Upotoshaji Wikipedia Juu ya Nyerere?

Hivi nyie mnakumbuka jinsi Usalama wa Taifa ilivyokuwa inaogopwa wakati wa Nyerere? Kwani kuna binadam gani asiye na kasoro? Kuna watu wengi sana WALIPOTEZWA/WALITOWEKA wakati wa Nyerere na hakuna aliyethubutu kusema kitu! Msiuogope ukweli kwani Historia ndiyo inayohukumu. Tenda utendalo, litaandikwa tu!
 
Hawamcheki ila wanajaribu kuiandika upya historia ya Tanzania. Hawawezi. Sasa hivi ukijaribu kumgusa fisadi yeyote kwa kumpeleka mahakamani, Mkapa lazima atajwe, tena awe shahidi. Kikwete naye atakapostaafu ukimsimamisha waziri yeyote kwenye awamu yake naye ataitwa kuwa shahidi. Ndivyo wanavyoitafuna nchi hii kwa ushirikiano wa hali ya juu.

Ndio maana halisi ya kuwa kigogo siku hizi....kula na kutapanya halafu kulindana kwa gharama yoyote ile. Wengine wote tunaonekana hatujui tunalofanya mbele ya wajanja hawa wachache wenye hadhi ya kuwa vigogo. Kazi ipo
 
Hivi nyie mnakumbuka jinsi Usalama wa Taifa ilivyokuwa inaogopwa wakati wa Nyerere? Kwani kuna binadam gani asiye na kasoro? Kuna watu wengi sana WALIPOTEZWA/WALITOWEKA wakati wa Nyerere na hakuna aliyethubutu kusema kitu! Msiuogope ukweli kwani Historia ndiyo inayohukumu. Tenda utendalo, litaandikwa tu!

Hizi zama za uwazi na ukweli...wewe sema tu ili dunia ipate kujua hilo na kulifanyia kazi.
 
......[/QUOTE]
Asante kwa link nimejikuta nikiisoma yote kwa jinsi inavyosisimua.
 
Ndio maana halisi ya kuwa kigogo siku hizi....kula na kutapanya halafu kulindana kwa gharama yoyote ile. Wengine wote tunaonekana hatujui tunalofanya mbele ya wajanja hawa wachache wenye hadhi ya kuwa vigogo. Kazi ipo.....

Hata taasisi za serikali kama TAKUKURU na AG/DPP hawaelewani kwa sababu ya ulaji uliokithiri wa VIONGOZI wetu.

TAKUKURU wanachunguza, wakipeleka faili kwa DPP wanaambiwa ushahidi hautoshi kabla hata mahakama haijaliona faili lenyewe! Yana mwisho haya. Yule aliyekuwa Rais wa Misri, Hosni Mubarak, alipelekwa mahakamani akiwa kwenye machela.
 
Chifu Fundikira alikuwa mwakilishi wetu kwenye East African community 1963. Alichukua kazi hiyo baada ya kupoteza uwaziri katika kesi ya kwanza Tanganyika ya kupokea rushwa.......

Thank you Sir, I agree. Nimekisoma kitabu hiki: Julius Nyerere and the Establishment of Sovereignty in Tanganyika by Paul K. Bjerk kinaelezea kwa undani sana habari za Christopher Kassanga Tumbo na mapambano ya Nyerere na Trade unions, racism (watu waliwakataa akina Jama na Bryceson kuwa kwenye TANU), nk. Unaweza kukipata kwenye eBook Julius Nyerere and the Establishment of Sovereignty in Tanganyika - Paul K. Bjerk - Google Books
 
Hivi nyie mnakumbuka jinsi Usalama wa Taifa ilivyokuwa inaogopwa wakati wa Nyerere? Kwani kuna binadam gani asiye na kasoro? Kuna watu wengi sana WALIPOTEZWA/WALITOWEKA wakati wa Nyerere na hakuna aliyethubutu kusema kitu! Msiuogope ukweli kwani Historia ndiyo inayohukumu. Tenda utendalo, litaandikwa tu!


Mtaje mtu mmoja tu aliyepotezwa na Nyerere.
 
Thank you Sir, I agree. Nimekisoma kitabu hiki: Julius Nyerere and the Establishment of Sovereignty in Tanganyika by Paul K. Bjerk kinaelezea kwa undani sana habari za Christopher Kassanga Tumbo na mapambano ya Nyerere na Trade unions, racism (watu waliwakataa akina Jama na Bryceson kuwa kwenye TANU), nk. Unaweza kukipata kwenye eBook Julius Nyerere and the Establishment of Sovereignty in Tanganyika - Paul K. Bjerk - Google Books
KVM,
Ahsante sana. Muda mfupi baada ya kupewa Uhuru wetu Mwalimu alipata taabu sana kuwaunganisha WATANGANYIKA:
-Kuna ambao walitaka tuendelee na Majimbo na kwa maana hiyo ukabila/uchifu;
-Kuna ambao walitaka DINI zipewe umuhimu wa aina yake;
-Kuna ambao hawakuwataka Wazungu, Wahindi, kwenye TANU na serikalini;
-Kuna ambao walitaka kuanza kuitafuna NCHI mara moja;
-Kuna ambao walitaka vyama vya SIASA vyenye UDINI ndani yake.
Wote hawa kwa nyakati tofauti waligeuka wakawa maadui wakubwa wa Mwalimu kuliko hata MKOLONI. Chuki hizi ziliendelea hadi lile jaribio la mapinduzi la mwaka 1964 likatokea. Baada ya AZIMIO la ARUSHA na MIIKO ya UONGOZI maadui wa Mwalimu wakaongezeka zaidi. Jaribio la mapinduzi likawepo tena la akina Chipaka, Kambona, Bibi Titi Mohamed,...Majaribio yote haya Mwalimu hakumnyonga mtu. Chuki ziliendelea kuwepo hadi leo kwa wajukuu wengine walioko humu JF. Hawatamsamehe Mwalimu kwa kosa ambalo kimsingi halipo.
 
Wikipedia hii itakua imeandikwa na wale makaburu wa South Africa. Walikua hawampendi Nyerere kwa msimamo wake. Huu wote ni upumbavu. Nyerere alikua dictator ndio, lakini hajawahi kufanya mambo hayo.
 
hahaha! here we go again! waumini wa nyerere waanaodhani nyerere alikuwa malaika watamwaga povu hadi basi..!
 
Wikipedia hii itakua imeandikwa na wale makaburu wa South Africa. Walikua hawampendi Nyerere kwa msimamo wake. Huu wote ni upumbavu. Nyerere alikua dictator ndio, lakini hajawahi kufanya mambo hayo.

To the contrary, the South African Boers respect and admired Nyerere's brilliance although he was against them. They used to call him an "An Evil Genius".
 
KVM,
Ahsante sana. Muda mfupi baada ya kupewa Uhuru wetu Mwalimu alipata taabu sana kuwaunganisha WATANGANYIKA:
-Kuna ambao walitaka tuendelee na Majimbo na kwa maana hiyo ukabila/uchifu;
-Kuna ambao walitaka DINI zipewe umuhimu wa aina yake;
-Kuna ambao hawakuwataka Wazungu, Wahindi, kwenye TANU na serikalini;
-Kuna ambao walitaka kuanza kuitafuna NCHI mara moja;
-Kuna ambao walitaka vyama vya SIASA vyenye UDINI ndani yake.
Wote hawa kwa nyakati tofauti waligeuka wakawa maadui wakubwa wa Mwalimu kuliko hata MKOLONI. Chuki hizi ziliendelea hadi lile jaribio la mapinduzi la mwaka 1964 likatokea. Baada ya AZIMIO la ARUSHA na MIIKO ya UONGOZI maadui wa Mwalimu wakaongezeka zaidi. Jaribio la mapinduzi likawepo tena la akina Chipaka, Kambona, Bibi Titi Mohamed,...Majaribio yote haya Mwalimu hakumnyonga mtu. Chuki ziliendelea kuwepo hadi leo kwa wajukuu wengine walioko humu JF. Hawatamsamehe Mwalimu kwa kosa ambalo kimsingi halipo.
Na tukichukua kitu kimoja tu ambapo Nyerere alifanikiwa sana, na hili haliwezi kusutwa na akina Njiwa, Sadeeq, na Zomba, ni kutuunganisha sisi wote na kuthamini Utanzania wetu. Ndugu zetu wa Kenya mpaka yale mauaji ya 2007, walikuwa hawajitambui kuwa ni Wakenya, ila Waluhya, Wajaluo, Wakikuyu, Wakamba, etc. etc. Na ukiangalia Afrika ya miaka 60 na 70, huo si ufanisi wa kubezwa hata kidogo. Alituwekea msingi ambao leo hata m' k were anaweza kukubalika kwa wapiga kura wa Nyegezi bila kutumia siasa za makabila kama ilivyo katika nchi jirani.
 
Na tukichukua kitu kimoja tu ambapo Nyerere alifanikiwa sana, na hili haliwezi kusutwa na akina Njiwa, Sadeeq, na Zomba, ni kutuunganisha sisi wote na kuthamini Utanzania wetu. Ndugu zetu wa Kenya mpaka yale mauaji ya 2007, walikuwa hawajitambui kuwa ni Wakenya, ila Waluhya, Wajaluo, Wakikuyu, Wakamba, etc. etc. Na ukiangalia Afrika ya miaka 60 na 70, huo si ufanisi wa kubezwa hata kidogo. Alituwekea msingi ambao leo hata m' k were anaweza kukubalika kwa wapiga kura wa Nyegezi bila kutumia siasa za makabila kama ilivyo katika nchi jirani.
Halo umenena. Asante.
 
ukweli unauma.....

Nyelele arikuwa mtu mzuli sana, wakati wa Nyelele aliimalisha sana hari ya watu wake kierimu na rishe bola, vyakura kama mahalage

mchere, sukali, virikuwa vikipatikana kira kona ya Jamhuli ya Tanzania

Mzee, hizo R na L hujazitendea haki kabisa.
 
Kulikuwa na Mchakato ulioanzishwa na Diocese ya Catholic ya Musoma mwaka wa 2006 kumfanya Julius Kambarage Nyerere kuwa "Mwenye Heri" ili baadae aweze kuwa "Saint"!!!!!!!!! Hata Cardinal Polycarp Pengo alishiriki katika misa huko Musoma mwanzo wa uchambuzi huo.

Hizi juhudi zimeishia wapi? Nakumbuka Mzee Edwin Mtei akinionyesha makala aliyomwandikia Cardinal Pengo akieleza kushangazwa kwake Nyerere kuwa "mtakatifu". Je juhudi hizi zinaendelea?

Wikipedia wanaweza labda kujibu.
 
Ni juzi tu Masheikh walilalamikia TBC kwa kutumia Wikipedia, cha ajabu leo wamesahau hilo na wana-support habari za kutoka Wikipedia...:hat:
 
Back
Top Bottom