swala sio brand, swala ni je simu yako ni genuine? zipo samsung s6 fake, na wengine wamenunua kwa bei ileile ya simu genuineMkuu tabutupu,January mwaka huu nilinunua techno H6 Mwanza.ilikuwa na matatizo mengi sana.muda mwingine inachemka kama jiwe,ukifunguwa app kama watsap inachukuwa dakika 5 kuzunguka tu......yaani ilikuwa full kimeo.TCRA waliponielimsha kuchek nikapata ni feki kabisa.udijidanganye kuwa kuna brands ambazo ni orijinal 100%,infact brands zinazoaminika ndizo maranyingi matapeli wanatumia kulaghai wateja.
Acha utoto.Kama inaboa nenda kwa wenzako FB.shuhudia kwanza ww?,jf cku hizi inaboa
Mimi simu yangu haina imei kabisaaa na bado ipo hewani kama kawaida.
Labda sikuelewa walituomba tuzime wenyewe!!!
Kichwa maji wewe hiyo simu ambayo haina IMEI inashikaje net work? Kawadanganje wajinga wenzio..Mimi simu yangu isiyo na IMEI kabisa bado inadunda na kushika mtandao kama kawaida hadi hii mida 00:07. Vipi wewe imepoteza network ya kwako?
Ni ngumu kupata mrejesho kwakuwa hawako hewani!yeyote unayemuona hewani jua simu yake haijakatiwa mawasiliano(sio kuzimwa)wakuuu tunaomba mrejesho kwa waliofanikiwa kuzimiwa simu na TCRA watuambie nini hasa kimetokea baada ya kuzimwa
Acha uongo wewe simu haina IMEI inashika vipi network?Mimi simu yangu haina imei kabisaaa na bado ipo hewani kama kawaida.
Labda sikuelewa walituomba tuzime wenyewe!!!
Hapa ni sahihi KabisaIkiwa mtu anatumia simu fa ke, kuna uwezekano mkubwa wa kutomiliki pc, so ni vigumu kuleta mrejesho, vinginevyo tusubiri ubuyu toka kwa wapambe, wataripoti kwa niaba yao