- Thread starter
- #361
Acha kujipa majukumu ya mods mambo ya ID hayakuhusu jibu hoja unatafuta pakukimbilia.
Siwezi kukaa kimya na kuwaacha wahuni wachache wakichafua heshima ya jukwaa hili.
Acha kujipa majukumu ya mods mambo ya ID hayakuhusu jibu hoja unatafuta pakukimbilia.
kweli umeishiwa hoja, mi hata tuntemeke simjui unang'ang'ania kunipachika jina.
Sasa nimeamini mmefualia kwa hoja, mnaanza kupiga porojo kama magamba.
Mabadiliko ktk nchi yetu bado sana, cdm inahubiri isichokifanya.
Mpaka 2015 itazidi kujidhihirisha rangi yake halisi.
Hoja zitoke wapi wakati kiboko kaishafika wanalia na mods, chezea NTUNTEMEKE.
Siwezi kukaa kimya na kuwaacha wahuni wachache wakichafua heshima ya jukwaa hili.
mkuu Ritz, hapa wameshikwa pabaya, ni kumwaga povu tuu.
Naipenda JF...!16th May 2008 - Wazee hawaongei hovyo hadharani. Hawa ni statemen, chukua muda, kaa nao utapata mengi mengi sana. Ni wale tu ambao hawataki kuheshimu uzoefu na kazi ambayo wazee hawa wamefanya ndio atataka kuwalaumu na kuwasuta. Hawa hawawezi kwenda MAELEZO kusema kama Zitto au Mnyika etc, hawa wanasema kikubwa kwa tahadhari na ukipata fursa kuwa nao unajifunza mengi sana na unaweza kuyasema 'with authority'. Tuwaelewe wazee wetu na tuwe fair kwao!
Msalimie Tuntemeke mkuu wangu.
mkuu Ritz, hapa wameshikwa pabaya, ni kumwaga povu tuu.
Kwa hiyo wewe ni mod?
Jamaa kageuka Mod.
hahahaaa,
mkuu Malemo leo naona umeishiwa hoja kabisa.
Waulize mods **** mimi na tuntemeke ni mtu mmoja.
Kama ni kweli wazifungie akaunti zetu moja kwa moja.
kwa kadri ninavyojua na hali inavyoendelea huku ndani kabisa chini ya jiko kuna watu wawili hawawezi kuwa marais wa nchi hii 2015.. zitto Kabwe na Lowassa...tena huyu wa pili ndio kabisaa hataweza maana file lake ni chafu na pia mwenye nyumba wakati akiwa njia kuelekea US alipigia mstari...tunajua nini kitatokea huyu akiingia pale ikulu na hivyo ni jukumu letu kuepeusha..ni heri kuweka kinu pale ikulu kwa miaka 5 kuliko huyu....Zitto sababu ziko wazi kwa sasa hawezi kuwa rais labda apindue nchi kitu ambacho hawezi....
Unataka kusema yy hajui hizo sababu au kavaa miwani ya mbao?
Unadhan Kamati kuu itampinga mtei wakat mkwe wao? huyo mzee hana lolote anataka mwanae akae ikulu sasa anaona zito ndo kikwazo chama cha familia na serikal mnataka ya family...pumzka we mzee mda wa vijana huu...zito kamua baba
kweli kaka habari ndo hiyoo!
Nadhani kijana akimwona "John Walker" akitalii hivi anajilaumu kwa nini hakufoji mwaka wa kuzaliwa kwa kuongeza hata miwili tu ili naye "atanue" namna hii.Zitto akiona picha za mr dhaifu akiwa Canada akivutwa na vitoroli kupitia farasi naona ndio anachanganyikiwa kabisa kwa tamaa anataka hata kubadilisha birth certificate yake ili isome miaka 42 afikapo 2015
kwani si hata mtoto mtukutu nyumbani anaonywa kwa mdomo na kama mdomo haumtii adabu basi ni bakora! Mwenzetu huwa unakaa kimya?Wee huoni kwamba zzk anawanga? Wenzie bado wanalima hata kupanda na kipandwe nini uamuzi bado! Yeye anaenda na kapu lake kuvuna!
Chama, unaona majibu yako? yaani swala la colective rationare ni tatizo kwako, kwani ww msomi ni mpaka niwe mm? sasa kama madaktari, waalimu wa inchi wanalalama, hao sio wasomi?
Hivi wewe unafikiri tatizo ni Zitto kutangaza nia ya kuutaka urais? Labda kama hutaki kuelewa kutokana na hulka zako humu JF. Issue hapa ni Zitto na uhalali wa umri wake katika kugombea urais na yeye kila baada ya miezi mitatu kuwa anaibuka na kutangaza kuutakaka urais. Umri wake ni wazi haumruhusu na hiyo katiba mpya hakuna anayejua kama itaaccomodate huo umri wake wa miaka 39 hiyo mwaka 2015. Swali ni Je kama hana vigezo wala sifa kwa sasa inakuaje anatangaza kuutaka urais? Nini lengo lake hasa maana wenzake wote wako busy na ujenzi wa chama. Najua hutaelewa maana mara nyingi nimegundua ni hulka yako kutoelewa.