The Prezident
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 459
- 176
Sijawahi Kupiga Kura nina miaka 76.
Nyerere Junior ... Nampa Kura bila kupepesuka.
Nyerere Junior ... Nampa Kura bila kupepesuka.
Makongoro is the next president, full stop.
Vita ya kugombea urais vimechukua sura mpya ndani ya genge la vibaka, majambazi liitwalo ccm, ambapo wale ma Godfather wa Lumumba waliokuwa wamemulika Makongoro pekee sasa atalazimika kuwashawishi kwa nguvu ya ziada nje ya "unyerere" na u battle kwa Lowasa ili ahalalishwe katika vikao vilivyoanza tangu jana jijini Dar.
Hii inafuatia uamzi wa ghafla dakika za mwisho wa Jaji Ramadhani wiki juzi baada ya kikao kizito kati yake na Jakaya Kikwete mjini Pretoria Afrika Kusini.
Sasa vita yaupande mmoja ni Makongoro na Jaji huku wakitegemea panga la ma godfather kumzima Lowasa ambae amaapa kufika ikulu hata akiwa kwenye jeneza.
Mapambano hayo kisayansi yanampa mlango wa nyuma Lowasa kwani Ma godfather hawa wanachembe za kugawanyika ama kumpa nguvu Jaji, ingawa Jaji anakumbana na upinzani toka kwa mkewe jijini Arusha ambae anaamini mumewe katika utakatifu wa kiroho na kimwili chini ya uvuli wa lumumba atageuzwa kuwa fubaa na atauawa, uoga wake unafanana kabisa na ule wa Bi Alma mke wa Waziri wa zamani wa Mashauri ya Kigeni Collins L. Powell alipoonekana kuhitajiwa na Republican kuwa rais badala ya George W. Bush. Pia Jaji anakumbana na upinzani toka kwa majaji nchini, na zaidi Tume ya Jaji warioba pia wamemwambia ataaibishwa akibebwa ataanguka
Maamuzi ya kikao kitakachomalizika kesho alfajiri ndio yatakayompata rais wa CCM na baada ya hapo wiki ijayo 13/07/2015 tathibitishwa kwa geresha ya kile kiitwacho kura za maoni za wajumbe wa cc na mkutano mkuu.
Japokua mimi ni mwanasheria...kwkaweli Mh.Judge hapana aiseeeeee..siasa is too way far above his lane...
Jaji has never been to politics kabisaaa
Jaji is completely new to wananchi
Jaji cannot bit ukawa under free and fair election
Jaji cannot bring the envisaged changes to ccm and the government at large - so expect business as usual from his leadership
If ccm really wants to win under free and fair election, then the right candidate is Makongoro Nyerere, it is much easier and cheaper to sell the guy than the rest of the candidates
We have talked much about edo, so have no further comments than saying NO TO FISADI
Wakuu hii ni lugha gani? Elimu ya bongo kweli ipo kabulini.Fisadi is you and clan. You sound arrogant but completely discouraged over. Nobody will ever measure up with Lowassa in CCM
Jaji has never been to politics kabisaaa
Jaji is completely new to wananchi
Jaji cannot bit ukawa under free and fair election
Jaji cannot bring the envisaged changes to ccm and the government at large - so expect business as usual from his leadership
If ccm really wants to win under free and fair election, then the right candidate is Makongoro Nyerere, it is much easier and cheaper to sell the guy than the rest of the candidates
We have talked much about edo, so have no further comments than saying NO TO FISADI
Wewe hili ndani ya nafsi yako..unalijua kabisa kuwa Mzee yule kiroho ni hekalu la Mungu huku ataumia na mlango aliochagua akisha umia Uzee wake utakuwa hauna maana kabisa.Manake kusimama na hawa Mafisadi bila kutoka KOO nzito itakuwa nihadidthi kwake na kwenye UKAWA wakina Tindu Lissu watamchana chana vipande kiasi kuwa akiludi kwenye membali za kiroho kila akishika Altale nafsi itakuwa inamwambia toka toka...tyari unavysema atakuwa amepoteza roho ya wito kwa mambo ya kidunia ambayo alikuwa amekwisha tumika kwayo miaka yake mingi ya ujana na mpaka uzee toshelezi.Vita ya kugombea urais vimechukua sura mpya ndani ya genge la vibaka, majambazi liitwalo ccm, ambapo wale ma Godfather wa Lumumba waliokuwa wamemulika Makongoro pekee sasa atalazimika kuwashawishi kwa nguvu ya ziada nje ya "unyerere" na u battle kwa Lowasa ili ahalalishwe katika vikao vilivyoanza tangu jana jijini Dar.
Hii inafuatia uamzi wa ghafla dakika za mwisho wa Jaji Ramadhani wiki juzi baada ya kikao kizito kati yake na Jakaya Kikwete mjini Pretoria Afrika Kusini.
Sasa vita yaupande mmoja ni Makongoro na Jaji huku wakitegemea panga la ma godfather kumzima Lowasa ambae amaapa kufika ikulu hata akiwa kwenye jeneza.
Mapambano hayo kisayansi yanampa mlango wa nyuma Lowasa kwani Ma godfather hawa wanachembe za kugawanyika ama kumpa nguvu Jaji, ingawa Jaji anakumbana na upinzani toka kwa mkewe jijini Arusha ambae anaamini mumewe katika utakatifu wa kiroho na kimwili chini ya uvuli wa lumumba atageuzwa kuwa fubaa na atauawa, uoga wake unafanana kabisa na ule wa Bi Alma mke wa Waziri wa zamani wa Mashauri ya Kigeni Collins L. Powell alipoonekana kuhitajiwa na Republican kuwa rais badala ya George W. Bush. Pia Jaji anakumbana na upinzani toka kwa majaji nchini, na zaidi Tume ya Jaji warioba pia wamemwambia ataaibishwa akibebwa ataanguka
Maamuzi ya kikao kitakachomalizika kesho alfajiri ndio yatakayompata rais wa CCM na baada ya hapo wiki ijayo 13/07/2015 tathibitishwa kwa geresha ya kile kiitwacho kura za maoni za wajumbe wa cc na mkutano mkuu.
Kwikwikwi, hivo nyie mmekula maharage ya wapi ninyi?I would like to issue with your first sentence, there is but one issue that seems to have escaped your attention, human being is a political being. Therefore it is necessarily that you practice politics in order to qualify as a politician. Its something far beyond, its natural and inborn.
Kumbe ndo maana Liz 1 alishangilia sana jaji alipochukua fomu, nahisi dingi alimtaarifu kwamba jamaa kaingia king ili waendelee kutawala kupitia mlango wa nyuma! So why undumila kuwili? Coz naona mshua anawageuka tena hao wazee!
mnataka kusema magufuli,sitta na mwakwembe wote hao wameonekana hawafai wala hawawezi kulingana na makongoro au huyo jaji au lowasa?
I would like to issue with your first sentence, there is but one issue that seems to have escaped your attention, human being is a political being. Therefore it is necessarily that you practice politics in order to qualify as a politician. Its something far beyond, its natural and inborn.
Mwingine huyu, sijui lugha gani hii
Najua kwa nini!Sijawahi Kupiga Kura nina miaka 76.
Nyerere Junior ... Nampa Kura bila kupepesuka.
Mimi kama CCM watamsimamisha Makongoro nyerere nitawapa kura kinyume na hapo...UKAWA wana kura yangu.
OVER
Can you sell Makongoro and ignore Magufuli? Are you serious ???