Mkuu hongera kwa zawadi ya mwanao teh tehMwanangu ameshapata toy la kuchezea.
Waoooo really long time .Hi girl longtime no hear.
TCRA ilikuwa inataka kuvuta attention ya wabongo. Hamna kitu kinachozima-kesho watakuja na swaga za "zoezi hili limekuwa gumu kutokana na ..."
Mboni thimu yangu feki ya "Yong Ching" haijazimwa?!
Au ndo kiki mpya?
Tupeni update.Watu waliambiwa simu ni fake lkn hadi sasa wapo hewani....
TCRA mmetishaaaaaa
Toa betri isije ikamlipukia mtotoMwanangu ameshapata toy la kuchezea.
Watanzania tunadanganya sana na sie tunakubali. Ndio maana tuliaminishwa kua Kikombe cha babu kinaponya lakini sio ukichukua take away na sie tukakubali tu.Mimi simu yangu isiyo na IMEI kabisa bado inadunda na kushika mtandao kama kawaida hadi hii mida 00:07. Vipi wewe imepoteza network ya kwako?
Watanzania tunadanganya sana na sie tunakubali. Ndio maana tuliaminishwa kua Kikombe cha babu kinaponya lakini sio ukichukua take away na sie tukakubali tu.Nimejaribu simu yangu fake hapa naona bado inafanya kazi na network inasoma kama kawaiada
Nawasiwasi na vitisho vya TCRA, inaonekana hawakukagua vizuri mitambo yao
Hii simu ni fake kweli na ninajua, hata nikitest kwa 15090 wananiambia ni fake.
MREJESHO
Leo tarehe 17 June 2016 simu yangu bado inashika network. Nimejaribu kupiga simu inafanya kazi vizuri kabisa.
Wengine tupeni mrejesho maana mimi huku nimesha anza kusherekea.
Watanzania tunadanganya sana na sie tunakubali. Ndio maana tuliaminishwa kua Kikombe cha babu kinaponya lakini sio ukichukua take away na sie tukakubali tu.
Wewe simu ina betri full Chaji,
Simu Hujabonyeza kidude cha kuzimia,
Simu haina remoti ya kuzimia ,
Mtu alieko mbali na wewe hapo ulipo atawezaje kuizima??
Mkuu wakidai wanazima mawasiliano, kwamba simu yako haitashika network.Watanzania tunadanganya sana na sie tunakubali. Ndio maana tuliaminishwa kua Kikombe cha babu kinaponya lakini sio ukichukua take away na sie tukakubali tu.
Wewe simu ina betri full Chaji,
Simu unayo wewe mwenyewe na sio huyo mzimaji,
Simu Hujabonyeza kidude cha kuzimia,
Simu haina remoti ya kuzimia ,
Mtu alieko mbali na wewe hapo ulipo atawezaje kuizima??
Unajua hata simu fake faida yake ni kua haziko kwenye mitambo yao. Yaani kama simu haina hata hiyo IMEI basi wao kule TCRA hawawezi kuiona, hivyo kuzimia mawasiliano napo ni ngumu pia.Mkuu wakidai wanazima mawasiliano, kwamba simu yako haitashika network.
Lakini pamoja na hayo bado ni wwaongo kwa sababu simu yangu ni fake lakini nimeweza kuitumia asubuhi hii na network ipo vizuri sana
Basi waache kutishia watu kua watazima simu, waseme hivyo kua watazima mawasiliano ya simu.Simu haizimwi, ni inatolewa/zimwa uwezo wa kushika network.