Updates za yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA

Updates za yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA

Mhuuuu ...kama ya kweli basi watakuwa wamewazidi ujanja na hapo mtu atapoteza cheo.
 
[h=2]Wapigwe tu ya Pinda, sasa ifanye kazi.[/h]
Natoa wito maalum kwa jeshi la polisi nchini na dola kwa ujumla, kuwa wahuni watakaoandamana na kuleta vurugu popote hapa nchini wapigwe tu. tumechoka. wafinywe ipasavyo...hii ni cheap politics kucheza na maisha ya watu.
Washughulikiwe.​

Acheni wananchi wajikomboe na utumwa wa ccm
 
Ni kuelimisha umma watanzania kutokubali mawazo dhalimu ya ccm ndani ya katiba mpya kupitia kura ya maoni, nadhani hakuna asiyelijua hili chanzo cha haya maandamano ni mchakato mzima katiba mpya
 
Kufikia wiki ijayo tutakuwa na wanaCDM watakaokuwa wanalalamika kuliwa kinyume cha maumbile wakidhani ndo njia rahisi ya dhamana.

Hao mbwa wapigwe tu!
 
unashangaa
Si vema mtu kujitafutia matatizo bila sababu yeyote. Kuitwa kwa Mbowe makao makuu ya polisi ambao hamjaitwa mnaenda kufanya nini? Ama tuseme kauli ya Mbowe ilikuwa kauli ya Chadema na mawakili wake?

Waandamanaji wa chadema huwa wanabeba visu, nondo na bisibisi mifukoni na kwenye soksi, pia hubeba mapanga kwenye makoti makubwa ili kwenda kupambana na polisi. Hivyo siyo vita ni nini? Ni vema wanachadema kufuata utaratibu, hakuna haja ya kutumia nguvu kujitafutia matatizo.

Mwacheni Mbowe aende kama alivyoitwa, kama atasema alitumwa na chadema na mawakili wake, kila mmoja ataitwa kwa wakati wake.

mm nilkuwa siamin kama kuna wa2 wanapewa buku saba,kuna mtu anapost kitu hata sisi tusio na vyama tunashangazwa toeni mawazo kwa ajir ya taifa letu sio chama.
 
Na wewe nenda kapambane, sio unahamasisha wenzio wakafanye fujo.

We Chooni tambua kwamba mimi niko boda huku, ningekuwa huko Muda huu ungeniona kwenye hizo picha za Kamanda Crashwise Sina roho ya uoga kama kunguni za hapo Lumumba.

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Mbowe anafanya siasa za kitoto sana, kwa akili yake ndogo hapo anafurahi kuwa umaarufu unaongezeka.
 
Hawa police wanaitangaza CDM zaidi bila wao kujijua!!
 
Back
Top Bottom