI RAIS WA KITUMWA WHEN IT COMES TO OUR RELATIONS TO NCHI ZA MAGHARIBI AKADAI"I CAN NOT VENTURE IN THAT TERRITORY"SASA CAN BUSH VENTURE AND SHIT IN OUR TERRITORY AND WE STILL KISS THEIR ASSES?NYANI NYANI NYANI..MBONA TUNAANGUSHANA?
 
SIWEZI KUWA NA HASIRA ILA NINA WISDOM TO UNDERSTAND WHATS RIGHT!SIJAITOLEA MIHASIRA YOYOTE KWAKO ILA NAKUPASHA UKWELI KAMA OBAMA ALIVYOWAPASHA MABAGUZI NA MA CYNISTS KAMA WEWE..KWA KUPATA URAIA WA MAREKANI NA KUJIONA KUWA SASA WEWE NA MC CAIN NA BUSH NI SAWA!HAPO BADO SANA UNLESS OBAMA AWE RAIS THEN NYANI NA WEWE UNAWEZA KUWA RESPECTED!AMA LA URUDI AFRIKA UMSUBIRI BUSH AMA MC CAIN ALETE PESA HUKU OBAMA AKIONEKANA KUWA NA YEYE NI NYANI TU AMBAYE HARUHUSIWI KUMWAMBIA MZUNGU NINI CHA KUFANYA NA NANI ATAWALE!KIKWETE KWAKUWA NA YEYE NI RAIS WA KITUMWA WHEN IT COMES TO OUR RELATIONS TO NCHI ZA MAGHARIBI AKADAI"I CAN NOT VENTURE IN THAT TERRITORY"SASA CAN BUSH VENTURE AND SHIT IN OUR TERRITORY AND WE STILL KISS THEIR ASSES?NYANI NYANI NYANI..MBONA TUNAANGUSHANA?

Haya nimekusikia...
 
RECORDS ZA PASSPORT YA OBAMA ZIMEPEKENYULIWA HUKO STATE DEPT...ZAKO ZITAKUWAJE?

naona keith olbermann, anatumia saa nzima ya countdown ktk hii nyuzi mvunjiko!! hivi sasa record za passport ya jamaa za nini?? kwikwikwi au wanataka kujua kama alishaga wahi kwenda Afghanstan wakti wa Taliban au what?? good god, how low, they'r willing to go to win this campaign??

well, labda hii issue inaweza kutumika ku-deviate some attention toka kwa story ya Dr. Wright........
 
Back
Top Bottom