muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,546
- 10,192
Dar haipo karibu na Pwani?.Mbona TMA hawajasema kama Dar nayo itaathirika!wanasema pwani TU!!
Dar haipo karibu na Pwani?.Mbona TMA hawajasema kama Dar nayo itaathirika!wanasema pwani TU!!
Pale usalama upo wa kutosha mkuu, hapajaezekwa na mabati ya alafKizimkazi.aondolewe magogoni jamani akafichwe kigoma😅😅😅
Kizimkazi.aondolewe magogoni jamani akafichwe kigoma😅😅😅
una waamini TMA?Mbona TMA hawajasema kama Dar nayo itaathirika!wanasema pwani TU!!
Asije bebwa na kimbunga😂Pale usalama upo wa kutosha mkuu, hapajaezekwa na mabati ya alaf
Tz hatujawahi kuwa serious🤣🤣🤣Nipo Temeke hapa nimetoka nje kwenda uani nimekutana nacho aise! Sema kina sura nzuri ila speed yake kidogo haiko sawa.