UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

Mungu mkubwa jamaani,aibu zao walotaka kukuuwa
 
karibu bongo
issue yako ipo mahakamani na please hutakiwi kusema chochote kile kwa kesi iliyopo mahakamani maana kusema tu ni kuingilia mhimili wa mahakama
Wacha bwana! kwani yeye naye ni mbunge?
 
Mungu akiwa upande wetu ni nani atapigana dhidi yetu? Karibu kamanda Ulimboka, tunategemea mengi kutoka kwako.
 
Haya bandugu kaeni tayari kupata picha na matangazo kuhusu huu ujio wa dr baada ya lobbing nimepata ruksa ya kupanda hapa juu ya paa la jengo kuu la airport. hivyo nawaletea habari na picha za tukio hili moja kwa moja. Naona pilot wa ndege iliyomchukua dr ananipungia mkono na mie napunga kumjibu na ndege hiyo inaelekea kutua kwenye njia yake.
 
i hope kupona kwake ulimboka amejifunza kwamba GOD is a Greater MD than him "ulimboka" .. Asijifanye tena mungu mtu na kuweka rehani roho za watanzania maskini kwa mgomo ...
Hivi unafahamu kwamba silence is best option kama huna la kuchangia?
 
Naona pale kwenye dirisha la kushoto la ndege hii kuna bwana anachungulia na dhani atakuwa dr lakini la ngoja nihakikishe nitawajuza kinacho jiri wasomaji wetu.
 
Wafuasi wa ulimboka ,update wapi?au naye tunamsubiri kama yule mnazereti?
 
Director:Ahmed msangi
Producer:Ramadhan Ighondu,
Actor:Joshua Malundi
DOP:....................
Continuity:Kova

kwenye hii move kitakachofuata Dr.Ulimboka atakamatwa aunganishwe pamoja na yule mwenzake ashitakiwe kwa kuongoza mgomo,mdhamana hatapewa kwa sababu ya usalama wake halafu atapata ugojwa wa gafla akiwa mahabusu halafu ...........
 
423535_3522668914174_1570824360_n.jpg
 
Back
Top Bottom