Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,509
- 113,629
Kwenye kuandika, kuna wenye uwezo wa kusoma maneno yaliyoandikwa na mwandishi, na mwisho wa uwezo wao na kusoma tuu maandishi!. Kuna wengine wana uwezo wa kusoma maandishi na kuijua maana ya the motive behind hayo maandishi!, kama Adam na Eva/Hawa Walipokula lile "tunda"!.İ doubt you,do you really know yourself?what you write outrightly shows that you are Pro El and Zzk utajibeba .
Kuhusu wagombea hawa wawili ni muhimu pia utazame michango ya wanabodi wengi sana hawampendi Zitto na sababu zake zimeelezwa. Pamoja na hayo hatuwezi kudai hakuna Udini, Ukabila wala Ukanda ikiwa sisi wenyewe tunashindwa kuonyesha takwimu ama utafiti wetu wenyewe ktk matokeo kama haya. Na tunashindwa pia kuziba midomo yetu kuonyesha Udini, Ukanda na hata Ukabila..
Siku zote mimi nasisitiza sana kupokea na kuyasikia malalamiko ya WATU wengine, halafu tunajiuliza kwa nini watu wanafikiria hivyo, Je kuna dalili zozote zinazoashiria Udini Ukabila na Ukanda? Tunafanya utafiti wetu na kurudi na majibu na sii tunavyofiiria toka kichwani. Hakika hapa JF tu Upo Udini, Ukabila na Ukanda japokuwa wanaoandika humu sio viongozi wa Chadema lakini chama hakijengwi na viongozi bali wanachama. Ukizungumzia mikoa ya kusini na pwani utawasikia wana Chamdema wakitukana matusi ya nguoni, Ukizungumzia Uislaam utayasikia matusi, Tukizungumzia makabila ya watu wa Pwani utawasikia watu wakisema vibaya kuhusu kabila la rais. Ni tabia mbovu sana ya wana Chadema ku generalise hili lipo na wala tusilipinge maana hata mimi hunikwaza sana naposoma hoja za baadhi ya wana Chadema.
Pasco ,Who the Hell is ZZK, Hatumtaki, hivi hamumpelekeagi Mirejesho yetu humu ndani????????Pasco nimepata habari za kuaminika kuwa, mambo yakitulia CCM, Zitto atahamia huko muda si mrefu kuongeza nguvu kambi ya Lowassa na mpango umeandaliwa na Jk na namna ya kumpokea.
Ni Bora gamba ZZK utoke, CHEDEMA tumekuchoka...
Haya ni makundi ambayo wana JF wanaingia sio?Nimeyaweka makundi ya watu!, au ulitaka nitaje na majina kabisa?.
Huu ni wakati wa kujenga chama na CCM wangependa sana makundi ya Urais yawe kama kwao ili CDM isambaratike-Mzee Mtei.
Pasco,Mkuu Joka Kuu, kwanza nakushukuru kwa objectivity yako na frankness kumhusu ZZK. Kwa vile nafahamiana na ZZK, naanza kuchelea kujibu baadhi ya post humu nikaonekana nimetumwa na ZZK hivyo mimi ni mouthpeace yake!.
Katika hayo uliyoyasema, kosa la ZZK ni lile lile kuwa mkweli tuu much hivyo kujikuta anashindwa kufanya baadhi ya mambo ambayo Chadema kama chama wanayafanya ila kwake ni kinyume cha dhamira yake. Imetokea tuu mimi kujikuta nina side na ZZK kila anapo tofautiana na Chadema. Kwenye kutoka nje, he did what was best kutokuja kabisa!, angekuwa ni msaliti kama ange turn up na asitoke nje!.
Hili la Chadema, kujifanya kutomtambua rais, nililisema sana hapa Chadema Yakubali Yaishe! Yamtambua Rais kimya kimya!, Yampongeza!. baadae Marehemu Regia akanitaka niombe radhi hapa,Pasco Tuombe radhi CHADEMA-Umemwelewa Vibaya Hon Mbowe na mimi kibinaadamu niliomba radhi hapa,Nawaomba radhi wana CHADEMA, nilimwelewa vibaya Mhe. Mbowe ila ukweli unabaki unasimama kuwa Chadema ilijifanya haimtambui rais kwa kauli "expresilly" na mpaka leo haikuwahi kuifuta kauli ile, huku imanafanya matendo "impliedily" yanayothibitisha kumtambua rais!. Hili la kumsusia JK, Dr. Aliendelea nalo, hata JK alipojitoa kuja msiba wa Regia pale Tabata, Dr akawa hapatikaniki, JK akatia timu mpaka Kilombero hapa lazima wangekuta, mpaka masizishi yalikwisha bila kusalimiana!, Kwa nini Dr. Slaa Amenuniana na JK?! - Chadema wakakaribishwa "chai" Ikulu, Dr. akagoma, hatimaye mbio za sakafuni zilimalizikia ukiongoni, jamaa walikutana, wakashikana mikono waka hug hostilities zikamalizika, Chadema sasa inashirikiana vizuri na serikali katika baadhi ya mambo, lakini kauli ya "hatumtambui rais" bado imesimama!. Kwa vile ukweli daima husimama, na kwenye siasa, The end justifies the means, pamoja na yote Chadema iliyoyafanya kwenye kususa, at the end of the day, all was wrong, and ZZK ndio yuko right!.
Hata ule msimamo wa ZZK kuhusu ununuzi wa mitambo ya Dowans au kuitaifisha, he was 100% right!. Stta, Mwakyembe and their team are dam wrong!, and belive me, tozo ya ICC lazima tutailipa!, at the end of the day, ni sisi Watanzania, mimi na wewe ndio tutailipa the last price and feel the pinch!.
Hata hivyo pamoja na kumsupport ZZK, lazima pia nikiri, ZZK ni binadamu tuu kama wengine hivyo na yeye anayo madhaifu yake, mfano uongozi ni team work, na ZZK is not a good team player ndio maana haonekani kwenye hadhara za M4C na huu ni udhaifu wa ZZK na nimeishamwambia hapa Urais wa ZZK 2015: Ngoma Ikivuma Sana...!.
All and all, pamoja na yote haya, wanaChadema, haswa manazi wa Chadema, lazima wa change their atitutes towards some issues nazo nimezizungumza hapa Kuelekea 2015: Chadema Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!
P.
PascoMkuu SG8, kipengele cha umri wa kugomba ulikuwa miaka 30 mpaka katiba ya mwaka 1977 walipoweka miaka 40. Katiba ya 2014 tutarudi mpaka miaka 35. Nawaombeni wana Chadema msilete mchezo wa ki CCM wa hide 'n' seek kwenye urais.
Hoja zangu zote ziko based on face value, hayo ya ndani ya chama, ni ya kwenu, huna haja ya kuyatoa nje ili kum discredit ZZK. Kama viongozi wa Chadema ndio kama wewe, siri za ndani, unazianika humu!, nawahurumia sana Chadema, safari bado ni ndefu na 2015, kiukweli kazi mnayo!.
Kwa sisi waandishi wa habari, ukiulizwa swali na kutojibu, huko kutojibu tuu pekeyake pia ni jibu!.
P.
Binafsi nadhani kwa kuendelea kumjadili huyu mtu ni kukubaliana na hoja za nbaadhi ya watu wanaodhani tunamwogopa au kumwonea ZZK. Nilichosema ni maoni yangu na kile nilichokiona na ninachoendelea kukiona. .Mkuu wangu kama wewe ni kiongozi ndani ya CDM na umeyaandika haya, basi sisi wasomaji ndio tutakuhumuni maana tayari wewe mwenyewe umesha onyesha upo kimakundi..Hivi unataka kunambia upande wapili hawakuwa na makosa? hivi kweli unataka sisi tuamini ZZK alifanya mabaya yote yale na leo bado yupo ktk madaraka?..
Something is very wrong nakuomba sana wakati mwingine jukwaa kama hili tuachie sisi tujadili badala ya kiongozi unatuonyesha jinsi msivyo mheshimu ZZK naibu katibu wa chama na pengine kuna ukweli nyie ndio mnaomtenga. Kumradhi sana lakini imebidi niseme haya, simuungi ZZK mkono wala yeyote anayepingana naye diplomacy ndani ya chama na usiri wa mambo ya chama ni muhimu saa ktk kukilinda chama..
Sawa tupo pamoja lakini kuna maswala unaacha kama yalivyo majukwaani ukiwa kiongozi unayamaliza huko huko maofisini..Kama hafai mnamwodoa madakani lakini sii majungu kutuaminisha wakati mke unalala naye. Tuachie sisi kina Mkandara tuchambue tunayoyaona na mnatupeleka wapi...Binafsi nadhani kwa kuendelea kumjadili huyu mtu ni kukubaliana na hoja za nbaadhi ya watu wanaodhani tunamwogopa au kumwonea ZZK. Nilichosema ni maoni yangu na kile nilichokiona na ninachoendelea kukiona. .
Point noted with thanks!!!! Ndio maana ya JF, mimi ni muumini mzuri sana wa kukubali kukosolewa na kujisahihisha!!!Sawa tupo pamoja lakini kuna maswala unaacha kama yalivyo majukwaani ukiwa kiongozi unayamaliza huko huko maofisini..Kama hafai mnamwodoa madakani lakini sii majungu kutuaminisha wakati mke unalala naye. Tuachie sisi kina Mkandara tuchambue tunayoyaona na mnatupeleka wapi...
Mkuu Jeradi, nimekusikia, nimekuelewa, na kukubali. Nakiri kwa haya uliyoeleza kuhusu ZZK, nakiri kumbe ufahamu wako is the judgement based on the cover of the book only!, nitatafuta time nikisome kitabu chenyewe, na kama ni kweli, kwanza tunamlipua humu humu na kisha tunampotezea!, JF hatukopeshi, na mimi kwa vile kila siku nahubiri sina chama, pia sina permenent friendships na any politicians, we just have common interest!. Japo ZZK namkubali sana, hoja zako kumhusu sio za kupuuziwa hata kidogo!.Pasco
Ifike wakati sasa tuseme ukweli. Haya niliyoyasema hapa sio mambo ya ndani kiasi hicho ila nataka nyie mnaodhani sisi tunamwogopa ZZK mjue kwamba tuna hoja za msingi. Ningeweza kukutumia PM lakini niliamua kuweka hapa kwenye mjadala kwa sababu ya kuweka rekodi sawa. Mnaambiwa kila siku kwamba kuna watu wanatumika lakini hamtaki kusikia. Nadhani unakumbuka yale mawasiliano ya ZZK na Mwandishi wa Mwananchi na yale yaliyowekwa wazi kupitia gazeti la Mwanahalisi. Sikumbuki kama ZZK alishakanusha uhusika wake.
Habari ya kwamba natoa siri nadhani hujanitendea haki kwa sababu nilitaka ujue kwamba wapo watu waliopo nje ya makundi hayo uliyoyataja na sio kwamba tunaogopa au tunamwonea wivu la hasha. Tuna mashaka na mwenendo wake. Naeudia tena fanya utafiti wako bila bias ili ujue kwamba huyo unayempigia debe sasa sio maarufu tena, hata kwenye top ten ya Chadema kwa sasa hayumo. Hata yule Issa Mohamed Makamu toka Zanzibar ni maarufu zaidi yake.
Na mwisho kabisa niweke sawa jambo moja hapa jukwaani sizungumzi kama Kiongozi wa CDM, nazungumza kama SG8 nikiiwakilisha nafsi yangu
Thanks Mkuu COMRADE CHRIS HANI, ukikubali kuwa mkweli, lazima uwe tayari kukubali matokeo including to pay the price!. Miongoni mwa gharama ni kuchukiwa "an anemy of the people"!. Humu jf nimeisha zoea kubezwa, kutukanwa, kudhihakiwa but at the end of the day, kweli itasimama!.
Wanachadema wote wenye mapenzi mema na chama chetu nawaomba kwa moyo mkunjufu kabisa kwamba inatosha sasa kuendelea kumjadili zitto na hoja yake ya uraisi. Kama kuna hoja nyingine tujadili lakini hii ya uraisi ni kama inaelekea kutushika akili zetu na tunapoteza muda kuizungumzia wakati tuna majukumu mengine muhimu ya kukijenga na kukiimarisha chama.
Mimi naona hapa wapambe wa zitto ambao wengi wao si wanachadema wamefanikiwa kutu divert kutoka katika hoja yetu ya msingi sasa tumebaki kubishana nao juu ya suala hili moja kila siku. Hivi hamuoni wengi wanaoongoza kuleta mijadala ya zitto na uraisi hapa JF ni wanaccm na wanachadema wenye maslahi binafsi na zitto?
Mimi hii ndiyo post yangu ya mwisho kwa sasa juu ya uraisi wa zitto,nawaombeni sana makamanda huu mtego mmenaswa bila kujua na sasa mnamfanyia kampeni mtu binafsi huku mkikisahau chama. Sasa ni muda wa kukizungumzia chama na namna bora ya kujikita kwa wananchi, tuendelee na moto uliokwisha washwa wa kuipeleka chama huko vijijini kama tulivyokwisha anza.
Mkuu Josephine, leo nilikuwa nafanya rejea ya uzi huu, ndipo nikakutana na posti yako hii!,Pasco,
Hongera kwa jitihada za kujaribu kutuelimisha.I pray to God and Give you more wisdom beyond reasonable doubts on this.
The Issue is not Zitto to become a Leader.
Currently I know every leader of CHADEMA their together planning the strategies of overcoming the enemy,it is not the right time to talk about.