Urais 2015: Mtei amshukia Zitto

Urais 2015: Mtei amshukia Zitto

Acha kupotosha jamii, swala la kuua linaingiaje hapa..

Mods: tuwe makini na watu wa namna hii, wanatupeleka pabaya na Ndo maana JF inapoteza mwelekeo maana tuna endekeza hoja na michango isiyo na tija.

Nina Report!!!

www.oric.co.tz, alfredKOHI, 0784 800 989
 
Nilikuwa namuunga sana mkono Zitto, lakini kwa hili, la kutaka kuleta mpasuko, nimemdharau sana! Anajua kwamba yeye hawezi kumshinda mgombea wa CCM lakini analazimisha asimamishwe yeye ili CCM ishinde
 
We kweli ni Dr? Mbona unakosa mwelekeo kwa kutunga maneno yanayoweza kuhatarisha amani, sasa tafsiri ya kumuua Mzee WA watu we unaitoa wapi?

Mods: tuwe makini na hawa watu!!

www.oric.co.tz, alfredKOHI, 0784800989
 
Hivi kwa nini TOP BRASS ya CDM inaogopaga KIVULI cha ZZK, yaani Megacalories wanazo zitumia kumu-contain Zuberi si bure; ukiangalia kwa makini modus operand ya TOP BRASS hiyo mtu unahanza kuhoji kama wako sincere na transparent katika Uongozi wao.

Siwasemi vibaya lakini ukifanya analysis za events/incidents zilizo wahi kutokea hapo nyuma mtu unakuwa na wasi wasi kwamba chama hiki inner circle imekaa kifamilia/kiukoo zaidi kuliko kuwa a public DOMAIN, hii ndio maana wakiona member fulani anakuwa popular kuliko wao - basi wanatafuta kila njia kujifanya eti wanampa ushauri asubiri kwanza, sijuhi umri bado - wanatumia kisingizio hicho kuwakingia kifua jamaa zao, yaani inapokuja katika suala hilo member yeyote anayejaribu ku-challenge cocoon hiyo anaonrekana expendable kwao regardless ya umaharufu wake. I stand to be corrected.

Mkuu! tafakari na hili! "mmekubaliana wote kwenda vitani, (M4C) Ili mkishinda vita mgawane nyara! Vita imeanza wewe umeanza visingizio na kuchachawa! huku unatamani kuwa kiongozi wa ushindi bila kushiriki vita!
 
Kafulila mwanzoni alijidanganya hivyo hivyo lakini siku ile Mbatia alivyomfukuza aliangua kilio kama mtu aliyefiwa na mama yake.

Mkuu ahsante kwa vivid mfano.

Hata huyu usalama wa taifa siku zake zinahesabika.
 
Tatizo lipo wapi? kutangaza ni bora, kuliko kujificha na kufanya mambo kwa siri. Kama unataka Urais, hiki ndio kipindi cha kujitokeza hadharani. "Mficha uchi hazai" Siasa za kujificha ni za CCM, ambazo zimezaa MAFISADI. Kama kutakuwepo na uwazi, hakuna cha kuogopa makundi. Makundi yanajitokeza kama kutakuwa na mchezo mchafu watu wanahisi.
Mh Zitto nakusaport kwa 100% na nawaomba wenye nia ya kuwania wajitokeze.
 

Kweli wakuu kama ZITO yuko hivyo ni Agent wa TISS (kwa sababu hawezi kukwepa kuwa sio agent labda kama hajijui anatumiwa) huku ndani ya CDM anatafuta nini??? Labda kama ni kwa nia nzuri ya kuimalisha chama cha kuingoa CCM, LAKINI KAMA ANA MAHUSIANO NA MAFISADI HAPA SIO MAHALI PAKE!!!!Atupwe nje ya chama juhudi za kuleta maendeleo zisonge mbele, kwanza siku hizi hana faida yoyote kazi ni kutetea mafisadi tu!!!!

 
Maneno ya Mtei hayawez yakawa bible or quraan kuzima ndoto ya zitto kuwa rais ajaye its only katiba so kama vip tume ya kukusanya maon ya kikatiba mkatoe maon yenu kuwa rais anatakiwa awe na miaka 40 isibadilishwe hicho pekee ndicho kinaweza zima ndoto za zitto 2015 but not 2020 inshallah mwenyez mungu atamlinda afike huko
 
Heshima mbele Wakuu.

Hili tatizo linaweza kuwa na mitizamo miwili: Linaweza likawa na mtizamo wa hisaikolojia, ambao si mzuri sana kwa Mhe. Zitto Kabwe, na Upande wa Kisiasa, ambao pia si mzuri kwa upande wake. Tatizo kubwa zaidi ni kwamba upande wa pili, ambao ni wa kisiasa, una athari kwa Chama pia kwa sababu hatima yake inaelekeza Zitto Kabwe afukuzwe kutoka katika chama haraka ili chama kianze mending damage miaka mitatu kabla ya uchaguzi.

Upande wa Saikolojia ni huu: Mtu mwenye inferiority complex iliyojificha katika nafsi yake--pengine kwa kujihisi anapungukiwa kitu fulani, ambacho kinaweza kuwa kujihisi ana sura mbaya, au impotent, au mapungufu mengine ambayo mtu anakuwa akijihisi kwa siri ya moyo wake, basi watu kama hawa hutafuta kufunika inferiority complex hiyo kwa kujikweza, kujitapa ama kutaka dunia ijue wao ni masihi fulani hivi. Hadi hapa tulipofikia, mimi binafsi naona dalili za Zitto Kabwe katika jitihada za kufunika inferiority complex zaidi kulipo kitu kingine.

Lakini katika matamko ya Kijana huyu, mimi binafsi naona dalili za tabia ya mtoto ambaye kakua bila father figure, na hivyo hana hofu ya mamlaka. Mtu kama huyu anaweza kuwa bomu sana katika jumuia ambayo inahitaji utii kwa mamlaka na mshikamano. Wataalam wa Management wanakiri papal system ni mfumo mzuri sana wa mafanikio ya uongozi wa kundi lolote. Matamko yanaonesha kuwa Zitto Kabwe anakosa utii na heshima kwa watu wenye mamlaka katika jamii. Huu ni mtizamo wa kisaikolojia, na unaelekeza afukuzwe kutoka kwenye chama haraka iwezekanavyo.

Mtizamo wa kisiasa unaashiria kuwa katumwa kuleta Chaos katika chama. Nao pia unaelekeza afukuzwe katika chama haraka. Kwa hivyo Zitto Kabwe afukuzwe kutoka Chadema na chama kiendelee na mikakati yake pakiwapo utii na mshikamano miongoni mwa viongozi na wanachama. Hili litatimua vumbi, lakini upo muda wa kutosha kutuliza vumbi hilo. Zitto aondolewe Chadema.





Mwasisi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA Edwin Mtei amemuonya mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe kuacha kutangaza mambo ya Urais sasa kwani anasababisha mpasuko ndani ya CDM na badala yake ajikite kukijenga chama mpaka muda utakapofika ili chama kitoe utaratibu.

Mzee Mtei amesema amemshauri mara kadhaa Zitto umuhimu wa kutulia kama wenzake ndani ya chama na kukijenga chama lakini mbunge huyo amekuwa mkaidi na hasikii.

Pia Mzee Mtei amesema endapo mbunge huyo ataendeleza harakati zake za kutaka umri wa Urais ushuke hadi miaka chini ya 40 ili tu yeye apate nafasi ya kugombea basi atakuwa ni mbinafsi wa kupindukia na mwenye uroho mkubwa wa madaraka.

Akijibu madai hayo ya Mzee Mtei, Zitto Kabwe amemuonya Muasisi huyo wa chama na amewataka wazee ndani ya CHADEMA kuheshimu Demokrasia na kusema anaamini ni yeye atakayeweza kuishinda CCM mwaka 2015 na anataka Mzee Mtei akiwa bado hajafa amshuhudie jinsi atakavyobadili nchi akiwa kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Source: Mwananchi Jumamosi.

My Take:
Nadhani umefika wakati sasa wa Kamati Kuu kutoa mwongozo kuhusu suala hili. Hili suala la kila mtu kujitangaza kugombea Urais sasa linataka kupoteza mwelekeo wa harakati za CHADEMA kujijenga.

Imefika wakati wa M/kiti na Katibu mkuu wa chama kuongoza Kamati kuu kutoa hitimisho la jambo hili. Simaanishi kufukuza watu Hapana! Lakini itangaze muda muafaka wa wanachama kutangaza nia, kwani binafsi naamini DEMOKRASIA BILA NIDHAMU NI FUJO.
 
chama cha demokrasia na maendeleo (chadema)? kiss my feet!

demokrasia ina mautamu na machungu. ina akina zitto shibuda sitta na pia ina kondoo akina mnyika

chama cha kidomokrasia lazima kiheshimu demokrasia za watu binafsi na demokrasia ya chama.

kunyamazisha watu haisaidii kabisa

mbona unakimbia hoja mkuu, jibu hoja kwa hoja.
Sio kwa kejeli, inadhihirisha jinsi mlivyo wepesi.

Hapo ndo cdm inadhihirisha rangi yake halisi kwamba sio cgama cha demokrasia bali cha .....
Mtajaza wenyewe.


Naweza kusema nyie ni mitambo inayozalishwa pale LUMUMBA, tunawajua sana nyie ni wazandiki wanafiki
na wanyanganyi na kamwe hamtofanikiwa, najua kuwa mnapokea madau tofauti tofauti kama Pasco anawezidi dau

Hii kamwe haitawasadia na watanzania kamwe hatutayumba siku itafika tutachukua nchi yetu

Copy to Pasco, Ritz, zomba, Nnauye Jr, chama, Ecoli, OTIS, Kata nyodo, malaria SUgu (RIP), Jenifa, peri,
 
Last edited by a moderator:
Mbio za sakafunia huisihia.................?

Kama w ni mwanaume wa shoka basi hama Chama uone.
 
Mwasisi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA Edwin Mtei amemuonya mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe kuacha kutangaza mambo ya Urais sasa kwani anasababisha mpasuko ndani ya CDM na badala yake ajikite kukijenga chama mpaka muda utakapofika ili chama kitoe utaratibu.

Mzee Mtei amesema amemshauri mara kadhaa Zitto umuhimu wa kutulia kama wenzake ndani ya chama na kukijenga chama lakini mbunge huyo amekuwa mkaidi na hasikii.

Pia Mzee Mtei amesema endapo mbunge huyo ataendeleza harakati zake za kutaka umri wa Urais ushuke hadi miaka chini ya 40 ili tu yeye apate nafasi ya kugombea basi atakuwa ni mbinafsi wa kupindukia na mwenye uroho mkubwa wa madaraka.

Akijibu madai hayo ya Mzee Mtei, Zitto Kabwe amemuonya Muasisi huyo wa chama na amewataka wazee ndani ya CHADEMA kuheshimu Demokrasia na kusema anaamini ni yeye atakayeweza kuishinda CCM mwaka 2015 na anataka Mzee Mtei akiwa bado hajafa amshuhudie jinsi atakavyobadili nchi akiwa kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Source: Mwananchi Jumamosi.

My Take:
Nadhani umefika wakati sasa wa Kamati Kuu kutoa mwongozo kuhusu suala hili. Hili suala la kila mtu kujitangaza kugombea Urais sasa linataka kupoteza mwelekeo wa harakati za CHADEMA kujijenga.

Imefika wakati wa M/kiti na Katibu mkuu wa chama kuongoza Kamati kuu kutoa hitimisho la jambo hili. Simaanishi kufukuza watu Hapana! Lakini itangaze muda muafaka wa wanachama kutangaza nia, kwani binafsi naamini DEMOKRASIA BILA NIDHAMU NI FUJO.

...viva zitto tuko nyuma yako asikuzingue huyo mzee
 
Liwalo na Liwe,
Nami nitagombea Urais kwa CDM mwaka 2015. Wadau naomba mniunge mkono.

Umri wangu ni miaka 31 but natarajia kuishauri tume ya katiba washushe umri wa kugombea mpaka kua 30years.

Ni mimi pekee ndio naeweza kuleta maendeleo ya kweli kwa mtanzania.

CV yangu mtaipata kwa undani nikianza harakati rasmi, hapa natangaza nia tu.
 
jamaa inasemekana anapendwa sana na DHaifu..wanakaa ikulu mpaka saa 9 usiku sijui wanaongea nini...on the other note sielewi uoga wa CDM kumuachia atumie haki yake kidemokrasia kugombea uongozi ndani ya chama..kama hafai si hatopita? panic yote ya nini?
Zito anatetea mafisadi si uliona pale TANESCO, hebu mpe nchi hii ya Tanzania uone kitu atafanya kama hakuuza hata makaburi ya babu yako????Mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo!!!

 
images
images
Quid pro quo......

 
Kumbe Dk Slaa na yeye ni ukoo wa kina MBOWE? mIMI NILIKUWA SIJUI!

Mkuu nakuomba ujaribu kusoma vizuri hoja yangu, usijaribu ku-derail mada. Dk Slaa naye yuko kwenye kundi ambalo koo hiyo linamuona ni expendable, wanamtumia tu kutafuta umaharufu lakini deep down hawana habari naye. Labda nikwambie kitu - kama shemeji yangu huyo angeshinda URAIS mwaka 2005 saa hizi angekuwa amekwisha fanyiwa mbinu za kumuondoa IKULU kwa kisingizio chochote kile kiwe kusingizia ugonjwa au njia mbadala ili wamsimike mtu kutoka ukoo wao, don't underrate resolve na hulka za jamaa hawa, wana mbinu nyingi SANA.
 
Zito anatetea mafisadi si uliona pale TANESCO, hebu mpe nchi hii ya Tanzania uone kitu atafanya kama hakuuza hata makaburi ya babu yako????Mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo!!!


unaweza kuwa na point hapo mkuu, japo tunahitaji kupunguza jazba katika kujadili jambo hili, kwani
hili tatizo ni kubwa. Linaweza hata kuwa na mitizamo miwili: Linaweza likawa na mtizamo wa hisaikolojia, ambao si mzuri sana kwa Mhe. Zitto Kabwe, na Upande wa Kisiasa, ambao pia si mzuri kwa upande wake. Tatizo kubwa zaidi ni kwamba upande wa pili, ambao ni wa kisiasa, una athari kwa Chama pia kwa sababu hatima yake inaelekeza Zitto Kabwe afukuzwe kutoka katika chama haraka ili chama kianze mending damage miaka mitatu kabla ya uchaguzi.

Upande wa Saikolojia ni huu: Mtu mwenye inferiority complex iliyojificha katika nafsi yake--pengine kwa kujihisi anapungukiwa kitu fulani, ambacho kinaweza kuwa kujihisi ana sura mbaya, au impotent, au mapungufu mengine ambayo mtu anakuwa akijihisi kwa siri ya moyo wake, basi watu kama hawa hutafuta kufunika inferiority complex hiyo kwa kujikweza, kujitapa ama kutaka dunia ijue wao ni masihi fulani hivi. Hadi hapa tulipofikia, mimi binafsi naona dalili za Zitto Kabwe katika jitihada za kufunika inferiority complex zaidi kuliko kitu kingine.

Lakini katika matamko ya Kijana huyu, mimi binafsi naona dalili za tabia ya mtoto ambaye kakua bila father figure, na hivyo hana hofu ya mamlaka. Mtu kama huyu anaweza kuwa bomu sana katika jumuia ambayo inahitaji utii kwa mamlaka na mshikamano. Wataalam wa Management wanakiri papal system ni mfumo mzuri sana wa mafanikio ya uongozi wa kundi lolote. Matamko yanaonesha kuwa Zitto Kabwe anakosa utii na heshima kwa watu wenye mamlaka katika jamii. Huu ni mtizamo wa kisaikolojia, na unaelekeza afukuzwe kutoka kwenye chama haraka iwezekanavyo.

Mtizamo wa kisiasa unaashiria kuwa katumwa kuleta Chaos katika chama. Nao pia unaelekeza afukuzwe katika chama haraka. Kwa hivyo Zitto Kabwe afukuzwe kutoka Chadema na chama kiendelee na mikakati yake pakiwapo utii na mshikamano miongoni mwa viongozi na wanachama. Hili litatimua vumbi, lakini upo muda wa kutosha kutuliza vumbi hilo. Zitto aondolewe Chadema.
 
Back
Top Bottom