Urais 2015: Mtei amshukia Zitto

Urais 2015: Mtei amshukia Zitto

Mkuu nakubaliana na wewe hana nguvu kisiasa kama unavyodai; je inakuwaje mtu ambaye hana nguvu kisiasa anawafanya hamlali kwa kumpiga madongo; je kinaogopwa kitu gani? Mimi nadhani ikiwa kama ni kweli hana nguvu za kisiasa basi mngefuata mkondo wa demokrasia badala kutumia nguvu nyingi kujaribu kumnyamazisha; hivi mathalani leo mh. Didas Masaburi atangaze atagombea uraisi kupitia CCM unafikiri kuna atavunja shughuli zake kujibizana naye?ChamaGongo la mboto DSM
kwani si hata mtoto mtukutu nyumbani anaonywa kwa mdomo na kama mdomo haumtii adabu basi ni bakora! Mwenzetu huwa unakaa kimya?Wee huoni kwamba zzk anawanga? Wenzie bado wanalima hata kupanda na kipandwe nini uamuzi bado! Yeye anaenda na kapu lake kuvuna!
 
Kikatiba kila mtanzania anasitahili kuwania kuwa rais kama atakuwa na sifa na kama atapendekezwa na chama chake. Tumuache Mh. Zitto na nia yake hiyo. Hata mimi nina nia kuwania Urais kupitia chama changu.
 
Sihitaji kuheshimiwa na mtu kama wewe,kwani sijazoea unafiki.Unafiki na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa ndiyo umefikisha Taifa hapa lilipo.Siwezi kuunga mkono mtu yeyote asiye na hekima anayetaka kugawa CDM vipande vipande.Nakuambia wazi NO na haitatokea Asilani.Vyama vya hovyo hovyo vipo kibao na mtu yeyote anayependa vurugu aende huko kufanya vurugu zake.
Narudia ni bora tutawaliwe na CCM hata miaka mia moja ijayo kuliko kuruhusu wavurugaji kwa ukaidi na ubinafsi wao kutaka kuua chama.Wapo mashujaa waliokufa huku wakipigania chama na damu zao zinalilia haki Ardhini.
Kwa akili yako unadhani mtu yeyote akipingana kimawazo na watu wanaotaka kuvuruga chama basi ni lazima wawe wafuasi wa fulani au mapandikizi? Hiyo ni akili mgando iliyojengwa katika fikra za kimaskini na za ki-CCM.Kama wewe ni kundi la fulani basi usidhani watu wote ni wa hovyo hovyo au ni cheap kiasi hicho.

Wewe molemo,mtei mtoa tamko,anaempigia chapuo mkwewe mbowe na hicho kizee chenu kinachotumiwa bila kujijua nyinyi wote ni wakaskazini!
Sasa jiandaeni moto wa zitto hamtaweza kuuzima.
Ni zamu ya wanakigoma sasa si mnajifanya chama chenu ni cha demokrasia,mtaona muziki wake kuanzia mwakani.
Jamaa anachukua chama na nchi.
Na huyo mtei wenu si ndie huyu aliyemuomba zitto 2009 amuachie mbowe uenyekiti?
Au sio huyu maana chama chenu mmejaza wachaga labda ni mtei mwingine.
Kwi kwi kwi!
Zitto kawabana mbavu!
 
Mkuu IsayaMwita nitakuja Kigamboni tuonane.
karibu tata Molemo tusule ubhukima, huyu Chama angejielekeza kukishauri chama chake kuhusu matumizi ya lasirimali hizi tulizonazo ili ziwasaidie watanzania wote, kutwa ni chadema.. chadema, pia ni vema akajua kwamba, watz wameichoka ccm kwa sababu waliwasahau wasomi(universities) wa nchi hii, sasa wameamua kuikumbatia chadema, ccm ijitafakari na si kujaza hapa akina Ritz na zomba kuitetea bila fact
 
Kikatiba kila mtanzania anasitahili kuwania kuwa rais kama atakuwa na sifa na kama atapendekezwa na chama chake. Tumuache Mh. Zitto na nia yake hiyo. Hata mimi nina nia kuwania Urais kupitia chama changu.

Tatizo la chadema wanaimba wimbo wa malaika huku wanacheza ngoma ya kishetani
 
karibu tata Molemo tusule ubhukima, huyu Chama angejielekeza kukishauri chama chake kuhusu matumizi ya lasirimali hizi tulizonazo ili ziwasaidie watanzania wote, kutwa ni chadema.. chadema, pia ni vema akajua kwamba, watz wameichoka ccm kwa sababu waliwasahau wasomi(universities) wa nchi hii, sasa wameamua kuikumbatia chadema, ccm ijitafakari na si kujaza hapa akina Ritz na zomba kuitetea bila fact

Siku ya kuja nitaku-PM mkuu.
 
kwani si hata mtoto mtukutu nyumbani anaonywa kwa mdomo na kama mdomo haumtii adabu basi ni bakora! Mwenzetu huwa unakaa kimya?Wee huoni kwamba zzk anawanga? Wenzie bado wanalima hata kupanda na kipandwe nini uamuzi bado! Yeye anaenda na kapu lake kuvuna!

Na huyo mtei anaempigia chapuo mkwewe ?
Mbowe ndo kamuomba mkwewe amsemee kwamba naye anataka kugombea jamani!
 
Mkuu nakuunga mkono 100% ukiangalia maelezo ya Mkuu Bahatisha kwenye hii quote
Mambo ya ZITO KABWE NI HAYA1
1:Zitto ahusishwa na Rostam | Gazeti la MwanaHalisi
2:Usalama wa Taifa wavamia CHADEMA | Gazeti la MwanaHalisi
Jitahidini kumjua zito,muone mambo yake!
Huyu bwana haaminiki hata kidogo unless CDM imeamua kuunga mkono maovu ya CCM, yaani wizi ufisadi, rushwa, dhuluma za mali za watanzania, na mengine mengi ukiongeza siku hizi hata mauwaji!!!! Huyu bwana anakuja na style ya waliosambaratisha chama cha NCCR mageuzi na sasa wamekaa wenyewe TISS ndio vinara!!! Tunahitajika kuwa na mtazamo wa mbali ili tuweze kukomboa nchi hii iliyofanywa kuwa wanyonge Tanzania!!!





Tatizo la kujadili siasa ni kwamba huwa ngumu sana kukwepa tope ukabaki academic. Mfano mzuri ni kumjadili huyu kijana. Yapo mazuri ameyafanya lakini ninachokiona ni kwamba mazuri yake yanaweza kuchafuliwa na hii human flaw ambayo imeanza kuonekana kama vile ni "overconfidence" ikiwa manifestation ya inferiority complex, au paranoiac grandeur. He should either quit or be forced to quit.

Sisi tulio nje tunaiona Chadema kuwa chama cha watu makini--na yeye akiwapo ndani. Ni matumaini yangu kuwa Umakini huo utamuongoza kuliona hili. Sioni akili katika mtu kuunguza ukuni katika tanuru la mkaa leo, na kutaka kuutumia ukuni huo huo kama fimbo ya kuulia nyoka kesho. Maamuzi magumu yafanyike hapa. Pull that carpet from under him and let him go!
 
kwani si hata mtoto mtukutu nyumbani anaonywa kwa mdomo na kama mdomo haumtii adabu basi ni bakora! Mwenzetu huwa unakaa kimya?Wee huoni kwamba zzk anawanga? Wenzie bado wanalima hata kupanda na kipandwe nini uamuzi bado! Yeye anaenda na kapu lake kuvuna!

Na huyo mtei anaempigia chapuo mkwewe ?
Mbowe ndo kamuomba mkwewe amsemee kwamba naye anataka kugombea jamani!
Bora zitto anaejisemea mwenyewe.anajimudu.
Mwanaume wa kweli ni jasiri
 
Tatizo la kujadili siasa ni kwamba huwa ngumu sana kukwepa tope ukabaki academic. Mfano mzuri ni kumjadili huyu kijana. Yapo mazuri ameyafanya lakini ninachokiona ni kwamba mazuri yake yanaweza kuchafuliwa na hii human flaw ambayo imeanza kuonekana kama vile ni "overconfidence" ikiwa manifestation ya inferiority complex, au paranoiac grandeur. He should either quit or be forced to quit.

Sisi tulio nje tunaiona Chadema kuwa chama cha watu makini--na yeye akiwapo ndani. Ni matumaini yangu kuwa Umakini huo utamuongoza kuliona hili. Sioni akili katika mtu kuunguza ukuni katika tanuru la mkaa leo, na kutaka kuutumia ukuni huo huo kama fimbo ya kuulia nyoka kesho. Maamuzi magumu yafanyike hapa. Pull that carpet from under him and let him go!

Should I say more?
 
Chama, naona kazi mliyopewa haitafamikiwa kamwe, kuiangusha Cdm ni ngumu sana, na ni kwa sababu wasomi ni wengi sana ndani y CDM, sasa tizama baada ya kuishauri serikali yenu namna nzuri ya kutekeleza sera zenu, kutwa..
cdm haitaangushwa na mwingine yoyote isipokuwa cdm wenyewe na hasa hao wasomi wengi ambao hawajaelimika!
kwa mfano mmekazana kumkemea ZZK na kauli zake badala ya kuwekeza kwenye ujenzi wa IMANI ya wananchi na hasa wapigakura 2015,mkijenga imani ya kutosha wananchi wakaamini cdm ni chama mbadala kwa ukombozi wao katika yale majanga yanayowakabili yaani umaskini, maradhi, ujinga,ufisadi na rushwa iliyokithiri, ZZK atakuwa nani hata cdm isishike dola 2015 lakini kama haya malumbano yataendelea ccm watapita katikati haooo na kuchukua tena nchi 2015 na hakika hakutakuwa na wa kumlaumu isipokuwa wanacdm wasiotaka kufanya kazi ya kuisimika cdm mioyoni mwa wa tanzania wote
 
Siku zote mtu mwenye tamaa anaonekana mapema, wanaJF jaribuni kufanya uchunguzi, Dr. Slaa aliombwa na kamati kuu, huyu Zitto angesubiri muda mwafaka, yeye anafikiri kwamba watanzania tuko kama anavyofikiri yeye, watu watamke kwamba mtu fulani anafaa kutoongoza, nakubaliana kabisa na wachangiaji wengine kwamba jamaa (Zitto) ana tamaa.
 
Siku ya kuja nitaku-PM mkuu.

Ataenda kukufundisha fitna na majungu huyo molemo!
Ila kama na wewe una tabia hizo atakusaidia sana utafuzu kama yeye.
Maana mwenzio kazi yake ni upishi wa majungu.
 
Nakubali sana Chadema kuna wasomi wengi na wewe ni mmoja wapo wa hao wasomi?ChamaGongo la mboto DSM
Chama, unaona majibu yako? yaani swala la colective rationare ni tatizo kwako, kwani ww msomi ni mpaka niwe mm? sasa kama madaktari, waalimu wa inchi wanalalama, hao sio wasomi?
 
Siku zote mtu mwenye tamaa anaonekana mapema, wanaJF jaribuni kufanya uchunguzi, Dr. Slaa aliombwa na kamati kuu, huyu Zitto angesubiri muda mwafaka, yeye anafikiri kwamba watanzania tuko kama anavyofikiri yeye, watu watamke kwamba mtu fulani anafaa kutoongoza, nakubaliana kabisa na wachangiaji wengine kwamba jamaa (Zitto) ana tamaa.

Slaa anategea aombwe ili adai mshahara.
Siwezi kuwa kitoweo cha wajinga ndio waliwao.
Kura yangu kwa zitto.
 
kumbuka vichaa wenngine wanavaa hata sutti ila nimejaribu kusoma nakala hiyo ya mheshimiwa Zitto anastahil kupelekwa mirembe labda amerukwa na akili
he must be confused
 
kumbuka vichaa wenngine wanavaa hata sutti ila nimejaribu kusoma nakala hiyo ya mheshimiwa Zitto anastahil kupelekwa mirembe labda amerukwa na akili
he must be confused

Mkuu wangu kwanini umetumia lugha kali hivyo?
 
karibu tata Molemo tusule ubhukima, huyu Chama angejielekeza kukishauri chama chake kuhusu matumizi ya lasirimali hizi tulizonazo ili ziwasaidie watanzania wote, kutwa ni chadema.. chadema, pia ni vema akajua kwamba, watz wameichoka ccm kwa sababu waliwasahau wasomi(universities) wa nchi hii, sasa wameamua kuikumbatia chadema, ccm ijitafakari na si kujaza hapa akina Ritz na zomba kuitetea bila fact

Mkuu IsayaMwita,
Kwa hiyo nyie mmeletwa humu na Dr Slaa.
 
Last edited by a moderator:
Chama, unaona majibu yako? yaani swala la colective rationare ni tatizo kwako, kwani ww msomi ni mpaka niwe mm? sasa kama madaktari, waalimu wa inchi wanalalama, hao sio wasomi?

Wapotezee mkuu wangu!
 
Back
Top Bottom