😅😅😅😅😅😅Ngoja tuyaloweke magodoro kabisaaaa kumbe ndo alitaka kusema hivi?
Bujibuji ni kama panya tu,
Hawakumuona wakati wa kampeni kuwa amechoka sana na hayupo fit kuwa Rais?Medical Philosophy has it that, "at 40 no one is stable health-wise" Goodluck Jonathan, Mwai Kibaki, Levy Mwanawasa, Jacob Zuma, Museveni, Daniel Moi, Nelson Mandela, Hosni Mubarak, Siad Barre, Biden, Boris Yeltsin e.t.c, e.t.c provide case studies for this philosophy.
Labda wamebadili gear angani...just a spin,..wangetoa Press release / taarifa ya maandishi kwa vyombo vya habari.
..hakukuwa na haja ya kupotezea watu muda wao kwa jambo basic kama hili.
Wewe ulitaka usikie nini ili muda wako usipotezwe?..wangetoa Press release / taarifa ya maandishi kwa vyombo vya habari.
..hakukuwa na haja ya kupotezea watu muda wao kwa jambo basic kama hili.
Wewe ulitaka usikie nini ili muda wako usipotezwe?
jeshi siyo wizaraMajeshi yote yana Wasemaji wake ambao ni Wanajeshi.
Mkuu JK si ni mjeda mwenzao tena kanali mstaafu wasingeweza kumuacha...Sio kwa TZ otherwise JK au JPM wasingeigusa ikulu. Yaani JWTZ inajua Rais yupo unfit kiafya ikubali agombee?
TZ ni kwamba Nyerere alijaza CCM kwenye taasisi zote so ni viceversa, kabla hujawa promoted JWTZ, hao CCM nao wanataka uwahakikishie maslahi yao kwanza.
Kma JWTZ ipo na vetting JK alifaa kuliko Dr.Slaa??
Wewe ndiyo wa kuamua hiyo taarifa haikuhitaji press conference? Wewe ni nani kwanza kuamua hivyo? Nani amelalamika kupotezewa muda?..usinifokee.
..tujifunze kuthamini muda wa watu.
..taarifa waliyotoa haikuhitaji kuita press conference, badala yake press release ingetosha.
Kumbe Ukiwa fisadi ila mwanajeshi basi system inakuachia tu uwe Rais?? Sasa ukowapi uadilifu wa jeshi kama chombo cha kulimda usalama whether kiuchumi,kijamii na kisiasaMkuu JK si ni mjeda mwenzao tena kanali mstaafu wasingeweza kumuacha...
Kweli kabisa mkuu, tena Press Release huwa haitozwagi page kwasababu haiko-considered kama tangazo.Yah right ... But this was more of a Press release or a Media Briefing than a Press Conference!!