Updates zoezi la kuzima simu bandia

Updates zoezi la kuzima simu bandia

Hahahahahaha. utazimaje simu fake wakati mtandao wenyewe wakuzimia simu ni feki, hata yule mtu wa kuzima naye ni feki na anamiliki simu kubwaaaaaa la kichina ambalo ni feki, mkewe na michepuko yake yote inatumia simu feki kwakubana matumizi, mama yake kule kijijini Sigimbi anatumia simu feki. wakajipange tena. tetetete
 
Daaa wadau hadi asubuhi ya leo simu zangu mbili zilikuwa hewani ,nilipozima tu na kuwasha nimekuta emergency.Wenye feki msizime ,mkizima naomba mrejesho
 
ah!! mbona sielewi?.. simu yangu moja inaandika ''INSERT SIM'' itakuwa line imekaa vibaya hii, ngoja niweke vizur!!

BANGO
 
hawa jamaa makatili sana eti wamezima kweli dah! r.i.p my iphone
 
Back
Top Bottom