mkomatembo
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 1,477
- 819
Hamna shida nieleze nakusikiliza kuhusu hizo ibada.Kama mtu haelewi si unamwelewesha mkuu wangu?orodhesha hizo ibadq ili twende straight to the point instead of beating around the bushes.
Huo mfano wa Vatican nimekuelewa,lakini sina mfano wa jambo kama hilo lilotokea.Kama limetokea si haki kabisa.Lakini nipatie mfano ili nichanganye na zangu.Je una maanisha kwamba serikali ya JK imezuia msaada kwa waislam kwasbabu hauna maslahi/faida na wakristo?
Naomba niingilie huu mjadala MUshi, hebu nikuulize, kwaini wakristo wa tanzania WANAPIGA KELELE SANA SERIKALI KUINGIA OIC? ukinijibu hilo nadhani utapata jibu hapo juu