mimwenyewe ni nyerere damu namtaka mzalendo aliyezaliwa ikulu isiyo ya mafisadi
Bila kupepesa macho..hapo ni Kigoma mwisho wa reli...Makongoro amebeba yote na hata sifa 13 za Mwanaccm zinatosha kwake...mengineyo ni kelele...na usanii mitaani.Ni dhahiri sasa wanaccm na watanzania wameanza kuumiza vichwa juu ya nani hasa anaweza kupeperusha bendera ya ccm kati ya wawili hawa kwa ukizingatia yafuatayo:
1 Uzoefu wa kisiasa
2 Kujulikana na wananchi
3 Uzoefu Kimataifa
4 VITA DHIDI YA MAFISADI
5 Kusikilizwa na kuheshimiwa na jamii iliyokosa ustaarabu.
6 Uwenyekiti wa CCM
7 Kukubalika na baadhi ya Ukawa
8 Fitina na hekaheka za kisiasa
9 Shutuma dhidi ya mfumo uliopo
10 Heshima ya Wazee wetu waasis wa Taifa.
kwangu mimi Makongoro atamzidi Ramadhan.
Vigezo anavimudu na tunajua uwezi kupata mia kwa mia darasani mtihani Mwalimu utunga pekee yake hivyo ukipewa sana 95% hivyo si mbaya kupata maksi hizo.meningitis hivyo ni vigezo vya cc ya ccm?
MAKO ndio mwenye haiba ya kupambana na mafisadi pamoja na wehu wa kizazi hiki.
Hujaamua etiMimi kama CCM watamsimamisha Makongoro nyerere nitawapa kura kinyume na hapo...UKAWA wana kura yangu.
OVER
Huyo mako hawezi kupewa,yeye asingekuwa mnywa gongo na viroba na kuropoka hovyo kwa sababu anakuwa na ulevi muda wote wangeweza kumpa.sasa kama ametamka wazi vibaka ndani ya ccm atawashughulikia nani atapona.maana ataanza na nkapa hadi kikwete kwa kuwa wao si vibaka tu bali mabaka.so keshaharibu,pia atalipa kisasi kwa walomuua baba yake.
meningitis hivyo ni vigezo vya cc ya ccm?
Huyo mako hawezi kupewa,yeye asingekuwa mnywa gongo na viroba na kuropoka hovyo kwa sababu anakuwa na ulevi muda wote wangeweza kumpa.sasa kama ametamka wazi vibaka ndani ya ccm atawashughulikia nani atapona.maana ataanza na nkapa hadi kikwete kwa kuwa wao si vibaka tu bali mabaka.so keshaharibu,pia atalipa kisasi kwa walomuua baba yake.
MAKONGORO Amiri Jeshi mkuu mtarajiwa.
Hizi habari mlalo
Jaji has never been to politics kabisaaa
Jaji is completely new to wananchi
Jaji cannot bit ukawa under free and fair election
Jaji cannot bring the envisaged changes to ccm and the government at large - so expect business as usual from his leadership
If ccm really wants to win under free and fair election, then the right candidate is Makongoro Nyerere, it is much easier and cheaper to sell the guy than the rest of the candidates
We have talked much about edo, so have no further comments than saying NO TO FISADI
Jaji yuko vema tena sana. Mako anamzidi Jaji kwa KISHINDO, NGUVU NA MAMLAKA. Jaji kuna hali ya kupooza kusikoendana na kasi na kishindo cha Siasa za enzi hii.
Hakuna shaka .. Mako atapeperusha.