kitabu ndio nini? ukweli utabaki nyerere alimkamata tena bila ya ushahidi wa kosa...akamsulubu uwanjani mbele ya umati wa watu na alimpeleka znz akamalizwe.....
kusema anajuta kuwapeleka ...ni mbinu ya kujitakasa
na kuhusu kina babu..story yake nyengine....lakini siri wanayo salim ahmed na kina babu..kama hujui kumbuka wakati mrema alimchagua babu kuwa mgombea mwenza? nyerere akajisahau akasema na huyu babu amemuhusika na mauaji ya karume hawezi kugombea..
unakumbuka babu alimjibu nini nyerere? alimwambia funika kombe mwanaharamu apite....unajua siri ta haya maneneo?
maana yake siri ya kifo cha karume anaijua nyerere ..
Unachokifanya wewe ni kulazimisha kile unachokisimamia wewe kiwe ni ukweli iweje iweje wengine wote ni wazushi. Ndiyo maana nimekuomba usimamie ukweli tu.
Kuhusu msemo funika kombe mwanaharamu apite unaweza kuwa na maana nyingi. Mojawapo inaweza kuwa ndiyo nilihusika lakini siulisema sikusika? Kwani aliyemkataa SAS kuwa Rais alikuwa Nyerere au Afro-Shirazi? Unakumbuka ilibidi SAS atafute jimbo la ubunge bara?