mm nadhani yawezekana huo mtambo waliokua wakiutumia kuzimia simu fake pia na wenyewe ni fake maana sioni impact yakeNimejaribu simu yangu fake hapa naona bado inafanya kazi na network inasoma kama kawaiada
Nawasiwasi na vitisho vya TCRA, inaonekana hawakukagua vizuri mitambo yao
Hii simu ni fake kweli na ninajua, hata nikitest kwa 15090 wananiambia ni fake.
MREJESHO
Leo tarehe 17 June 2016 simu yangu bado inashika network. Nimejaribu kupiga simu inafanya kazi vizuri kabisa.
Wengine tupeni mrejesho maana mimi huku nimesha anza kusherekea.
Teh teh teh, kichwa maji mimi au wewe!!!Wewe kichwa maji upo??
Ndg yangu mshana hatuonani, nilikuja msata ukawa hupatikani kwa cm, u hali gn Ndg yanguHapa ni sahihi Kabisa
Mkuu na mimi nilipenda kujua hapo kwenye nyota ila nimegundua herufi mbili za mwisho kua ni aeMkuu hapo kwenye nyota nyota kulikuwa na neno gani?
HaaaaaaKuna jamaa alikuwa anauza simu kama tano hivi 1000tsh kila moja bora ningezinunua![]()
![]()
![]()
sa hivi ungefanyaje businessmimi wemenitumia meseji kwamba wameshindwa kuizima..wananiomba niizime mwenyewe..

Alijua inazimwa.... Ila haikuzimwa na hauzi tenaHaaaaaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
sa hivi ungefanyaje business
Kwa wale ambao wana simu fake na bado zinafanyakazi tafadhari waziwasilishe kwa wazimaji haraka sana iwezekanavyo.
