MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 705
Hivi nyie mnakumbuka jinsi Usalama wa Taifa ilivyokuwa inaogopwa wakati wa Nyerere? Kwani kuna binadam gani asiye na kasoro? Kuna watu wengi sana WALIPOTEZWA/WALITOWEKA wakati wa Nyerere na hakuna aliyethubutu kusema kitu! Msiuogope ukweli kwani Historia ndiyo inayohukumu. Tenda utendalo, litaandikwa tu!