Updates zoezi la kuzima simu bandia

Updates zoezi la kuzima simu bandia

Unajua hata simu fake faida yake ni kua haziko kwenye mitambo yao. Yaani kama simu haina hata hiyo IMEI basi wao kule TCRA hawawezi kuiona, hivyo kuzimia mawasiliano napo ni ngumu pia.
mkuu simu zote zina imei,ila tcra hawana imei zote fake na pia wasiwasi mwingine ni kuwa tcra hawakufanya test za kueleweka , na leo aibu hii hawawezi ikwepa.
 
mkuu simu zote zina imei,ila tcra hawana imei zote fake na pia wasiwasi mwingine ni kuwa tcra hawakufanya test za kueleweka , na leo aibu hii hawawezi ikwepa.
Ha ha ha,
Hivi u-fake wa simu unatokana na nini kwanza??
Maana naona kuna watu hua wanajiaminisha kua ukiwa na "MCHINA" tu basi ni fake
 
Waliozimiwa simu ambazo huwa wanazitumia kuingia JF, hawawezi kukujibu, kwani hawawezi kuiona hii msg yako
 
Hawana uwezo wa kuzima simu za watu hawana hizo access kama watu wanavyofikiria sijui ni kiongozi gani alitokea na kuandika pumba kiasi hicho....
 
Hawazimi simu, wanaondoa tu uwezo wa kushika network. Hilo kopo lako kama bado linadunda (linafanya kazi) hebu lizime halafu uliwashe tena.
 
Ha ha ha,
Hivi u-fake wa simu unatokana na nini kwanza??
Maana naona kuna watu hua wanajiaminisha kua ukiwa na "MCHINA" tu basi ni fake
simu ambazo imei (kitambulisho) cha simu si halali. Simu ambayo ni genuine kwenye imei utakuta code ya manufacturer na info nyingine lakini ile fake ni vinamba tuu ambavyo hata havina mwelekeo huwezi jua hata mtengenezaji ni nani
 
Wala vumbi vs wabeba box... Mtu mzima unafanya kazi ya kibarua maisha yako yote kisa uko marekani... Hata kibanda tu huna. . Bora nike vumbi niko kwetu..
Siyo kibarua tu mkuu, huyu Nyani Ngabu huwa anaosha mbupuma za vibabu vya kimarekani! Bpra nibaki kwetu nile vumbi kuliko aibu hii! Na vibabu vya kizungu vinavyonuka sasa mmmhhhhh!!
 
Inawezekana unaongea masihara mkuu, lakini nikuhakikishie kwamba, simu yangu haina IMEI totally. Ni Sony Experia (double lines).

Sa sijui ikoje hapa
Kaka hembu njoo tena na hio simu yako
.
Double line maana yake ina imei mbili.. Hskuna simu ambayo haina imei.. Wewe lazima tcra wakutwange
 
Wala vumbi mna hofu eh?
Mkuu naskia huko pande za watu mliostaarabika kuna jamaa kapiga watu wanaofanya mapenzi ya jinsia moja risasi na kuua watu 49, vipi ndugu yako bhanunu kasalimika kweli?
 
Back
Top Bottom