Urusi walalamika kuhusu uwepo wa wanajeshi wa Marekani wanaoelekeza namna ya matumizi ya HIMARS

Ni suala la muda tu - HIMARS hutazisikia tena, kumbukeni Drones za Utruki huko Ukraine zilivyo shughurikiwa na air defense system za Russia hivyo Drone hizo siku hizi hazitambi tena - mwarobaini wa HIMARS bado huko jikoni unachemka muda si mrefu zitakumbwa na kisago cha nguvu, pia mamuluki wa Kimerikani wanao tumiwa kuzifyatua nao watapelekwa jehanamu watake wasitake.

Kumbukeni kwamba Urusi kitu ingine kabisa omba uwasikie kwenye radio tu, watu hawajui kwamba nguvu ya Urusi ya kijeshi inayo tumika kwenye operation hii nchini Ukraine ni asili mia 5% ya nguvu halisi ya Russian miIitary - kama Putin ange hamua kufanya kweli, saa hizi tungelikuwa tunazungumza mengine kabisa kuhusu Taifa la Ukraine.

Zelensky hasijifanye kichwa ngumu, atumie hekima na busara afanye mazungumzo na Putin ili kusitisha vita atekeleze makubaliono yao ya Minski hasikubali ushauri mbovu anaopewa na Biden na wapambe wake wachumia tumbo.

Zelensky akumbuke kwamba hata apate misaada lukuki kutoka magharibi hataweza kushinda vita hii, badala yake Taifa lake litazidi kuharibiwa vibaya sana na raia wengi kupoteza maisha, vile vile majirani zake wana mpango wa kuimega Ukraine vipande vipande: mashariki itamegwa na Urusi na actually wamekwisha anza mchakato wa kutwaa majimbo yote ya mashariki ,majimbo ya magharibi Poland na Romania ziko mbioni kuyamega, mwisho wa siku Ukraine itabakiwa na jimbo la Kiev tu, basi.
 
Sikujua kama uko nyuma hivi kwa technology za sasa
Hivi unashangaaje kwa silaha wakati hata gari hizi za sasa huwezi kujua kuzitumia mpaka ufundishwe?

Unafikiri gari za sasa ni gear na breaks na acceleration tu
Jifunze sana mkuu kumbe bado mengi ya kuona sio kusikia tu
Mkuu,inaonekana msemo wa wahenga waliposema "" elimu bahari""umekupita mbali
 
Ni suala la muda tu - HIMARS hutazisikia tena, kumbukeni Drones za Utruki huko Ukraine zilivyo shughurikiwa na air defense system za Russia hivyo Drone hizo siku hizi hazitambi tena - mwarobaini wa HIMARS bado huko jikoni unachemka muda si mrefu zitakumbwa na kisago cha nguvu, pia mamuluki wa Kimerikani wanao tumiwa kuzifyatua nao watapelekwa jehanamu watake wasitake.

Kumbukeni kwamba Urusi kitu ingine kabisa omba uwasikie kwenye radio tu, watu hawajui kwamba nguvu ya Urusi ya kijeshi inayo tumika kwenye operation hii nchini Ukraine ni asili mia 5% ya nguvu halisi ya Russian miIitary - kama Putin ange hamua kufanya kweli, saa hizi tungelikuwa tunazungumza mengine kabisa kuhusu Taifa la Ukraine.

Zelensky hasijifanye kichwa ngumu, atumie hekima na busara afanye mazungumzo na Putin ili kusitisha vita atekeleze makubaliono yao ya Minski hasikubali ushauri mbovu anaopewa na Biden na wapambe wake wachumia tumbo.

Zelensky akumbuke kwamba hata apate misaada lukuki kutoka magharibi hataweza kushinda vita hii, badala yake Taifa lake litazidi kuharibiwa vibaya sana na raia wengi kupoteza maisha, vile vile majirani zake wana mpango wa kuimega Ukraine vipande vipande: mashariki itamegwa na Urusi na actually wamekwisha anza mchakato wa kutwaa majimbo yote ya mashariki ,majimbo ya magharibi Poland na Romania ziko mbioni kuyamega, mwisho wa siku Ukraine itabakiwa na jimbo la Kiev tu, basi.

Sio kwa mahaba haya yote, hehehe
Kimsingi ni hasara zinazosababisha kabla Mrusi hajafaulu kuzitafutia mbinu, HIMARS moja inasababisha hasara mithili ya bei ya HIMARS kumi.
Kwa mfano ule msafara wa kwenda Kyev ulikua unapigwa javelin, yaani javelin moja inaondoa vifaru hadi kumi, yaani ukilinganisha inakua sio kabisa.

HIMARS mpaka sasa zimetumika kulipua ammunition dumps, command posts, bridges and other high-value targets including killing many Russian soldiers na zimesababisha wanajeshi wa Urusi maelfu wamekua cut off from supply lines, mpaka Mrusi azipatie suluhu atakua ameita maji ma..

Akizipatia suluhu wanaibuka na kitu kingine, tena kisababishe hasara zaidi....
 
Ni suala la muda tu - HIMARS hutazisikia tena, kumbukeni Drones za Utruki huko Ukraine zilivyo shughurikiwa na air defense system za Russia hivyo Drone hizo siku hizi hazitambi tena - mwarobaini wa HIMARS bado huko jikoni unachemka muda si mrefu zitakumbwa na kisago cha nguvu, pia mamuluki wa Kimerikani wanao tumiwa kuzifyatua nao watapelekwa jehanamu watake wasitake.

Kumbukeni kwamba Urusi kitu ingine kabisa omba uwasikie kwenye radio tu, watu hawajui kwamba nguvu ya Urusi ya kijeshi inayo tumika kwenye operation hii nchini Ukraine ni asili mia 5% ya nguvu halisi ya Russian miIitary - kama Putin ange hamua kufanya kweli, saa hizi tungelikuwa tunazungumza mengine kabisa kuhusu Taifa la Ukraine.

Zelensky hasijifanye kichwa ngumu, atumie hekima na busara afanye mazungumzo na Putin ili kusitisha vita atekeleze makubaliono yao ya Minski hasikubali ushauri mbovu anaopewa na Biden na wapambe wake wachumia tumbo.

Zelensky akumbuke kwamba hata apate misaada lukuki kutoka magharibi hataweza kushinda vita hii, badala yake Taifa lake litazidi kuharibiwa vibaya sana na raia wengi kupoteza maisha, vile vile majirani zake wana mpango wa kuimega Ukraine vipande vipande: mashariki itamegwa na Urusi na actually wamekwisha anza mchakato wa kutwaa majimbo yote ya mashariki ,majimbo ya magharibi Poland na Romania ziko mbioni kuyamega, mwisho wa siku Ukraine itabakiwa na jimbo la Kiev tu, basi.
Unanataka rais zelensiky afanye mazungumzo na mtu aliyetaka kuipindua serikali yake? Hivi unakumbuka rais Putin aliwahi kuwaambia wanajeshi wa Ukraine waweke siraha chini na kujisalimisha??
Na asikari katika nchi yoyote wakishaweka silaha chini na kujisalimisha maana yake nini ??
Naomba nikwambie kwamba Ukraine ni kweli itachakaa sana kutokana na hii vita inayoendelea lakini mwisho wa siku urusi itafurushwa tu,
Hata marekani aliichakaza sana Vietnam,akaua raia wasio na hatia,kama ni miji aliiteka mingi ya kutosha na kuikalia kimabavu kama anavyofanya Russia huko Ukraine, lakini kilichofuatia wote tunafahamu.., udhalim haujawai kushinda ndugu, this is nature! Hata ukiwa na teknolojia Bora kiasi gani madam unafanya udhalim na " nature imeshakataa hautatoboa!
Mwisho naomba nikwambie kwamba nguvu ya Russia aliyokuwa nayo mwezi wa 2 wakati hii operesheni ikiwa ya moto kwelikweli,sio hii Sasa ,kubali kataa lakini huo ndio ukweli mchungu,
Na hizo HIMARS zitaendelea kumsumbua sana tu maana silaha hambayo Russia hajatumia huko Ukraine labda ni nyukria tu, hypersonic zote ameshajaribu lakini hajafua dafu.., hivyo unaposema urusi katumia asilimia sijui 15 tu ya nguvu zake huko Ukraine wenye akili tunakushangaa sana
 
Sio kwa mahaba haya yote, hehehe
Kimsingi ni hasara zinazosababisha kabla Mrusi hajafaulu kuzitafutia mbinu, HIMARS moja inasababisha hasara mithili ya bei ya HIMARS kumi.
Kwa mfano ule msafara wa kwenda Kyev ulikua unapigwa javelin, yaani javelin moja inaondoa vifaru hadi kumi, yaani ukilinganisha inakua sio kabisa.

HIMARS mpaka sasa zimetumika kulipua ammunition dumps, command posts, bridges and other high-value targets including killing many Russian soldiers na zimesababisha wanajeshi wa Urusi maelfu wamekua cut off from supply lines, mpaka Mrusi azipatie suluhu atakua ameita maji ma..

Akizipatia suluhu wanaibuka na kitu kingine, tena kisababishe hasara zaidi....
Mkuu naomba nikwambie kwamba nguvu ya Russia aliyokuwa nayo mwezi wa 2 wakati hii operesheni ikiwa ya moto kwelikweli sio hii Sasa.., hivyo itachukua mda sana kupata hiyo dawa ya HIMARS,au huenda isipatikane kabisa,ni siraha gani hambayo urusi hajatumia mpaka Sasa?? Labda nyukria tu!
 
Mkuu naomba nikwambie kwamba nguvu ya Russia aliyokuwa nayo mwezi wa 2 wakati hii operesheni ikiwa ya moto kwelikweli sio hii Sasa.., hivyo itachukua mda sana kupata hiyo dawa ya HIMARS,au huenda isipatikane kabisa,ni siraha gani hambayo urusi hajatumia mpaka Sasa?? Labda nyukria tu!
Vita kua ya muda mrefu imeshakua advantage kwa mrusi...............magharibi huko maisha yanazidi kua magumu.....mzee baba anaua ndege wawili kwa jiwe moja.....ndo maana hana haraka kabisa kuimaliza hii vita kwa sasa labda kama hao ukraine wawe tishio sana kwake .....juzi tu hapo kawapa salamu hapo kiev wakitaka kutunisha misuli zaidi atawafuta hukohuko wanapojificha kufanya maamuzi
 
Mbona wanalia somo halieleweki
Screenshot_20220731-140504_Sputnik.jpg
Screenshot_20220731-140529_Sputnik.jpg
 
Mkuu naomba nikwambie kwamba nguvu ya Russia aliyokuwa nayo mwezi wa 2 wakati hii operesheni ikiwa ya moto kwelikweli sio hii Sasa.., hivyo itachukua mda sana kupata hiyo dawa ya HIMARS,au huenda isipatikane kabisa,ni siraha gani hambayo urusi hajatumia mpaka Sasa?? Labda nyukria tu!

Pia ukizingatia ametumia wanajeshi hadi wa akiba, pia ametumia hadi wapiganaji wa Chechnya na makundi mengine mpaka kutokea Syria....amechoka sana jamaa.

Hamna kitu kigumu kama kupigana na watu kwenye nchi yao ndani, kadiri unavyowaua haswa akina baba na mama zao ndio unazidisha hasira, Urusi amekua akisambaratisha majengo ya kifamilia bila kutaka kujali akina nani wako humo, mamilioni ya raia wa Ukraine wanazidi kuingiwa na hasira sana wakiona picha kama hizi, unashangaa mtu anashabikia kabisa kwa mahaba ya kidini udhalimu kama huu

_123547656_gettyimages-1238918040.jpg



images
 
Muda huu unaandika huku donesk kichapo kinaendelea,comedian anaomba watu wahame
 
Pia ukizingatia ametumia wanajeshi hadi wa akiba, pia ametumia hadi wapiganaji wa Chechnya na makundi mengine mpaka kutokea Syria....amechoka sana jamaa.

Hamna kitu kigumu kama kupigana na watu kwenye nchi yao ndani, kadiri unavyowaua haswa akina baba na mama zao ndio unazidisha hasira, Urusi amekua akisambaratisha majengo ya kifamilia bila kutaka kujali akina nani wako humo, mamilioni ya raia wa Ukraine wanazidi kuingiwa na hasira sana wakiona picha kama hizi, unashangaa mtu anashabikia kabisa kwa mahaba ya kidini udhalimu kama huu

_123547656_gettyimages-1238918040.jpg



images
Hakika muda utaongea, tuvute subra,hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kushabikia huu udhalim...,narudia kusema; hata Vietnam ilichakaa sana ,, lakini udhalim haujawai kushinda popote pale,
 
Binafsi naamini kuwa Russia ningekuwa smart wangepata wanacho kutaka Bila kurusha hata risasi moja.......
Yaani hata mimi nakuunga mkono,Urusi ilitakiwa within 7 days iwe tayari imemaliza vita .Vita ikichykua muda mrefu adui anakusomal na hata kama ni nunda atakushinda tuu kwa sababy umejiaminin sana.
 
Maana kwamba HIMARS ni too advanced kutumika na wanajeshi wa Ukraine wenyewe bila kuwa na waelekezaji, ni zana ambazo zimesababisha majanga makubwa sana kwa Urusi na kubadilisha mkondo.

Mpaka sasa zimetumika kulipua maghala 50 za silaha za Warusi pamoja na maangamizi mengine, Warusi wanazisaka usiku na mchana, wamezikalia vikao, wamezijadili na kuzilaani ila bado muziki ule ule, na Marekani tayari wanaongeza zingine.

Kuna madude aina nyingi bado Marekani hawajawapa Ukraine, na tayari Urusi wamejichokea, hizi HIMARS ni chombezo tu la kujaribisha uwanja, binafsi hata sikua nafahamu kuna silaha aina hii ya HIMARS.
======================

INTERACTIVE-HIMARS.png



Ukraine said it has used US-supplied HIMARS rocket systems to destroy 50 Russian ammunition depots since receiving the weapons last month, while Russia has claimed its forces destroyed a HIMARS ammunition depot in Ukraine’s Khmelnytskyi region.

Moscow has previously said it has destroyed several of the high mobility artillery rocket systems (HIMARS) supplied to Ukraine by the West, in claims denied by Kyiv.
On Monday, Ukraine’s defence minister Oleksiy Reznikov underlined the growing impact that the HIMARS appear to be having as Ukraine tries to repel Russia’s invasion.

“This cuts their [Russian] logistical chains and takes away their ability to conduct active fighting and cover our armed forces with heavy shelling,” Reznikov said in comments on national television.

Reznikov’s remarks could not be independently verified. Russia did not immediately comment on the claims.

Reznikov said Ukrainian artillery crews had conducted “precise” attacks on several bridges. He gave no details but was apparently referring to three river crossings in the Russian-occupied Kherson region, which local occupation authorities say were attacked by HIMARS over the past week.


Reznikov also said Ukraine had received three Gepard anti-aircraft armoured fighting vehicles, the first of 15 expected, and that Kyiv was expecting to take delivery of several dozen Leopard tanks.

Russia meanwhile says it has destroyed several HIMARS, though Ukraine has denied this. In the latest such report, Russia’s defence ministry said on Monday its forces had destroyed an ammunition depot for HIMARS in the Khmelnytskyi region in western Ukraine.

Ukrainian officials have said repeatedly that Western supplies of weapons are critical to Ukraine’s military effort, and underlined the importance of the HIMARS because of Russia’s artillery supremacy in terms of numbers and ammunition.

HIMARS are a high-tech, lightweight rocket launcher that is wheel-mounted, giving it more agility and manoeuvrability on the battlefield.
Each unit can carry six GPS-guided rockets, which can be reloaded in about a minute with only a small crew.

Analysts say the system has a longer range and is more precise than the Soviet-era artillery that Ukraine had in its arsenal.
Russia has criticised the United States in particular for providing Ukraine with instructors to help Ukrainian forces use HIMARS.
Russia, which invaded Ukraine on February 24, has captured a chunk of territory in southern Ukraine and used its artillery supremacy in the east to make gradual territorial gains.



Putin huenda anatamani amalize Vita Ila namna ya kuvimaliza bila kuonekana ameshindwa ndio changamoto.
 
Ni suala la muda tu - HIMARS hutazisikia tena, kumbukeni Drones za Utruki huko Ukraine zilivyo shughurikiwa na air defense system za Russia hivyo Drone hizo siku hizi hazitambi tena - mwarobaini wa HIMARS bado huko jikoni unachemka muda si mrefu zitakumbwa na kisago cha nguvu, pia mamuluki wa Kimerikani wanao tumiwa kuzifyatua nao watapelekwa jehanamu watake wasitake.

Kumbukeni kwamba Urusi kitu ingine kabisa omba uwasikie kwenye radio tu, watu hawajui kwamba nguvu ya Urusi ya kijeshi inayo tumika kwenye operation hii nchini Ukraine ni asili mia 5% ya nguvu halisi ya Russian miIitary - kama Putin ange hamua kufanya kweli, saa hizi tungelikuwa tunazungumza mengine kabisa kuhusu Taifa la Ukraine.

Zelensky hasijifanye kichwa ngumu, atumie hekima na busara afanye mazungumzo na Putin ili kusitisha vita atekeleze makubaliono yao ya Minski hasikubali ushauri mbovu anaopewa na Biden na wapambe wake wachumia tumbo.

Zelensky akumbuke kwamba hata apate misaada lukuki kutoka magharibi hataweza kushinda vita hii, badala yake Taifa lake litazidi kuharibiwa vibaya sana na raia wengi kupoteza maisha, vile vile majirani zake wana mpango wa kuimega Ukraine vipande vipande: mashariki itamegwa na Urusi na actually wamekwisha anza mchakato wa kutwaa majimbo yote ya mashariki ,majimbo ya magharibi Poland na Romania ziko mbioni kuyamega, mwisho wa siku Ukraine itabakiwa na jimbo la Kiev tu, basi.
Mkuu drone zimefanya mambo huko Crimea. Navy headquarter imepigwa na drone.Unamaoni gani ewe mrusi wa buza?
 
Putin huenda anatamani amalize Vita Ila namna ya kuvimaliza bila kuonekana ameshindwa ndio changamoto.

Kinachomtafuna sasa hivi ni raia wake, akithubutu kukubali kushindwa anaweza hata akauawa, Warusi ni watu wenye kiburi sana kwa nchi yao, wenyewe wanaita "mother Russia", bora hata wafe njaa lakini heshima ya taifa lao idumu. Mpaka hapo amewasababishia aibu kubwa sana maana huwa wana dharau nyingi kwa Ukraine na inawauma sana namna hako kataifa kamewatunishia misuli, ingia kwenye forum zao uone wanavyojadili kwa hasira.
 
Ni suala la muda tu - HIMARS hutazisikia tena, kumbukeni Drones za Utruki huko Ukraine zilivyo shughurikiwa na air defense system za Russia hivyo Drone hizo siku hizi hazitambi tena - mwarobaini wa HIMARS bado huko jikoni unachemka muda si mrefu zitakumbwa na kisago cha nguvu, pia mamuluki wa Kimerikani wanao tumiwa kuzifyatua nao watapelekwa jehanamu watake wasitake.

Kumbukeni kwamba Urusi kitu ingine kabisa omba uwasikie kwenye radio tu, watu hawajui kwamba nguvu ya Urusi ya kijeshi inayo tumika kwenye operation hii nchini Ukraine ni asili mia 5% ya nguvu halisi ya Russian miIitary - kama Putin ange hamua kufanya kweli, saa hizi tungelikuwa tunazungumza mengine kabisa kuhusu Taifa la Ukraine.

Zelensky hasijifanye kichwa ngumu, atumie hekima na busara afanye mazungumzo na Putin ili kusitisha vita atekeleze makubaliono yao ya Minski hasikubali ushauri mbovu anaopewa na Biden na wapambe wake wachumia tumbo.

Zelensky akumbuke kwamba hata apate misaada lukuki kutoka magharibi hataweza kushinda vita hii, badala yake Taifa lake litazidi kuharibiwa vibaya sana na raia wengi kupoteza maisha, vile vile majirani zake wana mpango wa kuimega Ukraine vipande vipande: mashariki itamegwa na Urusi na actually wamekwisha anza mchakato wa kutwaa majimbo yote ya mashariki ,majimbo ya magharibi Poland na Romania ziko mbioni kuyamega, mwisho wa siku Ukraine itabakiwa na jimbo la Kiev tu, basi.
umeandika pumba sn yaan bajeti ya Urusi ni mara mbili ya USA hlf atumie 5% ya nguvu yake kupambana na nchi inayosaidiwa na USA na west
 
Hakika muda utaongea, tuvute subra,hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kushabikia huu udhalim...,narudia kusema; hata Vietnam ilichakaa sana ,, lakini udhalim haujawai kushinda popote pale,
Agiza kinywaji chochote nakuja kulipa, ukifuatilia mijadala ya watu wengine tofauti ya hapa tz utagundua bongo tuna ushabiki wa hovyo Sana, vijana wa Russia wanakufa kwa order za kikuda, raia wa ukraine wanakufa bila hatatia inauma Sana. Kuna baadhi ya akili ukizichunguza utagundua nchi yetu ina vilaza sana
 
Back
Top Bottom