Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,816
- 33,488
Mkuu wame anza kukata majina?Maelezo yako yanaonyesha jk anamtaka JajiAugustino Ramadhani.hebu ni juze vizuri naona unanyeti za jikoni
ndo maana AR alipo tangaza nia tu riz 1 alitangaza mapema sana kwenye page yake ya twitter.JK anamtosa mdogo wake membe hv hv