Kibuja
JF-Expert Member
- Aug 12, 2009
- 510
- 90
Ukifuatilia hapo wote ni majobless...
Serikali ya CCM ndo imewafanya jobless
Ukifuatilia hapo wote ni majobless...
Ukifuatilia hapo wote ni majobless...
Maandamano sio njia muafaka ya kudai haki
Muhuni mzazi wako asiyekutambua oafPiga wahuni hao!
Huu udharimu na uhuni wa kutumia polisi punde utakuwa historia
Ni kutokana na ulaghai wa chademaTuje basi na majibu basi ya hili tatizo la kwanini vijana wanashiriki maandamano.
Ukombozi kutoka wapi? Ninachojua Zanzibar kulikuwa na mapinduziHaya yananikumbusha historia ya ukombozi wa wa Zanzibar. Vyombo vya dora vilitishwa mara kadhaa wakajipanga lakini halikutokea lolote, siku waliyokata tamaa jamaa wakafanya kweli.
Ni kweli Mkuu. CHADEMA wanaponzwa na kitendo cha kutotumia akili kufikiri. Huwezi kutukana vyombo vya Dola ilhali ndo unavitegemea kwa kila kituUnaota. Hata Mbowe akiwa mtawala atatumia polisi tu. Ujinga wenu chadema hamuangalii historia za nchi nyingine. Leo hii anasema katiba ni mbaya na kandamizi, akiingia madarakani ataipenda na kutamani iboreshwe tena kama alivyoboresha ya chadema ili aendelee kutawala, kumbuka Mwai Kibaki alipokuwa upinzani, aliahidi katiba haraka alivyopata tu madaraka akashikwa kigugumizi, we unajua yaliyijiri. Tumia akili mnatumiwa na Mbowe kwa manufaa yake na familia yake, mtakuja kumbuka haya siku moja.
Ni kweli Mkuu. Uhai ukipotea haurudishwi.mabadiliko yanagharama zake lazima watu wafe kwa ajili yawengine chondechonde uhai ni tunu yako
Ni kweli Mkuu. Uhai ukipotea haurudishwi.
wangekuwa wamepewa kazi na jk usingewaona hapo
Mbowe anafanya siasa za kitoto sana, kwa akili yake ndogo hapo anafurahi kuwa umaarufu unaongezeka.
Natoa wito maalum kwa jeshi la polisi nchini na dola kwa ujumla, kuwa wahuni watakaoandamana na kuleta vurugu popote hapa nchini wapigwe tu. tumechoka. wafinywe ipasavyo...hii ni cheap politics kucheza na maisha ya watu. Washughulikiwe.