Hahhahahaaaa nshapajua tayari si ni ile njia ya kwenda magindu?Tuonane kwanza mkuu usijeenda weka tunguli sako huko nikose wapangaji
Zote bado zinadunda mzeeMimi simu yangu isiyo na IMEI kabisa bado inadunda na kushika mtandao kama kawaida hadi hii mida 00:07. Vipi wewe imepoteza network ya kwako?
Jamaaani, we kibokoooHahhahahaaaa nshapajua tayari si ni ile njia ya kwenda magindu?
Hilo ni wazo jemaTCRA wametuomba tuzime wenyewe. Ukiona simu yako feki izime na kaitumbukize kwenye maji.
Ah wapi hakuna iliyozima mzee labda uwe mkoa mwingine sio TZkuna ambazo zimezima
itakuwa zoezi bado linaendelea
Ni kweli inashika ila kwa laini ya tgoKichwa maji wewe hiyo simu ambayo haina IMEI inashikaje net work? Kawadanganje wajinga wenzio..
GOOD MORNING BADO ZINAFANYA KAZI....COPYKesho utuletee mrejesho
Me zangu zote zipo mzigon sijui ww!!GOOD MORNING BADO ZINAFANYA KAZI....COPY