Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,338
Hivi ni kweli watu hawawezi kutofautisha "l" na "r" au tunataniana hapa?!!
Ni utani tu huo kwa huyu jamaa
Hivi ni kweli watu hawawezi kutofautisha "l" na "r" au tunataniana hapa?!!
Hivi kweli MADIKTETA tunawafahamu?Nyerere alikuwa dikteta.
Duh! Sasa masheikh wamefanya nini ili nao wawe na sauti sasa?
..........
Tulisikia tu watu wanachukuliwa na Usalama wa Taifa. Kwa hofu tuliyokuwanayo wakati ule, HAKUNA aliyethubutu kufuatilia. Ila wenye ndugu zao wanajua. We ulizia, lakini jiandae kuanzisha vilio upya!
Ni Sheikh Mkuu wa BAKWATA yule, ameshajipambanua mwenyewe kutoka kwenye jamii ya Waislamu Tanzania kwa kuwakufurisha wale wote wasioafikiana naye! hahusiani tena na Waislamu au shughuli yoyote ile ya Waislamu wasioafikiana naye.
Na ingawa inauma lakini ukweli wenyewe wanaomtumia wamepata mafanikio kwa kiasi fulani! kweli sasa hivi tunaweza kufungua frontline nyingine ya kupambana na BAKWATA huku tunapambana na Mfumo Kristo? sifikirii!
neno langu kwake ni: Ittaqi llaah!
Unajuwa Malcom X alikuwa akiwagawanya watumwa katika aina mbili (Field Nigger na House Nigger)
Field Niggers: hawa walikuwa wakifanya kazi ngumu za kila siku, wakinyanyaswa, wakidharauliwa katka maisha yao ya kila siku hivyo walikuwa na mwamko na fikra kubwa za kimapinduzi na ukombozi, kundi hili lilitoa viongozi bora wa kupigania maslahi na ukombozi wa Slaves.
House Nigger: huyu alikuwa akila kile Slave Master anachokula (wakati mwingine makombo), akivaa anavyovaa Slave Master n.k kazi zake zilikuwa ni nyepesi nyepesi na yuko karibu na Slave Master, na akitumiwa kuwachunguza Field Niggers.
Field Nigger alikuwa akimpenda Slave Master kiasi cha kuwa siku Master akiumwa atasema tunaumwa!
Hivyo mtu huyu revolution kwake yeye ilikuwa ni kitu ambacho hawezi kukifikiria wala kumuingia akilini! na Field Niggers walikuwa ni kikwazo kikubwa cha ukombozi.
Mufti Simba si kiongozi wa Waislamu wa Tanzania, ndio analo genge lake lakini kuwa yeye ni kiongozi wa Waislamu Tanzania, NO! Tuna taasisi mbalimbali zinazoongozwa na Masheikh mbalimbali.Kwa hiyo unataka kusema waislamu hawana kiongozi wao hapa Tanzania?
Kwa hiyo nyie ndiyo field niggers?! BAKWATA ni house niggers? Slave master ni nani? Serikali ya JMT? Rais wa JMT?
NB: Hapo kwenye bold, natumaini ulimaanisha house nigger.
Unayosikia ni majungu kutoka kwa watu wanaomchukia Nyerere. Mimi nakueleza kuwa nimeishi miaka yote ya urais wa Nyerere na hakuna hata mtu mmoja aliyeuawa au kupotezwa na Nyerere. Mimi nakupa wewe kazi ya kutafuta majina ya watu waliouawa au kupotezwa kwani unaamini kuwa ilitokea.
Unayosikia ni majungu kutoka kwa watu wanaomchukia Nyerere. Mimi nakueleza kuwa nimeishi miaka yote ya urais wa Nyerere na hakuna hata mtu mmoja aliyeuawa au kupotezwa na Nyerere. Mimi nakupa wewe kazi ya kutafuta majina ya watu waliouawa au kupotezwa kwani unaamini kuwa ilitokea.
Kwa hiyo unataka kusema waislamu hawana kiongozi wao hapa Tanzania?
Kwa hiyo nyie ndiyo field niggers?! BAKWATA ni house niggers? Slave master ni nani? Serikali ya JMT? Rais wa JMT?
NB: Hapo kwenye bold, natumaini ulimaanisha house nigger.
Kissim hanga na. Othman sharif hawa aliwahukumu jangwani mbele ya mkutano wa hadhara waliletwa mbele yake wakiwa na pingu
The next day hawakuonekana tena mpaka Leo
Hukumu Yao ulikua pale jangwani
Hawakufikishwa Hata mahakamani
Ni Sawa na hukumu wanazotoa ma Dictator wengine
List ya wengine walopitea inakuja napata chai kidogo
Nyerere yupi unayosema? Makongoro labda lakini sio juliasi
Bakwata ni moja matawi ya Tanu yaliondwa na Nyerere kuwadhibiti waislam wasifurukute
Sasa bakwata imebaki kuwa moja ya jumuia za CCM
Hivyo bakwata ni chombo alicho unda Nyerere na hakieakilishi kauli za Waislam ila kwa vile serikali ya CCM na makanisa ndo wapo nyumba ya bakwata basi ndo wanawasikilza na kuwatumia
Hio ndo dhambi moja ya Nyerere
Amefanya fitna kubwa kwa waislam lengo anajua watagombana so divide and rule kwa Faida ya kanisa
Huyo Mufti wa CCM bakwata Issa Simba Hata sifa ya kuwa mwalimu tu madrassa hafai Leo awe ndo kuongizi wa waislam?
Siku ikiangyka CCM tutaona bakwata itavoporimoka
Hivyo kazi kubwa ya bakwata ni kuwadhibiti na kudidimiza maendeleo ya waislam
Lakini ipo siku mapinduzi yanakuja Tutsi ondoa Bakwata kwa nguvu na kusumika uongozi imara wa waislam
Na hio ndo itakuwa Islam spring yetu Kama unavosikia Arab spring kule arabuni
Lakini hapa itakuwa dhidi ya dubwana Bakwata. Liililo pandikizwa kwa waislam
Kassim Hanga na huyo Shariff waliuawa na Karume. Nakumbuka kabisa Nyerere alisema kuwa kama angejua kuwa Karume angewaua basi asingewapeleka visiwani kwa Karume. Kuanzia hapo ndipo wote waliokuwa wakitakiwa na Karume Nyerere aliwashikilia bara. Mfano mzuri ni akina Abdrurahman Babu.
Nakuomba sana sana usipotoshe ukweli. Kila wakati simamia ukweli na usiwe mvivu wa kutafuta ukweli. Ukweli kuhusu kifo cha Kassim Hanga upo wazi kabisa. Mkutano uliosema ulifanyika pale Mnazi mmoja na siyo Jangwani na baada ya hapo Hanga alipelekwa Zanzibar ambako aliteswa na baadaya kuuawa. Soma kitabu hiki: Race, Revolution, and the Struggle for Human Rights in Zanzibar: The Memoirs ... - G. Thomas Burgess - Google Books
bado bakwata ipo kwa sababu serikali inataka iwepoChief, kwahiyo CCM isipoondoka mtaendelea kudidimizwa kimaendeleo chini ya BAKWATA? Kwanini kama mnaona BAKWATA haiwakilishi maslahi ya waislamu, msianzishe jumuiya zenu? Au zitaonekana batili chini ya CCM?
Chief, unataka kusema kwamba BAKWATA wanafadhiliwa na CCM?
Ingekuwa haiwakilishi maslahi ya waislamu, mbona toka imeundwa mpaka sasa bado ipo?
Kassim Hanga na huyo Shariff waliuawa na Karume. Nakumbuka kabisa Nyerere alisema kuwa kama angejua kuwa Karume angewaua basi asingewapeleka visiwani kwa Karume. Kuanzia hapo ndipo wote waliokuwa wakitakiwa na Karume Nyerere aliwashikilia bara. Mfano mzuri ni akina Abdrurahman Babu.
Nakuomba sana sana usipotoshe ukweli. Kila wakati simamia ukweli na usiwe mvivu wa kutafuta ukweli. Ukweli kuhusu kifo cha Kassim Hanga upo wazi kabisa. Mkutano uliosema ulifanyika pale Mnazi mmoja na siyo Jangwani na baada ya hapo Hanga alipelekwa Zanzibar ambako aliteswa na baadaya kuuawa. Soma kitabu hiki: Race, Revolution, and the Struggle for Human Rights in Zanzibar: The Memoirs ... - G. Thomas Burgess - Google Books
bado bakwata ipo kwa sababu serikali inataka iwepo
hata waislam wakijaribu kuindosha inapata vikwazo
hata tukiunda jumuiya serikali inatambua bakwata tu
itaondoka inshaalah
bakwata iatondoka siku si nyingi
Unayosikia ni majungu kutoka kwa watu wanaomchukia Nyerere. Mimi nakueleza kuwa nimeishi miaka yote ya urais wa Nyerere na hakuna hata mtu mmoja aliyeuawa au kupotezwa na Nyerere. Mimi nakupa wewe kazi ya kutafuta majina ya watu waliouawa au kupotezwa kwani unaamini kuwa ilitokea.