Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,263
- 685
Leo nimebahati kununua gazeti la mwananchi nimekutana na maneno haya
Zitto Kabwe amemuonya Muasisi huyo wa chama na amewataka wazee ndani ya CHADEMA kuheshimu Demokrasia na kusema anaamini ni yeye atakayeweza kuishinda CCM mwaka 2015 na anataka Mzee Mtei akiwa bado hajafa amshuhudie jinsi atakavyobadili nchi akiwa kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mytake
Naona vita ndo inaanza, je zitto atafanya mapango wa kumuua mzee mtei?
kwanini zitto anamtabilia mzee mtei kifo?
je anajua anakufa lini?
au yeye ndo anafanya mpango wa kumuuwa mzee mtei?
NB:Mod Please msiunganishe hii thread, haya ni maneno mazito toka kwa zitto kwenda kwa mzee mtei
Zitto Kabwe amemuonya Muasisi huyo wa chama na amewataka wazee ndani ya CHADEMA kuheshimu Demokrasia na kusema anaamini ni yeye atakayeweza kuishinda CCM mwaka 2015 na anataka Mzee Mtei akiwa bado hajafa amshuhudie jinsi atakavyobadili nchi akiwa kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mytake
Naona vita ndo inaanza, je zitto atafanya mapango wa kumuua mzee mtei?
kwanini zitto anamtabilia mzee mtei kifo?
je anajua anakufa lini?
au yeye ndo anafanya mpango wa kumuuwa mzee mtei?
NB:Mod Please msiunganishe hii thread, haya ni maneno mazito toka kwa zitto kwenda kwa mzee mtei