Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,383
- 4,412
zomba hivi hawa watu wanajua nini maana stihizai?? Hawa watu hawasarifiki, na ndio maana naamini kuwaNimekusoma Boflo na niliona ile stihizai uliowafanyia na nikajuwa engi wataingia kichwa nikakaa pembeni natazama unavyowarundika.
Nyelele huwa hawaachi kufanya makosa na kuandika Nyerere lakini hawakosei kuandika Safali na Omali arisema.
hii nchi kuendelea ni ndoto.....na msingi wa matatizo yote tuliyonao chanzo chake ni Baba Msanii wa Taifa, na cha ajabu sasa
ndio wanamuabudu, na asilimia kubwa utakuta wamerithi Usanii na wanaona ndio ujanja!!