wewe acha kudanganya uma chadema ni chama makini hawakurupuki hakuna mpasuko wowote 2015 nchi lazima ichukuliwe na chadema
Hii dhana sijui imetoka wapi mtu yeyote humu JF hakiwa Against Chadema basi katumwa na CCM, labda nikuulize wewe kwenye mshahara wa Dr Slaa wa milioni 7 kwa mwezi anakutakia kiasi gani?
inaonekana unamzimia sana Nape; maana huishi kumtaja sisi wengine hamtujui zaidi ya kumsoma kwenye magazeti
Chama
Gongo la mboto DSM
Nyerere alisemaga waogopeni wenye tamaa ya urais na wanaokimbilia ikulu.
Pasco said:Hivi nyinyi wapenzi wa Chadema, bado hamjajua ZZK ndio mtaji wenu pekee wa ushindi 2015?...ZZK anakubalika sana kutokana na kuendesha "strategic politics" kwa urafiki wake na January Makamba, atazivuna kura zote za vijana wa CCM!, kwa urafiki wake na Jussa, atazivuna kura zote za CUF kule visiwani. Kwa usomi wake, atazivuna kura zote za vijana/wasomi na wataka badiliko ya kweli with clear goals na right strategies!.
Hii dhana sijui imetoka wapi mtu yeyote humu JF hakiwa Against Chadema basi katumwa na CCM, labda nikuulize wewe kwenye mshahara wa Dr Slaa wa milioni 7 kwa mwezi anakukatia kiasi gani?
inaonekana unamzimia sana Nape; maana huishi kumtaja sisi wengine hamtujui zaidi ya kumsoma kwenye magazeti
Chama
Gongo la mboto DSM
kwa kweli namsihi aangalie maneno ya busara ya wazee wanayompa na siyo kuropoka na kiongoz mzur anateuliwa na watu na siyo kusimama majukwaani na kujitangaza ovyo ovyo kwani jamni ikulu kuna nini
mkuu chama mimi huyo nape sijawai kumuona hata kwa sura, wewe sikufaham wala Ritz wala memba yeyote wa jf.
Sasa nashangaa anahangaika kutuo shutuma za kitoto badala ya kujibu hoja.
Zito anajidanganya sana,aache kuropoka,anakuwa kama hajaenda shule!,subiri muda ufike utangaze nia yako,sasa hivi jenga chama kwanza.
Na hii dhana sijui imetoka wapi mtu yeyote humu JF hakiwa Against CCM basi ni Chadema, labda nikuulize wewe kwenye wizi wa mabilioni ya EPA, Richmond, Kagoda...ulikatiwa kiasi gani?Ritz said:Hii dhana sijui imetoka wapi mtu yeyote humu JF hakiwa Against Chadema basi katumwa na CCM, labda nikuulize wewe kwenye mshahara wa Dr Slaa wa milioni 7 kwa mwezi anakukatia kiasi gani?
Mkubwa,Mkuu unachanganya hoja yko n nn hapa
Mwasisi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA Edwin Mtei amemuonya mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe kuacha kutangaza mambo ya Urais sasa kwani anasababisha mpasuko ndani ya CDM na badala yake ajikite kukijenga chama mpaka muda utakapofika ili chama kitoe utaratibu.
mkuu chama mimi huyo nape sijawai kumuona hata kwa sura, wewe sikufaham wala Ritz wala memba yeyote wa jf.
Sasa nashangaa anahangaika kutuo shutuma za kitoto badala ya kujibu hoja.
Tena tuwaogope kamaUkoma!!
Kaskzini in da white house ndo tatizo.
Vijana wengi wamesahau huyu huyu Zito wanayemtukana na kusema kahongwa ndiye aliyewavutia kuingia chadema na ndiye alowapa mwanga wabunge wengi vijana na amewakomaza kisiasa.
Kweli fanya jema usepe zako usingoje shukrani!
Mkuu Mag3, kwanza tukubaliane yafuatayo...Sasa Pasco, kweli unaamini kwa dhati kutoka rohoni kuwa hiyo picha unayoijenga ndio lengo na dhamira ya Chadema...yaani kushinda Uraisi kwa namna yoyote ile hata ikibidi kuwasaliti mamilioni ya wapenzi wao. Kwa lugha nyingine ni kuwa bila ZZK, Chadema haifiki popote pale kwani inahitaji baraka za CCM (January) na CUF (Jusa) ili iweze kukamata dola. Pasco, you are better than this!
Kuna watu mnaiunderestimate hii tsunami ya Chadema, sijui ni kwa makusudi, hila au kutojua. Leo hii niko tayari ku"bet" na yeyote yule anayeamini kuwa ikitokea ZZK akatemwa Chadema, basi huu moto wa Chadema basi...Please Pasco, this is a movement now, you are either in it and agree to swim with the current or out and be swept and left by the wayside. This is no NCCR or CUF...time will tell!