mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,585
- 11,268
na hii ni kumsindikiza mfalme maandamano bado!
Maandamano siyo kitu kizuri, wafikirie kutaka haki mahakamani na kama hakuna haki tuisubiri hiyo katiba ya chama tawala tuipige chini, kuanndamana no.
Hahaha chadema bwana
Nimeipenda hii. Na ni kweli Mfalme Mbowe lazima asindikizwe na Watwana wakena hii ni kumsindikiza mfalme maandamano bado!
Nawakumbuke Tumeanza na Mungu tupo na Mungu na tutamaliza na Mungu
Chadema chama cha magaidi
Nawasikitikia watz,hakika hampewi habari sasa na watu wenu,issue ya kuuliza hapa ni kwanini hawa watu wanapeleka habari ya kuchosh HIVI,ukweli ni kuwa wanaogopa chadema,mikusanyiko ya kihuni iliyoratibiwa na chadema maeneo mbalimbali nchini hsusan dsm ambapo wahuni hao walimfuata mbowe imetawanywa na polisi. taarifa rasmi zilizopatikana zinaeleza kuwa mikusanyiko midogo midogo imeonekana makao makuu ya polisi huku wahuni hao wakiwa wamevalia suruali zilizolegea matakoni huku wameshikilia maji mikononi mwao. kitendo hicho cha polisi kuwadhibiti wahuni hao kimepongezwa na wananchi walio wengi ambao wanapenda amani iendelee kutawala hapa nchini.
my take; wapigwe tu
yes mkuu, na u-jobless wao umesababishwa na serikali dhaifu ya chama cha mapinduzi.Ukifuatilia hapo wote ni majobless...
sawa na ccm cha magadi.Chadema chama cha magaidi