Updates za yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA

Updates za yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA

Mbowe anafanya siasa za kitoto sana, kwa akili yake ndogo hapo anafurahi kuwa umaarufu unaongezeka.

Leo ofisi zote za CDM Tanzania zinalindwa bure na askari waliovalia sare pamoja na mbwa na farasi👏
 
watu hawajaamua hata kutoka majumbani kuandamana - tayari mcheche kibao - cdm ni balaa!!

si kwamba hawajaamua, kila mtu yuko busy na shuhuli zake za kujipatia kipato, unataka akaandamane badala ya kutafuta chakula cha watoto wake wakati yeye mboye anauwakika wa kula hata akiandamana mwaka mzimaa???
 
Watu hawajaamua hata kutoka majumbani kuandamana - tayari mcheche kibao - CDM ni balaa!!

mkuu si chama cha waweka mikono mifukoni. hawajazoea ukakamavu.zaidi ya usop sop na usharobaro. na.....:behindsofa:..tu
 
Hapa jeshi la polisi hali tumii akili hata kidogo.
Naukubali ule msemo wa jeshi ni kikundi cha watu wachache wenye nguvu wasio na akili. Hapo cha kufanyika ilikuwa n kuwaruhusu wafanye maandamano ya aman ila lolote baya litakalotokea iwe uharibifu wa mali, uharibifu wa maisha ya raia bas viongoz ndio wanakuwa wanawajibishwa
 
Polisi wa tanzania ni watu wa ajabu sana... hivi aliyesema ataandamana leo nani? Mbowe kwenda kuhojiwa polisi ndio kuandamana?
 
Huku Dodoma hali ya Ulinzi imeimarika na wahuni kadhaa waliojaribu kupinga amri ya Polisi kwa leo wataonja selo. Watu 11 tayari wapo ndani ya Karandinga la Polisi
 
Hakuna kulala mpaka kieleweke jino kwa jino nginja ngija mpaka makao makuu no apology we warned em pigs!
 
Kwani wewe kazi yako ni ipi?
Mkuu, namfahamu vema Mkuu MSALANI. Usifikiri mtu akifanya kazi mitandaoni basi anakuwa jobless. Wengine hizi ni hobbies tu huku wakiendelea na majukumu yao ya kila siku
 
Hali ilivyo dodoma
attachment.php

attachment.php
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    438.5 KB · Views: 576
Njia muafaka unayoijua wewe ni ipi? ndani ya nchi hii Polisi ni wa CCM, mahakama za CCM kwa hiyo tunaomba ushauri wako sehemu murua ya sisi kudai haki zetu.

Hata chadema ingekuwa madarakani, cuf na vyama vingine wangesema polisi ni polichadema.
 
Back
Top Bottom