Upotoshaji Wikipedia Juu ya Nyerere?

Upotoshaji Wikipedia Juu ya Nyerere?

Wikipedia sio msahafu hata wewe unaweza rekebisha mpaka mistari ikanyooka ila inategemea kama na wewe unajua historia yake
 
Sawa lakini inaonyesha kuwa ingawa umeiondoka CCM lakini hujauondoka Unyerere (hutaki kukubali kuwa alikuwa ni mkosa, zaidi ya kutaka kuonyesha kuwa alikuwa na makosa madogomadogo hapa na pale), kama ningekuwa mimi ni CHADEMA ningekuwa mwangalifu sana na watu wa aina yako.

Tatizo lako na wenzako kibao mnaojifanya kufahamu mapungufu ya Nyerere na kumkosoa kila mkipata nafasi ni kwamba mko highl prejudiced and completely biased kutokana na Uislamu wenu ukilinganisha na imani ya Ukatoliki/Ukristo wa Nyerere.

Hata muandike volumes alfu lela ulela, na mu-dedicate maisha yenu yote kwenye negative campaigns didi ya Nyerere, kamwe hamuwezi kuwa-convince Watu wenye akili zao timamu na waliokwenda shule na waliyo objectively balanced kuhusu ukweli wa mambo.

Tatizo la Waislamu wengi ni kwamba siku zote wako one-sided kupiga makelele dhidi ya perceived "enemies of Islam" at the expense of all laid-out and accepted rules of objectivity and intellectual honesty. Acheni kupotezea watu muda, kwani asilimia kubwa ya Wachangiaji kama wewe mnaompinga Nyerere kwa nguvu zenu zote na kwa kila kitu (kiwe kibaya au kizuri) mnatumia zaidi hisia za kidini.
 
Kwa hiyo Joan Wicken aliyekuwa akilipwa na Waingereza ndiye aliyemshauri Nyerere miaka ya Sitini kuvunja mahusiano ya kibalozi na Uingereza kwa vile Uingereza ilikuwa inamsapoti Ian Smith wa Rhodesia (Zimbabwe)? Kweli tunapenda kutengeneza uongo kuwa ukweli.
...Na kwa vile alikuwa na asili ya KIYAHUDI ndiyo maana alimshauri JKN kuvunja uhusiano na Israel. Good
 
...Na kwa vile alikuwa na asili ya KIYAHUDI ndiyo maana alimshauri JKN kuvunja uhusiano na Israel. Good

sio ajabu kabisa, hata Hitler mama yake alikuwa myahudi na ndio mtu anayeongoza duniani
kwa kuua mayahudi wengi
 
sio ajabu kabisa, hata Hitler mama yake alikuwa myahudi na ndio mtu anayeongoza duniani
kwa kuua mayahudi wengi
Boflo, mbona mnazidi kupotosha ukweli wa mambo...kulikoni? Kwa desturi ya Kiyahudi, mtoto anakuwa wa mama...hivyo kama mamake angekuwa Myahudi, moja kwa moja Adolf Hitler angekuwa Myahudi hata kama Klara Polzl angeolewa na Mdengereko. Hata hivyo ifuatayo ni maelezo mafupi kuhusu Adolf Hitler mtoto wa Klara Alois Hitler.

Adolf Hitler was born on April 20, 1889 to Klara Polzl and Alois Hitler in an Austrian village of Braunau Am Inn and was baptised a Roman Catholic. Of course there were speculations about his paternal Grand mother Maria Anna Schicklgruber who had worked as a cook in a household of a wealthy Jewish family named Frankenberger.

Kuna jasusi moja wa BIO (British Inteligence Office) aliyetunga uwongo huu mwanzoni mwa WW2 katika mwendelezo wa kumpiga vita ya kisaikologia Adolf Hitler. Aligushi kadi ya uanachama wa Hitler kwenye chama cha NAZI kilichoonesha kuwa mama yake alikuwa Myahudi. Hii baadaye ilikuja kugundulika kuwa haikuwa na ukweli wowote.
 
mkuu "wengine" pamoja na mimi tunakuelewa kwenye mambo mengi tu.Na kama nimeshindwa kukuelewa hapa,haina maana kwamba sikuelewi mara zote.
Halafu pia mkuu ni bora tusiache kujibu maswali tunayoulizana.Kwamfano nimekuuliza maswali mengi tu lakini unasisitiza kwamba sikuelewi.Kwamfano umeshindwa kunijibu kwa uhakika kama OIC hiyo "c" ina stand fo cooperation kweli ama ni country?

Kwasababu nilikuamini uliposema vile,ila nina wasiwasi kama ni kweli.Na ndiyo maana inaweza kuniwia tabu kuamini bila uthibitisho kwamba serikali ilikataa kuwarudishia shule.Hayo mambo ni ya mwaka gani mku?una maanisha baada ya uhuru?

Anyways mkuu sihitaji kukuchosha zaidi kujaribu kunielewesha.Tunaweza kuelewana kutokuelewana na tukamove on on some other issues and topics.

Organisation of Islamic Cooperation
 
Nashukuru,sasa kwanini msijiunge nao kama ni cooperation?kwani lazima nchi mkuu?Fuatilieni basi kama ni kweli mko wengi mjiunge.Nashangaa sana hao waarabu hawataki ku cooperate na waislam wenzao hadi wawawekee masharti ya nchi nzima kujiunga?Binafsi sijasoma madhumuni ya hiyo oic,pengine ingesaidia kujuwa ni kwanini hawawezi kuwasaidia waislam wenzao hadi wawaletee matatizo kwenye mataifa yao husika.Sipendi kuwa divided simply kwasababu ya culture za wengine.
 
...Na kwa vile alikuwa na asili ya KIYAHUDI ndiyo maana alimshauri JKN kuvunja uhusiano na Israel. Good
Mkuu! hapo ndipo kwenye umahiri wa Nyerere! aliweza KUWATUMIKIA (sio kuwatumia) Wamagharibi wakiongozwa na Uingereza na Kanisa likiongozwa na Vatican kwa wakati mmoja.
Vatican au Kanisa kwa wakati ule lisingemsamehe kabisa kwa yeye kama Mkatoliki na kiongozi wa nchi kuwa na uhusiano na Israel, hakuvunja uhusiano kwa sababu ya Waislamu bali uadui wa Kanisa Katoliki dhidi ya Jews .....ili unielewe zaidi tafuta Myahudi au soma historia ya Jews in Europe uone jinsi walivyofanziwa na Kanisa Katoliki.
Nzi said:
unataka kusema watanzania wana sauti kubwa katika maamuzi ya taifa hili?
Hivi ndivyo inavyotakikana katika nchi za Kisekula, wananchi wawe na sauti! sauti ambayo Watanzania waliporwa na Nyerere.
Sauti ya wananchi irudishwe wakubaliane kuhusu maovu ya Nyerere,wayazike kama alivyozikwa Nyerere mwenyewe, wasahihishe ndio wasonge mbele.
 
Mtaje mtu mmoja tu aliyepotezwa na Nyerere.

Tulisikia tu watu wanachukuliwa na Usalama wa Taifa. Kwa hofu tuliyokuwanayo wakati ule, HAKUNA aliyethubutu kufuatilia. Ila wenye ndugu zao wanajua. We ulizia, lakini jiandae kuanzisha vilio upya!
 
Hivi ndivyo inavyotakikana katika nchi za Kisekula, wananchi wawe na sauti! sauti ambayo Watanzania waliporwa na Nyerere.
Sauti ya wananchi irudishwe wakubaliane kuhusu maovu ya Nyerere,wayazike kama alivyozikwa Nyerere mwenyewe, wasahihishe ndio wasonge mbele.

Sasa toka Mwalimu amestaafu,mmefanya nini kurudisha sauti hiyo iliyoporwa? Pia,tangu mwaka 1999 Mwalimu hayupo tena,mmefanya nini kurudisha sauti hiyo kwa wananchi?

Chief,hakika,mzimu wa Mwalimu utawatesa mpaka pale mtakapokuwa na nia njema na taifa hili.
 
Nashukuru,sasa kwanini msijiunge nao kama ni cooperation?kwani lazima nchi mkuu?Fuatilieni basi kama ni kweli mko wengi mjiunge.Nashangaa sana hao waarabu hawataki ku cooperate na waislam wenzao hadi wawawekee masharti ya nchi nzima kujiunga?Binafsi sijasoma madhumuni ya hiyo oic,pengine ingesaidia kujuwa ni kwanini hawawezi kuwasaidia waislam wenzao hadi wawaletee matatizo kwenye mataifa yao husika.Sipendi kuwa divided simply kwasababu ya culture za wengine.
JHata ukielezwa kirefu cha neno hilo bado unataka kujua madhumuni yaani maswali yenu hayaishi.. Huu ndio mfumo kristu - bila wewe na wengine kama wewe serikali yetu haiwezi kuipitisha kitu chao japokuwa sisi hatujui maana ya Vatican wala hatutaki kujua misaada yao kwenu hata kama wanamtuma Christopher Columbus mwingine..
 
Nashkuru Mungu nilikuwepo wakati nchi hii bado ipo chini ya Umoja wa Mataifa na inatawaliwa na Malkia wa Uingereza. Nilikuwepo kabla Nyerere hajawa Waziri Mkuu, na kabla hajawa Rais, nimeanza kusoma kabla ya hii nchi kuwa Tanzania, nimeziona neema na matatizo yaliokuwepo kabla ya kupewa madaraka nimeona neema tulizobaki nazo baada ya kupewa madaraka, nimeona jinsi Nyerere alivyo "abuse" madaraka na kuwa dikteta, nimeona jinsi Tanganyika ilivyotolewa kwenye neema na kuwa maskini wa mwisho duniani (mpaka nikaikimbia nchi), nimeona mabadiliko baada ya kuondoka Nyerere, katika uongozi wa Mwinyi, nimeona uongozi wa Nkapa na Nashkuru sasa nauishi uongozi wa Kikwete.

Namshukuru Mungu kuniweka hai na kushuhudia, kula na kunya katika awamu tano za uongozi wa nchi hii: Malkia, Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete.

Wewe umeanza kuwepo na kujijuwa kuwa upo kuanzia awamu ya nani?

Inawezekana wewe ni Mdau wa Wikipedia, au una ukoo na chifu Mangungo wa Msovero
 
Back
Top Bottom