Urusi walalamika kuhusu uwepo wa wanajeshi wa Marekani wanaoelekeza namna ya matumizi ya HIMARS

Urusi muda mwingine wanakera sana, hii vita watashindwa kwa ujinga wao wa kutotumia silaha nzito kumaliza hii vita.

Au Urusi hana hizo silaha nzito kama tunavyoaminishwa?
Mkuu unataka watumie silaha gani tena maana washatumia silaha nzito karibu zote kuanzia Iskander,thermobaric missiles, hypersonic missiles,cruise missiles lakini vitu kwa ground bado vigumu lakini kuna watu wanakwambia eti jamaa katumia 5% ya uwezo wake wa kijeshi.

Ukweli ni kwamba Russia hakupiga hesabu za maana kuingia vitani kwa sasa na pia aliidharau Sana Ukraine,nikikumbuka wale paratroopers walivyokua wanashuka Kiev wakati operation inaanza walivyofyekwa wote nabaki tu nasema hiiiiiii
 
Ni suala la muda tu - HIMARS hutazisikia tena, kumbukeni Drones za Utruki huko Ukraine zilivyo shughurikiwa na air defense system za Russia hivyo Drone hizo siku hizi hazitambi tena - mwarobaini wa HIMARS bado huko jikoni unachemka muda si mrefu zitakumbwa na kisago cha nguvu, pia mamuluki wa Kimerikani wanao tumiwa kuzifyatua nao watapelekwa jehanamu watake wasitake.

Kumbukeni kwamba Urusi kitu ingine kabisa omba uwasikie kwenye radio tu, watu hawajui kwamba nguvu ya Urusi ya kijeshi inayo tumika kwenye operation hii nchini Ukraine ni asili mia 5% ya nguvu halisi ya Russian miIitary - kama Putin ange hamua kufanya kweli, saa hizi tungelikuwa tunazungumza mengine kabisa kuhusu Taifa la Ukraine.

Zelensky hasijifanye kichwa ngumu, atumie hekima na busara afanye mazungumzo na Putin ili kusitisha vita atekeleze makubaliono yao ya Minski hasikubali ushauri mbovu anaopewa na Biden na wapambe wake wachumia tumbo.

Zelensky akumbuke kwamba hata apate misaada lukuki kutoka magharibi hataweza kushinda vita hii, badala yake Taifa lake litazidi kuharibiwa vibaya sana na raia wengi kupoteza maisha, vile vile majirani zake wana mpango wa kuimega Ukraine vipande vipande: mashariki itamegwa na Urusi na actually wamekwisha anza mchakato wa kutwaa majimbo yote ya mashariki ,majimbo ya magharibi Poland na Romania ziko mbioni kuyamega, mwisho wa siku Ukraine itabakiwa na jimbo la Kiev tu, basi.
Kwanini umeongea pumba leo mkuu au so wewe?., ata Russia akija kupata plan ya kuzuia HIMARS za Marekani maelfu mangapi ya askari wake watakuwa wamekufa., unadhan putin ataendelea kutojali askari wake kuuliwa? ndio mana saiv amepoa na kutafuta namna yoyote vita iishe.

America ni wanyama wa dunia ukitoa hizo HIMARS wataleta kubwa yake pia mwache putini akurupuke na silaha zake za kizamani, saiv tunaelezwa anaomba msaada wa silaha kutoka Iran
 
Kwanini umeongea pumba leo mkuu au so wewe?., ata Russia akija kupata plan ya kuzuia HIMARS za Marekani maelfu mangapi ya askari wake watakuwa wamekufa., unadhan putin ataendelea kutojali askari wake kuuliwa? ndio mana saiv amepoa na kutafuta namna yoyote vita iishe.

America ni wanyama wa dunia ukitoa hizo HIMARS wataleta kubwa yake pia mwache putini akurupuke na silaha zake za kizamani, saiv tunaelezwa anaomba msaada wa silaha kutoka Iran
Huyu jamaaa Huwa namuheshimu sana kwa mawazo yake hata kabla sija join jamiiforum,nikiwa msomaji tu, lakini inaonekana amezama kwenye mahaba mazito na hii anayoiita special epereshen aliyoanzisha Putin..,haya mahaba imefikia wakati mpaka anapoteza weredi wake
 
Ni suala la muda tu - HIMARS hutazisikia tena, kumbukeni Drones za Utruki huko Ukraine zilivyo shughurikiwa na air defense system za Russia hivyo Drone hizo siku hizi hazitambi tena - mwarobaini wa HIMARS bado huko jikoni unachemka muda si mrefu zitakumbwa na kisago cha nguvu, pia mamuluki wa Kimerikani wanao tumiwa kuzifyatua nao watapelekwa jehanamu watake wasitake.

Kumbukeni kwamba Urusi kitu ingine kabisa omba uwasikie kwenye radio tu, watu hawajui kwamba nguvu ya Urusi ya kijeshi inayo tumika kwenye operation hii nchini Ukraine ni asili mia 5% ya nguvu halisi ya Russian miIitary - kama Putin ange hamua kufanya kweli, saa hizi tungelikuwa tunazungumza mengine kabisa kuhusu Taifa la Ukraine.

Zelensky hasijifanye kichwa ngumu, atumie hekima na busara afanye mazungumzo na Putin ili kusitisha vita atekeleze makubaliono yao ya Minski hasikubali ushauri mbovu anaopewa na Biden na wapambe wake wachumia tumbo.

Zelensky akumbuke kwamba hata apate misaada lukuki kutoka magharibi hataweza kushinda vita hii, badala yake Taifa lake litazidi kuharibiwa vibaya sana na raia wengi kupoteza maisha, vile vile majirani zake wana mpango wa kuimega Ukraine vipande vipande: mashariki itamegwa na Urusi na actually wamekwisha anza mchakato wa kutwaa majimbo yote ya mashariki ,majimbo ya magharibi Poland na Romania ziko mbioni kuyamega, mwisho wa siku Ukraine itabakiwa na jimbo la Kiev tu, basi.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Huyu jamaaa Huwa namuheshimu sana kwa mawazo yake hata kabla sija join jamiiforum,nikiwa msomaji tu, lakini inaonekana amezama kwenye mahaba mazito na hii anayoiita special epereshen aliyoanzisha Putin..,haya mahaba imefikia wakati mpaka anapoteza weredi wake
Huyo siku hizi sio wakusoma maandiko yake, ana chuki sana na Marekani kupitiliza,hata vitu vilivyo wazi kabisa yeye ataponda na kukashifu. Anaongozwa na udini sana.
 
Binafsi naamini kuwa Russia ningekuwa smart wangepata wanacho kutaka Bila kurusha hata risasi moja.......
Ni kweli, ndio maana walikuwa wamekubaliana na Russia ku-implement makubaliano yao ya Minsk kwa ajili ya kuleta amani baina ya Mataifa yao, sasa ni kitu gani kilicho kuja kutokea baadae? Serikali ya Zelensky wakawa wanavuta vuta miguu -mara leo waseme hili kesho lile wakajenga jeuri na viburi kutokana na ushauri wa mataifa ya magharibi notably Merikani, kwa kifupi hawakutaka makubaliano hayo yatekelezwe ili mwisho wa siku Urusi ilazimike kuingia vitani na Ukraine na hicho ndicho Merikani ilikuwa inakitafuta kwa muda mrefu kupata mwanya wa kihujumu Urusi kwa kutumia watu/taifa lingine sio USA moja kwa moja.

Ukisoma kiundani historia ya foreign policy/plan za Merikani za muda mrefu kuhusu taifa la Ukraine ndio utajuwa ni kwa nini Biden na maneocon wenzake wamelivalia njuga suala la Ukraine, wako radhi hata taifa lao likumbwe na mdololo wa kiuchumi watu wakose ajira ili mradi watimize/tekeleze malengo yao ya siri ya muda mrefu/miaka mingi yenye lengo la kuitumia Ukraine kama stepping stone ya kuihujumu Urusi kiuchumi na kuidhoofisha kijeshi kwa kupitia njia ya ku-fund na kutoa silaha kwa Ukraine ili ipigane a proxy war kwa niaba ya Merikani.

Mkitaka kujuwa undani wa mikakati ya muda mrefu ya Merikani kutaka kuitumia Ukraine kuihujumu Urusi mpaka kuisambaratisha kabisa ili ibaki na vinchi vidogo vidogo ambavyo multinationals ya taifa la Merikani yaje ku-plunder vast natural resources za Urusi - ni hilo tu,lakini hapa watazuga eti wanajali sana Ukraine na raia wake ,demokrasia na human rights -ulaghai mtupu.Mkitaka kujuwa undani wa kwa nini vita ya Ukraine inavaliwa njuga hasa hasa na Merikani, tafuteni kitabu kilicho andikwa na Prof. Zbigniew Brzezinski title ya kitabu ni: "The Grand Chessboard" kinazungumzia masuala ya Eurasia,lakini msikilizeni kwa umakini anazungumzia nini kuhusu taifa la Ukraine.

Watu hawajui tu, lakini ukweli wa mambo vita hii imechochewa na Merikani yenyewe kwa kushirikiana na NATO, hata Papa alizungumzia ukweli huo - Marekani walimshikiza Zelensky hasikubaliane na Urusi kuhusu Minsk accord, huku NATO ikiendeleza mazoezi ya kijeshi mipakani mwa Urusi, kibaya zaidi NATO hawataki kusikiliza concerns za Urusi kuhusu hakikisho la usalama wa Taifa lao kutoka kwa viongozi wa NATO, huku Merikani ikimwambia Zelensky asogeze majeshi yake na silaha kali ili wavamie majimbo ya mashariki mwa Ukraine yenye wakazi wengi wenye asili ya Urusi, vile vile na kuivamia Crimea nia hasa kuwauuwa kwa wingi Waukraine wenye asili ya Urusi, kwa bahati nzuri Warusi walipewa fununu za mpango huo ndio maana Warusi waka wawahi jeshi la Ukraine kwa execute a pre emptive strike, katika operation hii Warusi wako justified kabisa. Watu hawajui tu, lakini kuanzia 2014 mpaka sasa jeshi la Zelensky lilisha wapiga risasi na mabom Waukraine wenye asili ya Urusi zaidi 14,000 wakapoteza maisha, yaani Zelensky anarudia makosa yale yale kwa kumuiga Hitler's "final solution" operation aliyo wahi kuitumia kuwamaliza wayahudi kwenye gasi chambers wakati wa WW2.

Cha ajabu mauuaji hayo ya Waukraine 14,000 wenye asili ya Urusi hatujawahi kusikia hata siku moja USA na media zake zikikemea mauuaji hayo, masaa yote kumsema sema vibaya Putin!!
 
Binafsi naamini kuwa Russia ningekuwa smart wangepata wanacho kutaka Bila kurusha hata risasi moja.......
Ni kweli, ndio maana walikuwa wamekubaliana na Russia ku-implement makubaliano yao ya Minsk kwa ajili ya kuleta amani baina ya Mataifa yao, sasa ni kitu gani kilicho kuja kutokea baadae? Serikali ya Zelensky wakawa wanavuta vuta miguu -mara leo waseme hili kesho lile wakajenga jeuri na viburi kutokana na ushauri wa mataifa ya magharibi notably Merikani, kwa kifupi hawakutaka makubaliano hayo yatekelezwe ili mwisho wa siku Urusi ilazimike kuingia vitani na Ukraine na hicho ndicho Merikani ilikuwa inakitafuta kwa muda mrefu kupata mwanya wa kihujumu Urusi kwa kutumia watu/taifa lingine sio USA moja kwa moja.

Ukisoma kiundani historia ya foreign policy/plan za Merikani za muda mrefu kuhusu taifa la Ukraine ndio utajuwa ni kwa nini Biden na maneocon wenzake wamelivalia njuga suala la Ukraine, wako radhi hata taifa lao likumbwe na mdololo wa kiuchumi watu wakose ajira ili mradi watimize/tekeleze malengo yao ya siri ya muda mrefu/miaka mingi yenye lengo la kuitumia Ukraine kama stepping stone ya kuihujumu Urusi kiuchumi na kuidhoofisha kijeshi kwa kupitia njia ya ku-fund na kutoa silaha kwa Ukraine ili ipigane a proxy war kwa niaba ya Merikani.

Mkitaka kujuwa undani wa mikakati ya muda mrefu ya Merikani kutaka kuitumia Ukraine kuihujumu Urusi mpaka kuisambaratisha kabisa ili ibaki na vinchi vidogo vidogo ambavyo multinationals ya taifa la Merikani yaje ku-plunder vast natural resources za Urusi - ni hilo tu,lakini hapa watazuga eti wanajali sana Ukraine na raia wake ,demokrasia na human rights -ulaghai mtupu.Mkitaka kujuwa undani wa kwa nini vita ya Ukraine inavaliwa njuga hasa hasa na Merikani, tafuteni kitabu kilicho andikwa na Prof. Zbigniew Brzezinski title ya kitabu ni: "The Grand Chessboard" kinazungumzia masuala ya Eurasia,lakini msikilizeni kwa umakini anazungumzia nini kuhusu taifa la Ukraine.

Watu hawajui tu, lakini ukweli wa mambo vita hii imechochewa na Merikani yenyewe kwa kushirikiana na NATO, hata Papa alizungumzia ukweli huo - Marekani walimshikiza Zelensky hasikubaliane na Urusi kuhusu Minsk accord, huku NATO ikiendeleza mazoezi ya kijeshi mipakani mwa Urusi, kibaya zaidi NATO hawataki kusikiliza concerns za Urusi kuhusu hakikisho la usalama wa Taifa lao kutoka kwa viongozi wa NATO, huku Merikani ikimwambia Zelensky asogeze majeshi yake na silaha kali ili wavamie majimbo ya mashariki mwa Ukraine yenye wakazi wengi wenye asili ya Urusi, vile vile na kuivamia Crimea nia hasa kuwauuwa kwa wingi Waukraine wenye asili ya Urusi, kwa bahati nzuri Warusi walipewa fununu za mpango huo ndio maana Warusi waka wawahi jeshi la Ukraine kwa execute a pre emptive strike, katika operation hii Warusi wako justified kabisa. Watu hawajui tu, lakini kuanzia 2014 mpaka sasa jeshi la Zelensky lilisha wapiga risasi na mabom Waukraine wenye asili ya Urusi zaidi 14,000 wakapoteza maisha, yaani Zelensky anarudia makosa yale yale kwa kumuiga Hitler's "final solution" operation aliyo wahi kuitumia kuwamaliza wayahudi kwenye gasi chambers wakati wa WW2.

Cha ajabu mauuaji hayo ya Waukraine 14,000 wenye asili ya Urusi hatujawahi kusikia hata siku moja USA na media zake zikikemea mauuaji hayo, masaa yote kumsema sema vibaya Putin!!
 
Ni kweli, ndio maana walikuwa wamekubaliana na Russia ku-implement makubaliano yao ya Minsk kwa ajili ya kuleta amani baina ya Mataifa yao, sasa ni kitu gani kilicho kuja kutokea baadae? Serikali ya Zelensky wakawa wanavuta vuta miguu -mara leo waseme hili kesho lile wakajenga jeuri na viburi kutokana na ushauri wa mataifa ya magharibi notably Merikani, kwa kifupi hawakutaka makubaliano hayo yatekelezwe ili mwisho wa siku Urusi ilazimike kuingia vitani na Ukraine na hicho ndicho Merikani ilikuwa inakitafuta kwa muda mrefu kupata mwanya wa kihujumu Urusi kwa kutumia watu/taifa lingine sio USA moja kwa moja.

Ukisoma kiundani historia ya foreign policy/plan za Merikani za muda mrefu kuhusu taifa la Ukraine ndio utajuwa ni kwa nini Biden na maneocon wenzake wamelivalia njuga suala la Ukraine, wako radhi hata taifa lao likumbwe na mdololo wa kiuchumi watu wakose ajira ili mradi watimize/tekeleze malengo yao ya siri ya muda mrefu/miaka mingi yenye lengo la kuitumia Ukraine kama stepping stone ya kuihujumu Urusi kiuchumi na kuidhoofisha kijeshi kwa kupitia njia ya ku-fund na kutoa silaha kwa Ukraine ili ipigane a proxy war kwa niaba ya Merikani.

Mkitaka kujuwa undani wa mikakati ya muda mrefu ya Merikani kutaka kuitumia Ukraine kuihujumu Urusi mpaka kuisambaratisha kabisa ili ibaki na vinchi vidogo vidogo ambavyo multinationals ya taifa la Merikani yaje ku-plunder vast natural resources za Urusi - ni hilo tu,lakini hapa watazuga eti wanajali sana Ukraine na raia wake ,demokrasia na human rights -ulaghai mtupu.Mkitaka kujuwa undani wa kwa nini vita ya Ukraine inavaliwa njuga hasa hasa na Merikani, tafuteni kitabu kilicho andikwa na Prof. Zbigniew Brzezinski title ya kitabu ni: "The Grand Chessboard" kinazungumzia masuala ya Eurasia,lakini msikilizeni kwa umakini anazungumzia nini kuhusu taifa la Ukraine.

Watu hawajui tu, lakini ukweli wa mambo vita hii imechochewa na Merikani yenyewe kwa kushirikiana na NATO, hata Papa alizungumzia ukweli huo - Marekani walimshikiza Zelensky hasikubaliane na Urusi kuhusu Minsk accord, huku NATO ikiendeleza mazoezi ya kijeshi mipakani mwa Urusi, kibaya zaidi NATO hawataki kusikiliza concerns za Urusi kuhusu hakikisho la usalama wa Taifa lao kutoka kwa viongozi wa NATO, huku Merikani ikimwambia Zelensky asogeze majeshi yake na silaha kali ili wavamie majimbo ya mashariki mwa Ukraine yenye wakazi wengi wenye asili ya Urusi, vile vile na kuivamia Crimea nia hasa kuwauuwa kwa wingi Waukraine wenye asili ya Urusi, kwa bahati nzuri Warusi walipewa fununu za mpango huo ndio maana Warusi waka wawahi jeshi la Ukraine kwa execute a pre emptive strike, katika operation hii Warusi wako justified kabisa. Watu hawajui tu, lakini kuanzia 2014 mpaka sasa jeshi la Zelensky lilisha wapiga risasi na mabom Waukraine wenye asili ya Urusi zaidi 14,000 wakapoteza maisha, yaani Zelensky anarudia makosa yale yale kwa kumuiga Hitler's "final solution" operation aliyo wahi kuitumia kuwamaliza wayahudi kwenye gasi chambers wakati wa WW2.

Cha ajabu mauuaji hayo ya Waukraine 14,000 wenye asili ya Urusi hatujawahi kusikia hata siku moja USA na media zake zikikemea mauuaji hayo, masaa yote kumsema sema vibaya Putin!!
Hizo zote ni propaganda, tulishaona nia ovu za Russia kwa majirani zake kuanzia Georgia mpaka hapo Ukraine, acheni kuibebesha uchafu Marekani.
 
Hizo zote ni propaganda, tulishaona nia ovu za Russia kwa majirani zake kuanzia Georgia mpaka hapo Ukraine, acheni kuibebesha uchafu Marekani.

Nimeona wanahama wote mpaka Bosnia ambayo iko mbali kidogo na wao wanataka kujiunga, hata Moldova pia wana wasiwasi, yaani Urusi ni bonge la mdhulumaji, wanamkimbia wote, atabaki na Belarus ambao pia raia wake wanajiunga Ukraine kusaidia dhidi ya Urusi.
 
Ni kweli, ndio maana walikuwa wamekubaliana na Russia ku-implement makubaliano yao ya Minsk kwa ajili ya kuleta amani baina ya Mataifa yao, sasa ni kitu gani kilicho kuja kutokea baadae? Serikali ya Zelensky wakawa wanavuta vuta miguu -mara leo waseme hili kesho lile wakajenga jeuri na viburi kutokana na ushauri wa mataifa ya magharibi notably Merikani, kwa kifupi hawakutaka makubaliano hayo yatekelezwe ili mwisho wa siku Urusi ilazimike kuingia vitani na Ukraine na hicho ndicho Merikani ilikuwa inakitafuta kwa muda mrefu kupata mwanya wa kihujumu Urusi kwa kutumia watu/taifa lingine sio USA moja kwa moja.

Ukisoma kiundani historia ya foreign policy/plan za Merikani za muda mrefu kuhusu taifa la Ukraine ndio utajuwa ni kwa nini Biden na maneocon wenzake wamelivalia njuga suala la Ukraine, wako radhi hata taifa lao likumbwe na mdololo wa kiuchumi watu wakose ajira ili mradi watimize/tekeleze malengo yao ya siri ya muda mrefu/miaka mingi yenye lengo la kuitumia Ukraine kama stepping stone ya kuihujumu Urusi kiuchumi na kuidhoofisha kijeshi kwa kupitia njia ya ku-fund na kutoa silaha kwa Ukraine ili ipigane a proxy war kwa niaba ya Merikani.

Mkitaka kujuwa undani wa mikakati ya muda mrefu ya Merikani kutaka kuitumia Ukraine kuihujumu Urusi mpaka kuisambaratisha kabisa ili ibaki na vinchi vidogo vidogo ambavyo multinationals ya taifa la Merikani yaje ku-plunder vast natural resources za Urusi - ni hilo tu,lakini hapa watazuga eti wanajali sana Ukraine na raia wake ,demokrasia na human rights -ulaghai mtupu.Mkitaka kujuwa undani wa kwa nini vita ya Ukraine inavaliwa njuga hasa hasa na Merikani, tafuteni kitabu kilicho andikwa na Prof. Zbigniew Brzezinski title ya kitabu ni: "The Grand Chessboard" kinazungumzia masuala ya Eurasia,lakini msikilizeni kwa umakini anazungumzia nini kuhusu taifa la Ukraine.

Watu hawajui tu, lakini ukweli wa mambo vita hii imechochewa na Merikani yenyewe kwa kushirikiana na NATO, hata Papa alizungumzia ukweli huo - Marekani walimshikiza Zelensky hasikubaliane na Urusi kuhusu Minsk accord, huku NATO ikiendeleza mazoezi ya kijeshi mipakani mwa Urusi, kibaya zaidi NATO hawataki kusikiliza concerns za Urusi kuhusu hakikisho la usalama wa Taifa lao kutoka kwa viongozi wa NATO, huku Merikani ikimwambia Zelensky asogeze majeshi yake na silaha kali ili wavamie majimbo ya mashariki mwa Ukraine yenye wakazi wengi wenye asili ya Urusi, vile vile na kuivamia Crimea nia hasa kuwauuwa kwa wingi Waukraine wenye asili ya Urusi, kwa bahati nzuri Warusi walipewa fununu za mpango huo ndio maana Warusi waka wawahi jeshi la Ukraine kwa execute a pre emptive strike, katika operation hii Warusi wako justified kabisa. Watu hawajui tu, lakini kuanzia 2014 mpaka sasa jeshi la Zelensky lilisha wapiga risasi na mabom Waukraine wenye asili ya Urusi zaidi 14,000 wakapoteza maisha, yaani Zelensky anarudia makosa yale yale kwa kumuiga Hitler's "final solution" operation aliyo wahi kuitumia kuwamaliza wayahudi kwenye gasi chambers wakati wa WW2.

Cha ajabu mauuaji hayo ya Waukraine 14,000 wenye asili ya Urusi hatujawahi kusikia hata siku moja USA na media zake zikikemea mauuaji hayo, masaa yote kumsema sema vibaya Putin!!
Mkuu, naomba nikuulize, hivi taifa la Ukraine halikuwahi kuangukia na kufuata sera za urusi?
Kama taifa la Ukraine liliwahi kuwa mfuasi mwaminifu wa sera za urusi, marekani na mataifa ya magharibi yalifanyaje Ili kuirudisha Ukraine ifuate sera za magharibi??
Je marekani na washirika wake waliivamia Ukraine wakiilazimisha ifuate sera za magharibi??..,bila shaka hapana,
Je marekani na washirika wake waliwezaje kuifanya Ukraine awe mfuasi mwaminifu wa sera za magharibi? .., jibu utakalolipata hapa ni USHAWISHI.,kwa nini urusi haamini katika USHAWISHI na badala yake anaona matumizi ya nguvu pekee ndo njia ya kutimiza malengo yake?
Dunia ya Leo haiitaji matumizi ya nguvu Bali USHAWISHI tu,ukishindwa kunishawishi Ili nifuate sera zako,basi kubali maumivu tu,
Mwanamke mwenyewe anaitaji ushawishi Ili uweze kumpata sembuse taifa
 
Mkuu, naomba nikuulize, hivi taifa la Ukraine halikuwahi kuangukia na kufuata sera za urusi?
Kama taifa la Ukraine liliwahi kuwa mfuasi mwaminifu wa sera za urusi, marekani na mataifa ya magharibi yalifanyaje Ili kuirudisha Ukraine ifuate sera za magharibi??
Je marekani na washirika wake waliivamia Ukraine wakiilazimisha ifuate sera za magharibi??..,bila shaka hapana,
Je marekani na washirika wake waliwezaje kuifanya Ukraine awe mfuasi mwaminifu wa sera za magharibi? .., jibu utakalolipata hapa ni USHAWISHI.,kwa nini urusi haamini katika USHAWISHI na badala yake anaona matumizi ya nguvu pekee ndo njia ya kutimiza malengo yake?
Dunia ya Leo haiitaji matumizi ya nguvu Bali USHAWISHI tu,ukishindwa kunishawishi Ili nifuate sera zako,basi kubali maumivu tu,
Mwanamke mwenyewe anaitaji ushawishi Ili uweze kumpata sembuse taifa
Ha ha ha ha ha ha ha asipokuelewa achana nae.
 
Sio kwa mahaba haya yote, hehehe
Kimsingi ni hasara zinazosababisha kabla Mrusi hajafaulu kuzitafutia mbinu, HIMARS moja inasababisha hasara mithili ya bei ya HIMARS kumi.
Kwa mfano ule msafara wa kwenda Kyev ulikua unapigwa javelin, yaani javelin moja inaondoa vifaru hadi kumi, yaani ukilinganisha inakua sio kabisa.

HIMARS mpaka sasa zimetumika kulipua ammunition dumps, command posts, bridges and other high-value targets including killing many Russian soldiers na zimesababisha wanajeshi wa Urusi maelfu wamekua cut off from supply lines, mpaka Mrusi azipatie suluhu atakua ameita maji ma..

Akizipatia suluhu wanaibuka na kitu kingine, tena kisababishe hasara zaidi....
Sijasema kwamba HIMARS hizifanyi kazi ninacho sema mimi ni kwamba uwezo wa GPS Guided Rockets hizo ni highly exaggerated na Mrusi atazipatia dawa muda si mrefu kuanzia sasa, hilo la kwanza; la pili: HIMARS zimewahi kutumika huko Syria na Wamerikani wenyewe na Waasi waliokuwa wanampinga majeshi ya Assad -sasa swali ni, je, zilishia wapi au zilisaidia nini katika efforts za waasi na Merikani za kutaka kumuondoa Assad madarakani (Regime change) hazikusaidia kitu ndio maana mpaka sasa Assad bado yupo madarakani.

Kitu kingine, HIMARS vile zilitumiwa sana na majeshi ya Marekani huko Afghanistan lakini hazikuleta mabadiriko yoyote kwenye mwenendo mzima wa vita nchini Afghanistani bado ma Mullahs waliwafanya marafiki zako wakatimua mbio kuliko Kip Keino na Ben Gipcho, oh yes, the Talibans scared a living daylights out of them Gringos - strange, don't you think?

Mifano hiyo michache ndio inifanya niamini kwamba contrary na adithi za Abunwasi zilizo jaa kwenye mitandao ya kijamii Dunia nzima HIMARS haziwezi kuwa a game changer kwenye vita hii ya Ukraine,Urusi bado itashinda to, come rain or shine na kikubwa zaidi ataendelea kuteka maeneo mengine ya Ukraine. Zelensky hasikubali kuendelea kudanganywa na Biden, akubali kukaa meza moja na Putin wasitishe vita na watekeleze maazimio ya Minsk - Ukraine hawezi kushindana na Super power washauri wa Uncle SAM wasikupotoshe wao wanashabikia vita hii ili wauze silaha wanatamani hata viendelee zaidi ya miaka kumi ili wapige hela ndefu, hawajali chochote kuhusu Ukraine wala raia wake, sijui kama Zelensky analitambuwa hilo naona yuko busy anapigwa picha akiwa na mkewe kwa ajili ya cover la Vogue Magazine hana habari kwamba nchi yake hipo vitani!!
 
Sijasema kwamba HIMARS hizifanyi kazi ninacho sema mimi ni kwamba uwezo wa GPS Guided Rockets hizo ni highly exaggerated na Mrusi atazipatia dawa muda si mrefu kuanzia sasa, hilo la kwanza; la pili: HIMARS zimewahi kutumika huko Syria na Wamerikani wenyewe na Waasi waliokuwa wanampinga majeshi ya Assad -sasa swali ni, je, zilishia wapi au zilisaidia nini katika efforts za waasi na Merikani za kutaka kumuondoa Assad madarakani (Regime change) hazikusaidia kitu ndio maana mpaka sasa Assad bado yupo madarakani.

Kitu kingine, HIMARS vile zilitumiwa sana na majeshi ya Marekani huko Afghanistan lakini hazikuleta mabadiriko yoyote kwenye mwenendo mzima wa vita nchini Afghanistani bado ma Mullahs waliwafanya marafiki zako wakatimua mbio kuliko Kip Keino na Ben Gipcho, oh yes, the Talibans scared a living daylights out of them Gringos - strange, don't you think?

Mifano hiyo michache ndio inifanya niamini kwamba contrary na adithi za Abunwasi zilizo jaa kwenye mitandao ya kijamii Dunia nzima HIMARS haziwezi kuwa a game changer kwenye vita hii ya Ukraine,Urusi bado itashinda to, come rain or shine na kikubwa zaidi ataendelea kuteka maeneo mengine ya Ukraine. Zelensky hasikubali kuendelea kudanganywa na Biden, akubali kukaa meza moja na Putin wasitishe vita na watekeleze maazimio ya Minsk - Ukraine hawezi kushindana na Super power washauri wa Uncle SAM wasikupotoshe wao wanashabikia vita hii ili wauze silaha wanatamani hata viendelee zaidi ya miaka kumi ili wapige hela ndefu, hawajali chochote kuhusu Ukraine wala raia wake, sijui kama Zelensky analitambuwa hilo naona yuko busy anapigwa picha akiwa na mkewe kwa ajili ya cover la Vogue Magazine hana habari kwamba nchi yake hipo vitani!!
Unasema Ukraine hawezi kupambana na super pawer akashinda.., nakukumbusha tu kuwa hata Vietnam alikuwa anapambana na super pawer..., narudia kukuambia kuwa udhalim haujawai kushinda popote pale.
Putin na mafashist wenzake watafurushwa tu kwenye aridhi ya watu.
 
Kwanini umeongea pumba leo mkuu au so wewe?., ata Russia akija kupata plan ya kuzuia HIMARS za Marekani maelfu mangapi ya askari wake watakuwa wamekufa., unadhan putin ataendelea kutojali askari wake kuuliwa? ndio mana saiv amepoa na kutafuta namna yoyote vita iishe.

America ni wanyama wa dunia ukitoa hizo HIMARS wataleta kubwa yake pia mwache putini akurupuke na silaha zake za kizamani, saiv tunaelezwa anaomba msaada wa silaha kutoka Iran
Mhhh sina uhakika kama mrusi anaomba msaada kwa iran acha kupotosha mkuu..
 
Back
Top Bottom