MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,280
Pambaneni makamanda hakuna kulala ukombozi uko karibu.....Oparesheni Pamoja Daima..
BACK TANGANYIKA
Na wewe nenda kapambane, sio unahamasisha wenzio wakafanye fujo.
Pambaneni makamanda hakuna kulala ukombozi uko karibu.....Oparesheni Pamoja Daima..
BACK TANGANYIKA
Pambaneni makamanda hakuna kulala ukombozi uko karibu.....Oparesheni Pamoja Daima..
BACK TANGANYIKA
Leo ndiyo nimejua kuwa msalani ni mtoto ambaye hata ungo haja vunja, unashabikia ujinga? Haujui watu wakikomaa hapata kalika? Cha msingi watu wasiandamane,wadai haki mahakamani kama hakuna basi tusubiri hiyo katiba ya chama tawala tuipige chini.Piga wahuni hao!
Maandamano siyo kitu kizuri, wafikirie kutaka haki mahakamani na kama hakuna haki tuisubiri hiyo katiba ya chama tawala tuipige chini, kuanndamana no.
Leo ndiyo nimejua kuwa msalani ni mtoto ambaye hata ungo haja vunja, unashabikia ujinga? Haujui watu wakikomaa hapata kalika? Cha msingi watu wasiandamane,wadai haki mahakamani kama hakuna basi tusubiri hiyo katiba ya chama tawala tuipige chini.
FFU wanagawa kichapo, kuna magari machache ya CDm hapo Makao Makuu ya Polisi...
Nawakumbuke Tumeanza na Mungu tupo na Mungu na tutamaliza na Mungu
Suala la kutii sheria bila shuruti liko wazi kabisa. Kama hamtaki kufuata. Mpigwe tu!
Natamani tuzike baadhi kuanzia kesho jamani