chipolopolo 2
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 3,292
- 1,841
MIE YANGU IMEZIMWA JAMANI!
Pole sana yaelekea yako ilikuwa ndo cm feki kuliko zote hapa tz
MIE YANGU IMEZIMWA JAMANI!
Mkuu hapo kwenye nyota nyota kulikuwa na neno gani?Sasa naanza kuelewa nape alivyosema tz akuna wataalamu wa IT ndo tatizo wenye uwezo wako bench ****** watt wa vigogo kazi za kupeana wako mzigoni nw wanaushangaa mtambo kumbe ata kuuona usikute awajawai
hakika! inaandika No Service!Sema kweli mkuu!
Kuwa na subra tuu mkuu.Wazee mbona yangu bado haizimi, nasikia wanasema hadi tar 30 ni kweli?

Ila nashangaa hawajanipa tuzo!Pole sana yaelekea yako ilikuwa ndo cm feki kuliko zote hapa tz
Ama kweli jamaa hawatanii.hakika! inaandika No Service!
Inawezekana unaongea masihara mkuu, lakini nikuhakikishie kwamba, simu yangu haina IMEI totally. Ni Sony Experia (double lines).Mimi simu yangu haina imei kabisaaa na bado ipo hewani kama kawaida.
Labda sikuelewa walituomba tuzime wenyewe!!!
Mgao unaanzia temekeMgao umeanzia wapi mkuu kwa mida ya saa sita?
Utaishia NJIROMgao unaanzia temeke
ccm UVCCM ndio watakuwa wameumia maana walipewa simu za mchina ili watumie jf na kwingineko.tumchek lizabon FaizaFoxy na tata madiba kama wako heawani.View attachment 357206 mimi yangu washafanikiwa tayari jamani kuizima.
...hahahahaha..nani kwanza mwenye huo uthubutu wa kuzima simu feki wakati mademu zao hadi michepuko yote feki kuanzia nywele hadi ngozi!Hii kazi wangepewa tanesco ingekuwa imekamilika tokea mwaka Jana.
Umenivunja mbavu aisee. Watu mnavituko!!!!!Hawa jamaa wakikosa kidogo tu wanaweza wakazima simu zote, fake na original na wakashindwa ku retrieve from dustbin. Kesho nchi zima kukawa hakuna simu yo yote inayofanya kazi.
Tuombe Mungu wataalamu wetu wasije kukosea wakazima hata ATM zetu!
Ila nashangaa hawajanipa tuzo!