Upepo wageuka: Sasa ni Jaji Ramadhani, Makongoro vs Lowassa

Upepo wageuka: Sasa ni Jaji Ramadhani, Makongoro vs Lowassa

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,026
Reaction score
20,511
Vita ya kugombea urais vimechukua sura mpya ndani ya genge la vibaka, majambazi liitwalo ccm, ambapo wale ma Godfather wa Lumumba waliokuwa wamemulika Makongoro pekee sasa atalazimika kuwashawishi kwa nguvu ya ziada nje ya "unyerere" na u battle kwa Lowasa ili ahalalishwe katika vikao vilivyoanza tangu jana jijini Dar.

Hii inafuatia uamzi wa ghafla dakika za mwisho wa Jaji Ramadhani wiki juzi baada ya kikao kizito kati yake na Jakaya Kikwete mjini Pretoria Afrika Kusini.

Sasa vita yaupande mmoja ni Makongoro na Jaji huku wakitegemea panga la ma godfather kumzima Lowasa ambae amaapa kufika ikulu hata akiwa kwenye jeneza.

Mapambano hayo kisayansi yanampa mlango wa nyuma Lowasa kwani Ma godfather hawa wanachembe za kugawanyika ama kumpa nguvu Jaji, ingawa Jaji anakumbana na upinzani toka kwa mkewe jijini Arusha ambae anaamini mumewe katika utakatifu wa kiroho na kimwili chini ya uvuli wa lumumba atageuzwa kuwa fubaa na atauawa, uoga wake unafanana kabisa na ule wa Bi Alma mke wa Waziri wa zamani wa Mashauri ya Kigeni Collins L. Powell alipoonekana kuhitajiwa na Republican kuwa rais badala ya George W. Bush. Pia Jaji anakumbana na upinzani toka kwa majaji nchini, na zaidi Tume ya Jaji warioba pia wamemwambia ataaibishwa akibebwa ataanguka

Maamuzi ya kikao kitakachomalizika kesho alfajiri ndio yatakayompata rais wa CCM na baada ya hapo wiki ijayo 13/07/2015 tathibitishwa kwa geresha ya kile kiitwacho kura za maoni za wajumbe wa cc na mkutano mkuu.
 
Mkuu wame anza kukata majina?Maelezo yako yanaonyesha jk anamtaka JajiAugustino Ramadhani.hebu ni juze vizuri naona unanyeti za jikoni
 
Jaji has never been to politics kabisaaa
Jaji is completely new to wananchi
Jaji cannot bit ukawa under free and fair election
Jaji cannot bring the envisaged changes to ccm and the government at large - so expect business as usual from his leadership

If ccm really wants to win under free and fair election, then the right candidate is Makongoro Nyerere, it is much easier and cheaper to sell the guy than the rest of the candidates

We have talked much about edo, so have no further comments than saying NO TO FISADI
 
Mtu pekee atakaye punguza kura za UKAWA ni profesa Mwandosya
 
Mimi kama CCM watamsimamisha Makongoro nyerere nitawapa kura kinyume na hapo...UKAWA wana kura yangu.
OVER

Mimi pia msimamo wangu kama wako mkuu. Na kusema kweli bila kumsimamisha Makongoro watapata upinzani mkubwa sana toka kwa Ukawa, na kama uchaguzi utakuwa huru na haki hakika watapoteza dola
 
Jaji has never been to politics kabisaaa
Jaji is completely new to wananchi
Jaji cannot bit ukawa under free and fair election
Jaji cannot bring the envisaged changes to ccm and the government at large - so expect business as usual from his leadership

If ccm really wants to win under free and fair election, then the right candidate is Makongoro Nyerere, it is much easier and cheaper to sell the guy than the rest of the candidates

We have talked much about edo, so have no further comments than saying NO TO FISADI

I concur with u. As the nation we want to go further not backward.
 
Jaji has never been to politics kabisaaa
Jaji is completely new to wananchi
Jaji cannot bit ukawa under free and fair election
Jaji cannot bring the envisaged changes to ccm and the government at large - so expect business as usual from his leadership

If ccm really wants to win under free and fair election, then the right candidate is Makongoro Nyerere, it is much easier and cheaper to sell the guy than the rest of the candidates

We have talked much about edo, so have no further comments than saying NO TO FISADI

Fisadi is you and clan. You sound arrogant but completely discouraged over. Nobody will ever measure up with Lowassa in CCM
 
CCM siyo genge la SACCOSS kama unavyoamini, hizi tabiritabiri za mganga wa kienyeji unajichosha bure.
 
Mkuu wame anza kukata majina?Maelezo yako yanaonyesha jk anamtaka JajiAugustino Ramadhani.hebu ni juze vizuri naona unanyeti za jikoni
Yeriko ana msongo wa mawazo, jana nikimuona mitandaoni akisema anataka Mungu Mwafrika na biblia ya kiafrika, kama siyo kuchanganyikiwa ni nini
 
Mimi pia msimamo wangu kama wako mkuu. Na kusema kweli bila kumsimamisha Makongoro watapata upinzani mkubwa sana toka kwa Ukawa, na kama uchaguzi utakuwa huru na haki hakika watapoteza dola
Kura za vyama vyote vinavyounda UKAWA hazifikii hata robotatu ya kura watakazopata CCM.
 
MAKO ndio mwenye haiba ya kupambana na mafisadi pamoja na wehu wa kizazi hiki.
Wako wengi tu siyo Makongoro pekee, hivi UKAWA mna nani? Au bado mna ndoto na babu yenu Slaa? Kishajichokea yule.
 
Jogoo lishawika LA magogoni nani apewe kura za ndiyo..oktoba oktoba tuwanyoe majoka ya mdimu
 
CCM siyo genge la SACCOSS kama unavyoamini, hizi tabiritabiri za mganga wa kienyeji unajichosha bure.
Umekwama kama unamtegemea manvi, mende, na tyson imekura kwako, hapo unafuata inzi ule yatoko*(0713)**
 
Mamvi hapo lazima aanze kujiandaa kisakolojia mapema
 
Nawashangaa nyie Vimeta, mtapigwa na Butwaa Stephen Wasira atakavyowaacha mbali hao wasindikizaji.
 
Kura za vyama vyote vinavyounda UKAWA hazifikii hata robotatu ya kura watakazopata CCM.

Unaassume wanaccm wote watapigia mgombea wa ccm, na vipi kuhusu wale wasio na chama?
 
Back
Top Bottom