Urusi walalamika kuhusu uwepo wa wanajeshi wa Marekani wanaoelekeza namna ya matumizi ya HIMARS

Mkuu, hizi S400 za Urusi zinalenga hewani si ardhini. HIMARS inarusha roketi zinazolenga shabaha kwenye ardhi. Tena kwa umakini mkubwa. Umakini huo si tabia ya HIMARS yenyewe bali ya roketi zake. Warusi wanakosa tekinolojia hii, inaonekana wana roketi chache zinazoweza kulengwa kwa umakini. Maana wako nyuma katika tekinolojia ya kompyuta. Walitegemea vipuli kutoka Ulaya na Marekani, au vipuli kutoka Asia vilivyopo chini ya hataza na sasa hawawezi kununua tena kwa nji ya kawaida.

Dah! halafu sasa HIMARS zinaendelea kuongezwa, halafu ukizingatia zina uwezo wa kushambulia kutoka umbali usiofikiwa na artillery za Mrusi, ilihali Mrusi hawezi kuzishambulia kwa ndege maana zitadunguliwa, sasa amekaa kupokea tu, mara ghala hili linapigwa, lile linalipuliwa wanaishi kwa wasiwasi hawajui mzigo utatua wapi next.
 
Dah! halafu sasa HIMARS zinaendelea kuongezwa, halafu ukizingatia zina uwezo wa kushambulia kutoka umbali usiofikiwa na artillery za Mrusi, ilihali Mrusi hawezi kuzishambulia kwa ndege maana zitadunguliwa, sasa amekaa kupokea tu, mara ghala hili linapigwa, lile linalipuliwa wanaishi kwa wasiwasi hawajui mzigo utatua wapi next.
hahahaaaa
 
Mkuu, hizi S400 za Urusi zinalenga hewani si ardhini. HIMARS inarusha roketi zinazolenga shabaha kwenye ardhi. Tena kwa umakini mkubwa. Umakini huo si tabia ya HIMARS yenyewe bali ya roketi zake. Warusi wanakosa tekinolojia hii, inaonekana wana roketi chache zinazoweza kulengwa kwa umakini. Maana wako nyuma katika tekinolojia ya kompyuta. Walitegemea vipuli kutoka Ulaya na Marekani, au vipuli kutoka Asia vilivyopo chini ya hataza na sasa hawawezi kununua tena kwa nji ya kawaida.
Lately wamekuwa wakitumia S300 kupiga land target, hata S400 yaweza ni wewe kuipa coordinates tu...
 
Lately wamekuwa wakitumia S300 kupiga land target, hata S400 yaweza ni wewe kuipa coordinates tu...
Kumbe? Una mfano na maelezo yake? Nahisi inawezekana kurusha pia roketi nyingine kwa gari la SS 400 ingawa ningeshangaa sana. Ingeleta faida gani? Mfumo huu unategemea ushirikianiano baina kifaa cha kurusha, radar na roketi lengwa. Kwa shabaha za ardhini radar na mfumo wa kulenga ni bure, au sivyo?
 
Hapa natafuna pop corns tu, yaani kama movie....raha hadi naumwa aisei
Wenzako wanazidi kuchukua mikoa wewe unabaki na propaganda za HIMARS 🤣 🤣 🤣 hakuna ghala zimepiga zaidi ya daraja moja tu nalo lishajengwa na mzigo unasonga mbele
 
Dah! halafu sasa HIMARS zinaendelea kuongezwa, halafu ukizingatia zina uwezo wa kushambulia kutoka umbali usiofikiwa na artillery za Mrusi, ilihali Mrusi hawezi kuzishambulia kwa ndege maana zitadunguliwa, sasa amekaa kupokea tu, mara ghala hili linapigwa, lile linalipuliwa wanaishi kwa wasiwasi hawajui mzigo utatua wapi next.
Zipelekwe HIMARS ambazo ni long range.
 
Wenzako wanazidi kuchukua mikoa wewe unabaki na propaganda za HIMARS 🤣 🤣 🤣 hakuna ghala zimepiga zaidi ya daraja moja tu nalo lishajengwa na mzigo unasonga mbele

Ndio tatizo la kutegemea taarifa za vijiweni, unakua mweupe bila chochote zaidi.
Urusi wanakalia HIMARS vikao maana sio kwa mateso wanayopata, mpaka wanalia lia wakidai kwa teknolojia ya HIMARS, hakuna Ukraine mwenye uwezo wa kuzitumia, lazima kuna Wamarekani wametumwa kuelekeza elekeza.

Kumega maeneo sio issue maana yatawatokea puani, kikubwa na cha msingi ni kwamba Urusi ameshindwa kufumua hako ka-Ukraine kama ambavyo wengi tuliogopa na kutegemea, ameishia kumega tumiji twa huko mpakani tena kwa kupoteza sana, kila ekari anayomega anaingia gharama ya mateso hadi basi, na vyote hivyo vitamtokea puani, anaendelea kuchoshwa taratibu, anaendelea kukatwa supplies....ndio mziki wa HIMARS.
 
Ndio tatizo la kutegemea taarifa za vijiweni, unakua mweupe bila chochote zaidi.
Urusi wanakalia HIMARS vikao maana sio kwa mateso wanayopata, mpaka wanalia lia wakidai kwa teknolojia ya HIMARS, hakuna Ukraine mwenye uwezo wa kuzitumia, lazima kuna Wamarekani wametumwa kuelekeza elekeza.

Kumega maeneo sio issue maana yatawatokea puani, kikubwa na cha msingi ni kwamba Urusi ameshindwa kufumua hako ka-Ukraine kama ambavyo wengi tuliogopa na kutegemea, ameishia kumega tumiji twa huko mpakani tena kwa kupoteza sana, kila ekari anayomega anaingia gharama ya mateso hadi basi, na vyote hivyo vitamtokea puani, anaendelea kuchoshwa taratibu, anaendelea kukatwa supplies....ndio mziki wa HIMARS.
Achana na maneno mengi nauliza hiviii?? kuna mkoa mmekomboa kwa ujuo wa hio HIMARS?
 
Back
Top Bottom