Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,448
Hii press hata nabii tito angeweza kupewa aitoe ..
Watakuwa wameshtuka. Haiwezekani taarifa kama ambayo haina mbele wala nyuma ndiyo ikawa issue ya kuita vyombo vya habari ......!!Hii taarifa ni ya kuita vyombo vya habari kweli? Hau wamebadili gia angani, mbona hii taarifa wangesambaza kwa vyombo vya habari hata jana ingeeleweka tu!
Ina maana kifo chake hakikuwa natural death?Walimwondoa waziri wa ulinzi wakaweka koti la Chief Hangaya!!
Medical Philosophy has it that, "at 40 no one is stable health-wise" Goodluck Jonathan, Mwai Kibaki, Levy Mwanawasa, Jacob Zuma, Museveni, Daniel Moi, Nelson Mandela, Hosni Mubarak, Siad Barre, Biden, Boris Yeltsin e.t.c, e.t.c provide case studies for this philosophy.Sio kwa TZ otherwise JK au JPM wasingeigusa ikulu. Yaani JWTZ inajua Rais yupo unfit kiafya ikubali agombee?
TZ ni kwamba Nyerere alijaza CCM kwenye taasisi zote so ni viceversa, kabla hujawa promoted JWTZ, hao CCM nao wanataka uwahakikishie maslahi yao kwanza.
Kma JWTZ ipo na vetting JK alifaa kuliko Dr.Slaa??
Slaa alikuwa anadukua siri za serikali, pia dini mojawapo kati ya dini zilizoko nchini haimkubali labda angeslimu kwanza. RC yenyewe haimkubali tangu alipotelekeza wito na RC ndiyo kingunge wa siasa za uchaguzi duniani.Sio kwa TZ otherwise JK au JPM wasingeigusa ikulu. Yaani JWTZ inajua Rais yupo unfit kiafya ikubali agombee?
TZ ni kwamba Nyerere alijaza CCM kwenye taasisi zote so ni viceversa, kabla hujawa promoted JWTZ, hao CCM nao wanataka uwahakikishie maslahi yao kwanza.
Kma JWTZ ipo na vetting JK alifaa kuliko Dr.Slaa??
Ngoja tuyaloweke magodoro kabisaaaa kumbe ndo alitaka kusema hivi?Paki mabegi kabisa
Nimetega sikio
Alafu baada ya kuwamaliza kimya kimya waje walaumiwe kwamba wanapoteza watu?! Hapa duniani, kila ulifanyalo lina sura mbili: moja, linapendwa na kuungwa mkono na baadhi ya watu, pili, halipendwi na haliungwi mkono na baadhi ya watu. Duh!jeshi wanashindwaje kuwamaliza hao matapeli kimya kimya
Bujibuji maana yake kivuruge. Na pia ni kama panya tu, akiwepo sehemu lazima afanye fujo tu kukujulisha muharibifu yupo hapa.Mkuu
Hivi Hilo jina bujibuji linamaana gani hasa?
Kwanini kila mada lazima uchangie?
Kwanini huna polite language?
Aksante kwa kunielewa nasinasu majibu
Habari za #kijeshi haziwezi kutolewa na raia, KM wa wizara ni raia. KM atatoa habari za #kiserikali zinazohusu jeshi.Ndugu yangu aliyeitisha Kikao ni mabeyo ama msemaji wa jeshi?
Jeshi Lina msemaji wake na ndio huyo hapo kaitisha Kikao, hivi kati u wa wizara na msemaji wa jeshi yupi kauli yake ni rasmi zaidi kwenye kutoa maelezo ya kijeshi
Habari ndo hiyo tu!!!?? mimi nilidhani mabeyo anataka kuchukua nchi maana mama wengi hatumuelewi.
For Journalism profession NO NEWS IS USELESS!Watakuwa wameshtuka. Haiwezekani taarifa kama ambayo haina mbele wala nyuma ndiyo ikawa issue ya kuita vyombo vya habari ......!!
Yah right ... But this was more of a Press release or a Media Briefing than a Press Conference!!For Journalism profession NO NEWS IS USELESS!
Sawa gilesiBujibuji maana yake kivuruge. Na pia ni kama panya tu, akiwepo sehemu lazima afanye fujo tu kukujulisha muharibifu yupo hapa.
Kuhusu polite language mimi ni kama kioo, ukinichekea na mimi nacheka.
Pia huwa nakunywa sumu as a part of my breakfast. Humeniyerewha?