johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,980
Kuanzia Nyerere hadi Kikwete wote wanasema waliombwa na Wazalendo Ndani ya Vyama vyao wagombee Urais
Magufuli akasema alibeep akajikuta amesukumiziwa huko Ndani ya Urais
Hata Dr Slaa 2010 aliombwa na Chadema agombee
Nakumbuka Watu walioonyesha Nia thabiti ya kutaka kuwa Rais wa JMT ni Lyatonga Mrema na Edward Lowasa na Kule SMZ ni maalim Seif lakini hawakufanikiwa
Mungu wa Mbinguni awabariki😀🔥
Magufuli akasema alibeep akajikuta amesukumiziwa huko Ndani ya Urais
Hata Dr Slaa 2010 aliombwa na Chadema agombee
Nakumbuka Watu walioonyesha Nia thabiti ya kutaka kuwa Rais wa JMT ni Lyatonga Mrema na Edward Lowasa na Kule SMZ ni maalim Seif lakini hawakufanikiwa
Mungu wa Mbinguni awabariki😀🔥