Nimesikiliza kipindi cha tuongee asubuhi leo star tv, japokuwa mchambuzi ni gamba lakini amesema kweli kuwa toka 2010 mpaka sasa Civil disobedience imekuwa sana Tanzania.
Nikifikiria sana ni kutokana na polisi kuonyesha wazi wazi kuisaidia ccm jambo ambalo ni hatari sana siku za usoni,, Kwanza hii inafanya CHADEMA Imaarufu wake uongezeke tena kwa kasi na kuiumiza zaidi ccm kuelekea uchaguzi mkuu
Kwa ccm kutumia polisi kufanya siasa zake itasababisha mwakani uangukie pua na kuipaisha CHADEMA Maana kwa sasa chama kina mtandao nchi nzima.