Nyani ,
Sean mbona akutaka Malik Shabash aongee pale alipoanza kuzungumzia uhusiano wake na jamaa ambaye alikuwa NAZI .
naona hapa Rev Bill Lawson kamnyong'onyeza Hannity........hana kipya anaenda in cycles tu, over and over again! kiasi kwamba mpaka inaboa.
vipi kuhusu anavyosema kwamba watu wasichague Obama kwasababu atauawa? that's like calling for it! kazi ipo.
Nyani ,
Yani jamaa namchukia vibaya sana ! Lakini I have to confess naangalia kipindi chake na kumsikiliza kwenye radio. Ila jamaa ni mbaguzi ambaye anajaribu kuinject race kwa nguvu zote .
Nyani ,
Vipi unamsikiliza Michael Savage pia?
hannity aibu tupu kumbe naye rafiki wa NAZI huku anajifanya alichofanya Obama ni murder,sasa inabidi watu waturn against this guy ili kuonyesha his true color...baguzi kweli kweli hili na limetolewa nishai na shabazz leo mpaka likaingia mitini!
Obama yuko kwenye AC360...
NN, loyalty.....
Hannity alimtosa huyo jamaa looongi...Obama bado anamng'ang'ania Jeremiah Wright....why?
..hypocrits tuu,hakuna kitu hapo na inaonekana right wing hamna issue ya kupambana na Obama zaidi ya pastor wright,mccain will be crushed come november maana hana issue zaidi ya vita na unpopular Tax cut huku wakitegemea stupid whitemen will vote against woman or black candidate,will never happen na tsunami inawasubiri republican hata wakijaribu spin kiasi gani!
Hii ni kwa rafiki yangu YourName....http://www.wdun.com/
Hapa unaweza kumsikiliza Rush na Sean kwa kubonyeza hapo panaposema listen live mkono wa kushoto bila ya kudownload chochote. Easy and simple.
Records za mama zimetolewa, lakini inasemekana baadhi ya vitu vimefutwa ...kazi ipo!!!