Rutayuga91
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 449
- 250
haaaaa.. ila haitoi sauti kama hiyo ya kwako, pia inaandika kwa herufi ndogo kama genuine phones![]()
🙂 Hongera 🙂!!
haaaaa.. ila haitoi sauti kama hiyo ya kwako, pia inaandika kwa herufi ndogo kama genuine phones![]()
Haijazima. So sijaiflash bado.Amekubali?
Haina nomaToa betri isije ikamlipukia mtoto
Mkuu umeingia kitandani saa ngapi? Huo uandishi wa saa ni mgeni hapa nchini.Mpaka naingia kitandani ni saa 7. 120
Bila shaka yako itakuwa imezimwa, tupe mrejesho pia mkuuwakuuu tunaomba mrejesho kwa waliofanikiwa kuzimiwa simu na TCRA watuambie nini hasa kimetokea baada ya kuzimwa
Ikiwa mtu anatumia simu fa ke, kuna uwezekano mkubwa wa kutomiliki pc, so ni vigumu kuleta mrejesho, vinginevyo tusubiri ubuyu toka kwa wapambe, wataripoti kwa niaba yaowakuuu tunaomba mrejesho kwa waliofanikiwa kuzimiwa simu na TCRA watuambie nini hasa kimetokea baada ya kuzimwa
Kwani na yako ni feki mkuu!?... mh, just joking...Yangu haijazimwa mpaka sasa