The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,233
- 17,396
Serikali tafuteni hii kitu...
![]()
Watafute au wanunue??
Serikali tafuteni hii kitu...
![]()
Too low my friend!
TUMBIRI (PhD, University of HULL, HULL City - United Kingdom),
tumbiri@jamiiforums.com
Ritz, what are u trying to say? Mbona kule Musoma vijana wanne wa usalama wa taifa walikamatwa na masanduku ya kura bandia na kukabidhiwa polisi, lakini mpaka leo hatujasikia lolote? Lililosemwa lilikuwepo.Serikali tafuteni hii kitu...
![]()
![]()
Kuna jamaa humu anaitwa Mbopo alisema kuwa Dakta afunguliwe mashtaka ya kuhujumu uchumi na mauaji. Haya dakta wetu karudi, bwana Mbopo na wote mnaounga mkono serikali dhalimu kafungueni mashtaka.SERIKALI ICHEZEE WATU LAKNI ISIMCHEZEE MUNGU....hah...!!
HE IS NOW REGARDING HIMSELF AS GOD...dah.
Sasa huyo serekali atachomwa moto wa jehanum milele AU?
Kurejea nyumbani ni jambo moja jema. Wasi wasi ni je hao akina Ighondu, Zoka na mabwana zao waliowamuru wamuue wataacha kujaribu tena ili kuondoa udhia? Je usalama wake umehakikishwa kisheria? Ni mapema kushangilia kwenye nchi ya kifisadi na kijambazi. Time will surely tell.
wewe litoto la shule nini? hatuna monitors hapa, tuna moderators..idiot
Unaliwa wewe.,mpuuzi maku.
amini amini hakuna mwenye uwezo wa kutoa roho ya mtu na akabaki salama. wale waliohusika nguvu ya mungu inawasumbua mno na hawana amani na maisha ya duniani.Kurejea nyumbani ni jambo moja jema. Wasi wasi ni je hao akina Ighondu, Zoka na mabwana zao waliowamuru wamuue wataacha kujaribu tena ili kuondoa udhia? Je usalama wake umehakikishwa kisheria? Ni mapema kushangilia kwenye nchi ya kifisadi na kijambazi. Time will surely tell.
kazi walishamaliza hakuna kilichobaki ganda tupu hilo. kama waliweza kupunzika naye usiku kuja msituni . wakamngoa meno ,wakamchomoa kucha , wakamla tigo etc . sasa nini kingine hawajamfanyia . mshaulini tu awe anahudhulia kanisani na aache pombe.
okay dunderhead
Relax numpty head, umekurupuka , this is btw me & him .. who thinks he can tell people do this & do that humu JF while he is nobody zaidi ya kuwa ni registered member kama mimi ..
Hakuna cha ku cross the line, kijitu kimoja kicheze na wagonjwa wetu maelfu kwa maelfu, halafu kitiwe adabu nyie mkionee huruma? roho za wangapi zimepotea kwa kukosa huduma ya madaktari. huyo hafai kuonewa huruma hata kidogo. Tena nasema waliomtandika, yeyote awae, kafanya kazi nzuri sana.
Yeye haja cross the line? anapohamasisha madaktari kugoma?
Huyo hukumu yake ni kifo, ashukuru mungu hao vijana walikuwa wanamtia adabu tu na hawakutaka kummaliza.
Atarudia?